'Single mothers' wana tabia ya kubadili gia angani

'Single mothers' wana tabia ya kubadili gia angani

dada msimamo wako mzuri.. ila tema mate chini ombea Mungu akuongoze..

kama umeshawai kuvua pichu maishani mwako na kulala na mwanaume bila ndoa usimcheke mwenzako aliyevua pichu na yeye akapata mimba bila ndoa...

na kuna muda utafikia utakutana na mtu mwenyewe utajishangaa jinsi utavyojiachia..

hisia za moyo achana nazo...

sitaki kuamini kama kina nancy sumari na wanawake wote duniani ni wajinga kuzaa kabla ya ndoa

Mkuu haya maisha mwanamke usipokua na msimamo na kujitambua nakuambia, malalamiko humu hayataisha!

Tena hua nashangaa unakuta mdada anamtegeshea mwanaume mimba! Wanaume wenywe hawa wa sikuhizi?

Nasema wanawake tusipobadirika vilio havitaisha!
 
Papuchi kuwa nyingi siyo guarantee kuwa ni reliable mkuu

that my frend is a well known fact but altleast pick a papuchi with less baggage to begin with....hujionei huruma wewe mwenyewe jamani??!!!
 
dada msimamo wako mzuri.. ila tema mate chini ombea Mungu akuongoze..

kama umeshawai kuvua pichu maishani mwako na kulala na mwanaume bila ndoa usimcheke mwenzako aliyevua pichu na yeye akapata mimba bila ndoa...

na kuna muda utafikia utakutana na mtu mwenyewe utajishangaa jinsi utavyojiachia..

hisia za moyo achana nazo...

sitaki kuamini kama kina nancy sumari na wanawake wote duniani ni wajinga kuzaa kabla ya ndoa

Unajua tunashindwa kuelewa!
Halafu mi sijamcheka mtu hapa!

Mi sitemi mate chini,sbb nimeshajitambua na nimeijua kweli!na naamini kwa uwezo wa Mungu hakuna linaloshindikana!
Hao kina nancy cjui ni wao sio mi!kila mtu na mipango na misimamo yake!
Mbona wapo walioolewa vzr tu bila hayo mambo! Including mi nitaolewa bila hayo!
Na ili yasikupate hayo inaeleweka nn cha kufanya!
Km umenisoima vzr utakua umeelewa!.Mungu ndo kila kitu!
Anaekupenda kweli haitaji umzalie kwanza cjui nn, mi ni nwanamke najua nachokiongea! wadada ,wengi wanategesha!

Ukipita kwenye semina ba masomo yanayohusu haya mambo utanielewa!
Kuna gharama kubwa sn!
 
that my frend is a well known fact but altleast pick a papuchi with less baggage to begin with....hujionei huruma wewe mwenyewe jamani??!!!

Ubora wa papuchi hauharibiwi kwa kuzaa, once a sweet papuchi always a sweet papuchi
 
ah wewe kwani
Ubora wa papuchi hauharibiwi kwa kuzaa, once a sweet papuchi always a sweet papuchi

hahaha wewe kweli mpenda pappuchi.
well linapokuja suala la kuoa sweetness ya papuchi inakuwa affected na many other things.
 
We kakuchukulia kama mfariji wake. Shtuka mkuu!
 
ah wewe kwani


hahaha wewe kweli mpenda pappuchi.
well linapokuja suala la kuoa sweetness ya papuchi inakuwa affected na many other things.

Hapa sasa umekubaliana na ile post yangu ya awali bila wewe mwenyewe kujijua Boss, teh
 
Hapa sasa umekubaliana na ile post yangu ya awali bila wewe mwenyewe kujijua Boss, teh

yaani kivipi...umenipoteza unajua mie sentensi nikionaga neno papuchi mengine siyatilii maanani
 
Wakuu kwema?

Huu uzi ninauandika huku nikiwa na maumivu makali ya nafsi yaliyosababishwa na (single mother) Miezi kama 7 iliyopita kuna (single mother) nilimpenda na nikajua sasa hapa nimefika mwisho wa safari yangu ya kusaka mke. Kiukweli mwanzoni hata yeye alikuwa haamini kama kweli nimempenda na nia ya kumuoa.

Alifurahi na kunionyesha upendo. Kama mwezi mmoja hivi umepita ndo kaanza kutia supu nazi. Mawasiliano yamekuwa shida na pia kanipa taarifa rasmi kwamba tuwe kwanza marafiki kabla ya kuoana maana hayupo sawa kisaikolojia kwa sasa. Nikashtuka na kujiuliza hii kuwa marafiki si ni sawa na kurudi mwanzo maana tulishafikia hatua ya kupanga tuoane lini?Kuna wazo linanijia kwamba labda jamaa aliyemzalisha karudisha majeshi. Nimemuuliza kakana na kudai ni mambo yake mengine tu.

Wakuu nionavyo mimi hawa (single mother) kuwa nao kimahusiano lolote laweza hasa kurudiana na jamaa yake wa mwanzo. Ukiwa na (single mother) jua suala la gia kubadilishwa angani sio geni.

Nishaurini huyu mwanamama nimvumilie hadi hapo atakapokuwa sawa kisaikolojia au nipite zangu hivi?
Single Mother wapo poa sana lakn co wa kuoa . Lakn na ww utaacha lin kula mkombo ya wa2. Tafuta wa kwako mkuu
 
Unajua tunashindwa kuelewa!
Halafu mi sijamcheka mtu hapa!

Mi sitemi mate chini,sbb nimeshajitambua na nimeijua kweli!na naamini kwa uwezo wa Mungu hakuna linaloshindikana!
Hao kina nancy cjui ni wao sio mi!kila mtu na mipango na misimamo yake!
Mbona wapo walioolewa vzr tu bila hayo mambo! Including mi nitaolewa bila hayo!
Na ili yasikupate hayo inaeleweka nn cha kufanya!
Km umenisoima vzr utakua umeelewa!.Mungu ndo kila kitu!
Anaekupenda kweli haitaji umzalie kwanza cjui nn, mi ni nwanamke najua nachokiongea! wadada ,wengi wanategesha!

Ukipita kwenye semina ba masomo yanayohusu haya mambo utanielewa!
Kuna gharama kubwa sn!
Pia uje utupe mrejesho yakikukuta
 
Guys give those women a break anayesababisha single mother kuwepo ni nyie wanaume hakuna aliyeandikiwa kwa USO kuwa atazaa bila kuolewa siyo tabia nzur wako watoa mimba ,watelekezaji familia wanaandamaneni pia mfyuuuuuuuuuuuu!
 
dada msimamo wako mzuri.. ila tema mate chini ombea Mungu akuongoze..

kama umeshawai kuvua pichu maishani mwako na kulala na mwanaume bila ndoa usimcheke mwenzako aliyevua pichu na yeye akapata mimba bila ndoa...

na kuna muda utafikia utakutana na mtu mwenyewe utajishangaa jinsi utavyojiachia..

hisia za moyo achana nazo...

sitaki kuamini kama kina nancy sumari na wanawake wote duniani ni wajinga kuzaa kabla ya ndoa

The definition of being or pretend a child or childish
 
Guys give those women a break anayesababisha single mother kuwepo ni nyie wanaume hakuna aliyeandikiwa kwa USO kuwa atazaa bila kuolewa siyo tabia nzur wako watoa mimba ,watelekezaji familia wanaandamaneni pia mfyuuuuuuuuuuuu!
Nyanijike kwani ulikuwa unataka kusemaje?
 
Wewe ni singo mama?
Unajua tunashindwa kuelewa!
Halafu mi sijamcheka mtu hapa!

Mi sitemi mate chini,sbb nimeshajitambua na nimeijua kweli!na naamini kwa uwezo wa Mungu hakuna linaloshindikana!
Hao kina nancy cjui ni wao sio mi!kila mtu na mipango na misimamo yake!
Mbona wapo walioolewa vzr tu bila hayo mambo! Including mi nitaolewa bila hayo!
Na ili yasikupate hayo inaeleweka nn cha kufanya!
Km umenisoima vzr utakua umeelewa!.Mungu ndo kila kitu!
Anaekupenda kweli haitaji umzalie kwanza cjui nn, mi ni nwanamke najua nachokiongea! wadada ,wengi wanategesha!

Ukipita kwenye semina ba masomo yanayohusu haya mambo utanielewa!
Kuna gharama kubwa sn!
 
Ni
Pia uje utupe mrejesho yakikukuta

Hakuna litakalonikuta kwa jina la Yesu!
Nishapita level hizo za kunenewa na kutamkiwa mabaya!
Najitamkia na kujinenea mema kila siku!
Nafuta mabaya km haya!
Biblia inasema"aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"

Nitaleta mrejesho tena soon!na wa kuwaasa wadada wasikubali kuzaa kwanza au kuolewa na tumbo au kutegesha!

Kila kitu knawezekana kwake yy aaminie!
 
Kumuoa single mother wakati aliyezaa naye yupo hai....HAPANA.

Watakuwa wanakutana tu na kukumbushia.

USIJARIBU TENAA.
 
Aah mtu km ulishakosea bwana ni kurudi msalabani uombe toba utengeneze na Mungu coz Mungu huwa anasamehe!
Sio kutujia na hasira kisa wengine tuna misimamo yetu na hatutaki kupita huko!

Ndo hivyo,yaani km my mom no kuolewa na tumbo wal kuzaa b4 mpk ndoa na itakuwa hivyo soon km Mungu aishivyo!

Uzuri mi mwanamkw naelewa sn nlipokua chuo wadada walivyokua wanazaa utafikiri sifa mwisho wa siku wanaume wameoa wadada wengine!

Hapa kuna ambao walibakwa,au walitelekezwa na waume zao case zao zinaeleweka!

#punic at u r own risk#be real!
 
Unajua tunashindwa kuelewa!
Halafu mi sijamcheka mtu hapa!

Mi sitemi mate chini,sbb nimeshajitambua na nimeijua kweli!na naamini kwa uwezo wa Mungu hakuna linaloshindikana!
Hao kina nancy cjui ni wao sio mi!kila mtu na mipango na misimamo yake!
Mbona wapo walioolewa vzr tu bila hayo mambo! Including mi nitaolewa bila hayo!
Na ili yasikupate hayo inaeleweka nn cha kufanya!
Km umenisoima vzr utakua umeelewa!.Mungu ndo kila kitu!
Anaekupenda kweli haitaji umzalie kwanza cjui nn, mi ni nwanamke najua nachokiongea! wadada ,wengi wanategesha!

Ukipita kwenye semina ba masomo yanayohusu haya mambo utanielewa!
Kuna gharama kubwa sn!
[emoji23] [emoji13] [emoji13] ngoja nicheke tuu.. Hakuna kiumbe anapenda taabu
Kudhalilika... N way oky
 
Back
Top Bottom