We ni Mwanaume?!
ndio mie nimwanaume
We ni Mwanaume?!
[emoji87] [emoji87] [emoji87] huyu the magumashiUmeshaacha kutembea na wake za watu mkuu?
Kama pichu hua unavua basi jandae kwenda labourHehee mkuu! Nitake radhi!
Nilishaapa no marriage no child! Nilishaweka agano na Mungu na ndivyo itakavyokuwa!
Yaani hapa no kuolewa sijui na tumbo cjui kuzaa kwanza!
mie nakumbushia tuu mdogo.....mzima lakini?
Sio wewe. Huyu bado sijampa taarifa rasmi za kumwacha kupisha shamrashamra za sikukuu ya Idd el fitr. Baada ya Eid uteuzi wake utatenguliwa na nafasi yake kuwa wazi.
Wewe Dada unadhani single mothers wote wanazaa tu unaolewa unazaa Kisha Ndoa inaisha Hilo agano lako kalirudie upya
Kama pichu hua unavua basi jandae kwenda labour
Hao wenzio masingle mother nao waliolewa kumbuka kutemwa pia kupo nasubiri uacheke nije nkufaidi 4 freeNitaenda ndio ,nikiwa ndani ya ndoa si vinginevyo!
Mwili wangu wa gharama sio wa kumvulia kila mtu!
Naelewa yote hayo mkuu!
Na sijawahi kuingia agano lolote!
Na ninaogopa kwasbb naelewa madhara ya agano hilo ni mauti na si mauti ya mwili japo watu wanachukulia poa!
Niko makini!
Ndo maana nilisepa b4 coz sitaki bness za kuolewa na tumbo au kuzaa kwanza
Yeah nakuamini saana Christine kwa misimamo yako isiyoyumba...!Nitaenda ndio ,nikiwa ndani ya ndoa si vinginevyo!
Mwili wangu wa gharama sio wa kumvulia kila mtu!
Usimtishe mwenzako bwana....!Wewe Dada unadhani single mothers wote wanazaa tu unaolewa unazaa Kisha Ndoa inaisha Hilo agano lako kalirudie upya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] oh okyUsimtishe mwenzako bwana....!
Ukiingia katika agano takatifu na Mungu kamwe hawezi kukupa jaribu ambalo litakusababishia uwe single mothers....
Hao wenzio masingle mother nao waliolewa kumbuka kutemwa pia kupo nasubiri uacheke nije nkufaidi 4 free
Mungu hatoi vitu vizuri pekeake bali hata vibaya hutoa ili atukuzwe rejea maisha ya sara na ayubu....mungu hukupi unachotaka ww bali akitakacho yeyNi wao sio mi!
Mi naolewa na ndoa yangu haitavunjika, Na nitazaa ndani ya ndoa kwa jna la Yesu!
Mungu hashindwi jambo!
Weka agano nae kwny kila kitu!
Soma neno,omba roho mtakatifu atakuongoza kwny maisha yako !
Yeah nakuamini saana Christine kwa misimamo yako isiyoyumba...!
Mungu hatoi vitu vizuri pekeake bali hata vibaya hutoa ili atukuzwe rejea maisha ya sara na ayubu....mungu hukupi unachotaka ww bali akitakacho yey
Papuchi kuwa nyingi siyo guarantee kuwa ni reliable mkuusingle mother wa nini wewe bwana?!! yaani papuchi zilizojaa hapa duniani kote umekosa mpaka uende kwa single mother