Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,448
- 176,423
Hebu ficha hata aibu yako.mwanamke yeyote anazijua dalili za yai lililokua tayari kuna viashiria vinamfanya aisi yupo kwenye danger date, we inaelekea hujaenda Jando mambo yote mnafundishwa mnapowekwa ndani na mabibi zenu ila wanawake wa siku hizi mnakula sana chips yai, chemical drinks, peds feki nk na kuaribu mfumo wa reproduction wacha tuwatie mimba tu na kuwakimbia Ulimbukeni wenu ndio uaowaponza
Ukimtia mimba ukamkimbia kumbuka umekimbia damu yako na sio mwanamke!! Kwahiyo kabla haujajitoa ufahamu hebu shirikisha ubongo kwa kina.