mama mtarajiwa
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 290
- 449
chochote tu nipo tayarimama mtarajiwa je ni ipi option yako katika hayo mawili?
chochote tu nipo tayarimama mtarajiwa je ni ipi option yako katika hayo mawili?
Hivi hii sikukuu umefichwa na nani?tatizo ni sisi wanaume
Teh teh teeeeeh!!Wanawake wa sasa si waolewaji kabisa, wana majanga makubwa yasiyoweza kuvumilia hata kidogo. Na ni ngumu kwao kuvumilia kwenye ndoa.
'Umewapitia wengi tu'Chanzo ni single mother wenyewe!
Maringo kwa sana halafu kucare hata hawajui!
Nmewapitia wengi tu ili kuona wanaume wenzangu wanashindwa nini lakin huduma zao ni bure kabisa
Hawa wenye kazi ndio usisem vburi San Ata ukimzalsha utackia wew nenda nitamuhudumia mwanangu
Mimi sio mchokozi bwana.![]()
![]()
katika wachokozi ... ww ni no.1
nimekataa mialiko huku nikifikiria nitapata mualiko kutoka kwako kumbe nilikua najidanganyaHivi hii sikukuu umefichwa na nani?
Kikubwa ni watu kuwa responsible na kuheshimu natakwa ya familia.
Pia mabinti waache kutumia mimba zisizopagwa kama kigezo cha ndoa hapa ndio huwa future zao zinaharibika.
Nafikiri tutofautishe mapenzi na ngino sio kila unayefanyanae ngono mnaweza kuishi pamoja na kuwa na familia. Sasa unapoenda mpaka mimba basi inakuletea shida maisha yako yote.
Acha uongo basi, we si nilikualika ukaniambia utakuwa busy!!nimekataa mialiko huku nikifikiria nitapata mualiko kutoka kwako kumbe nilikua najidanganya
Mkuu wamaanisha kutanguliza mimba kama tiketi ya ndoa ama?Kikubwa ni watu kuwa responsible na kuheshimu natakwa ya familia.
Pia mabinti waache kutumia mimba zisizopagwa kama kigezo cha ndoa hapa ndio huwa future zao zinaharibika.
Nafikiri tutofautishe mapenzi na ngino sio kila unayefanyanae ngono mnaweza kuishi pamoja na kuwa na familia. Sasa unapoenda mpaka mimba basi inakuletea shida maisha yako yote.
hiii jamani mbona kutiana aibu mbele za watuAcha uongo basi, we si nilikualika ukaniambia utakuwa busy!!
Aaah! Kama mzinguaji si aende tu jamani! Why ung'ang'anie maradhi!!navuta taswira namuona atoto akifanya hivyo pia![]()
![]()
![]()
![]()
Mie nililala nawaza huyu mtu huu ubusy nani anambizisha!!! Basi ikabidi niwe tu mpole.hiii jamani mbona kutiana aibu mbele za watu
jumapili nimelala huku naangalia uwezekano wa kukumbukwa na wewe