Single mothers, ni nini chanzo?


Mimi nilipata mimba bila ilikuaje. Nilikua najua kutumia calendar vizuri kabisa. Siku napata ujauzito nilimwambia the guy siko safe na tukatumia kinga na sijawahi fanya nae bila kinga, sikumbuki yeye kuingia bila kinga ila ninachojua two weeks later nilijikuta mjamzito lakini bado alisisitiza nikatoe as if nilimtegeshea. Nikakataa kutoa na yeye akanipotezea basi maisha yakaendelea. Unajua kuna ile mtu anasema anagusa juu juu tu sasa wengine hata asipoingiza anamwaga halafu akiambiwa mimba anaona kaonelewa.
 
Vipi wewe haujawahi kumwaga binti ukaenda kwa mwingine?

Ila usifurahie majanga ya mwenzako.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Eti kugusa juu juu!!
Sasa kama siku zote mlitumia kinga ilikuwaje ukapata mimba? Au ilipasuka!!
Kinga nazo sio za kuamini 100%
 
Starehe na uzur zliwaponza wakat wa uschana wao
 

Wangu hakukataa mimba ila alitaka niitoe eti sijajipanga kimaisha na yeye biashara haimwendei vizuri nikakataa. Basi akanichunia ila hela ya kutoa alituma. Toka atume hela hakuwahi kuuliza kama nimetoa sijatoa au nilivyoenda kutoa nilikufa wala hakutaka kujua. Imefika miezi tisa nikamwambia ntajifungua siku yoyote na kwa kuwa yeye ndo baba wa mtoto basi last name ya mtoto ni la kwake. Ila hata kusema hela hii ikusaidie kwenye uzazi hakujaribu. Nimejifungua akaja akanipa hela kidogo akasema atakua ananipa matumizi kwa mwezi. Toka aseme hivyo hajatuma hata 100 na mbaya zaidi hata kwenye simu hapatikani na hayupo Tz. Mtoto ana miezi minne now baba hayupo.
 
Duh ila wanaume wana roho muumuu Aiseeee
 
Kuishi na mwanamke inahtajika akili kubwa sana; wanakera na wanaboa sana. Ni kumfunua na kumwacha tu akizingua; na ndo hali hii wanajikuta wapo single mamas. Wajinga mno! wanawaza hata visivyowezekana.
 
Kuishi na mwanamke inahtajika akili kubwa sana; wanakera na wanaboa sana. Ni kumfunua na kumwacha tu akizingua; na ndo hali hii wanajikuta wapo single mamas. Wajinga mno! wanawaza hata visivyowezekana.
Mkuu umetumia lugha kali sana kwa hawa dada zetu.Ila tuishi nao kwa akili sana.
 
Yaan unajua mambo mengine kuna wakati mtu unaona bora tu uwe maamuzi yanayoufurahisha moyo wako. Nilikuja gundua alituzalisha watatu kwa wakati mmoja. Tulitofautiana miezi tu.
Wanaume muda mwingine wanaumiza Sana sasa Ndo nini hivo
 
Kujifanya mwanaharakati wa haki za wanawake,Kujiona una elimu kubwa,Kupenda starehe,kuchagua sana,Kudanganywa na wavulana wasio na msimamo,Kua na kibri,Kupenda wavulana usio match yako,etc hayo yote mwisho wa siku ni mimba isoyobaba
safi sana mkuu kwa majibu mazuri
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Eti kugusa juu juu!!
Sasa kama siku zote mlitumia kinga ilikuwaje ukapata mimba? Au ilipasuka!!
Kinga nazo sio za kuamini 100%

Sijui hata mpenzi. Labda ilipasuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…