Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

Demu anafanya kazi bar?

Ni single maza?

Jamaaa aliezaa nae alimkimbia afu we kishandu ukaenda kujipachika na kipato chako cha 15k.

Wanawake wengi wana akili kubwa kuliko wanaume wengi.
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona Kishandu. Woiiiiih
 
Acheni ujinga wa kutunga story zisizo na kichwa wala miguu kuwasema hao wamama .

Sio wewe ila wapo wengi wamelelewa na hao wamama na sasa wana maisha yao ,hukulazimishwa kumuoa wala kuishi naye na haikupi heshima mambo ya mwenzi wako kuyatapanya hapa kama kutaka ushauri zaidi ya watu kukuona mjinga na limbukeni wa mahaba na mapenzi .

Kuwa single mother sio dhambi ,kukuomba ada kama baba mlezi sio dhambi huwezi kutoa achia ngazi baba mtoto arudi kwa mkewe ila ujinga ujinga wa aina hii kuwaponda hao wamama haukupi heshima zaidi ya laana na kuinekana wewe ni lijinga promax
 
vijana wetu wako busy na gen zee, nasisi tuko busy na wajomba zao! :DANKHACKERMANS:
One single mother was literally crying telling me on friday that her man friend literally wants to have her alone that she did not like it. She said she wants to explore more😭😂
 
Wakati unashusha suruali,mpaka mkaanza kusogezana na kulala miguu imechanganywa,ulimhusisha nani?
Hayo yote hukuyaona?
Siku zote muelewe,kushenyetana sio ndoa.
 
One single mother was literally crying telling me on friday that her man friend literally wants to have her alone that she did not like it. She said she wants to explore more😭😂
Was it really necessary to mention she’s a single mother? The situation would still be the same without the label..
 
Back
Top Bottom