Unazungumzia Dsm au Sinza?Hivi dar kuna mwanmke ukimtaka ukiwa na pesa yako anakataa kweli mjumbe
Unazungumzia Dsm au Sinza?Hivi dar kuna mwanmke ukimtaka ukiwa na pesa yako anakataa kweli mjumbe
kufikia malengo yako!Watanisaidia nn?
Kivpkufikia malengo yako!
sasa huyo besti yako ndio dar nzima?Mmmmh, Rafiki hiyo ni kweli,mie shahidi, kuna mdada ananiambiaga kbs best km huna.....hata nyege sitakua nazo
Sinza napaheshimu sana mkuu kuna baba mkwe pale ila vibinti vya pale havijui kuinyima yani ukiomba imo na saizi vina mtindo wa kuomba wenyewUnazungumzia Dsm au Sinza?
kwani we nani alikwambia ukizaa uke unakuwa wazi?Ila alikuwa na kitu tight kama vile hajazaa.
Siku moja kakuta sms ya mwanamke mwingine anaomba elfu 8.
Ghafla mnuno ukaanza ila mwisho wa siku mnuno uliisha kwa kuzagamuana.
kuna wazee pia wanakwama..
Sasa wewe unatetea nini hapa ukiwa na njaa unaweza kua na nyege kwelisasa huyo besti yako ndio dar nzima?
una maana gani?Me sijasema hivyo
Wana namna hiyo ninao kama wa NNE hv,na bado story pia nazisikia kwao wenyewe bila hela...nyege na hamu anakua hanasasa huyo besti yako ndio dar nzima?
Wanawake ni wapambanaji wanajitafutia ridhiki na wanataka 50/50una maana gani?
tuishie hapo!Kivp
Njaa,Mikopo na madeni mixer marejesho ,anatoa wapi nyegeSasa wewe unatetea nini hapa ukiwa na njaa unaweza kua na nyege kweli
duhh siwawezi!Sasa wewe unatetea nini hapa ukiwa na njaa unaweza kua na nyege kweli
duhh basi sawaa..Wana namna hiyo ninao kama wa NNE hv,na bado story pia nazisikia kwao wenyewe bila hela...nyege na hamu anakua hana
Mm Niliwah kuwa na mahusiano na single mother fulani, hv najua nachosematuishie hapo!
hatuwaachi mpaka mdhalilike pia!Hebu tuache wazee wewe. 😊

ni wewe sasa sio wote njaa kali..Mm Niliwah kuwa na mahusiano na single mother fulani, hv najua nachosema
Usibebe majukumu yasiyo kuhusu, makosa yake yeye si mzigo wako na si lazima ubebeKazi yangu ni bodaboda, na nilijuana na huyu single maza kupitia kazi yangu hii, maana yeye anafanya kazi bar hivyo uwa anatoka usiku sana, basi akachukua namba yangu ikawa kila usiku anapiga simu nimfate mda wa kutoka kazinina mazoea yakaanzia hapo.
Baba mtoto wake ni dereva wa halmashauri fulani huko mkoani, na anampenda sana huyu dada, kiufupi baba mtoto anaonekana alikuwa na malengo na huyu single maza, hata kuhudumia alikuwa anahudumia kwa uwezo wake aliyojaliwa.
Sasa huyo baba mtoto baada ya kugundua mimi Nina mahusiano na huyu single maza wake, amekata mawasiliano kabisa na huyu single maza yaani hatoi hata Mia, siyo kodi, chakula wala Ada ya mtoto.
Nimejahidi kuwa nasaidia kuhusu chakula na kumchangia kodi(tukaanza kuishi wote) nasaidia pia mahitaji mengine madogo madogo, kwa bodaboda yangu nimekuwa nikimpeleka kazini na kumrudisha usiku wa manane bure kabisa,, ila mambo yamekuwa magumu ananitaka nilipe na Ada ya mtoto wake sasa.
Nimemwambia amshirikishe baba wa mtoto wake, anakataa anasema hataki msaada wowote kutoka kwa baba mtoto, kwamba ananipenda mimi kwasasa hivyo mimi ndiyoo nimsaidie hiyo hela ya Ada.
Kipato chake yeye ni 300000 kwa mwezi
Nyumba tunayokaa 100000 kwa mwezi
Dada wa kazi 50000
Mtoto wao anasoma private Ada 250000 kila robo muhula hivyo kwa mwaka milioni,
School bus 50000 kila mwezi
Hapo chakula bado na mahitaj mengine,
Kuhusu mimi kipato changu ni 15000 kwa siku nikitoa mafuta na hela ya tajiri,
Wakuuu hivi natoboa kweli hapaaaaaa
Baba wa mtoto kasusaaa kabisa