Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

Mwambieni safari njema huko aendako. Bila shaka safari yake inaelekea magambani
Lazima ameshanunuliwa Huyu maana hata sababu yakuhama haina mashiko,umaskini hauna adabu ni kwa bei yeyote mtu anakwenda
 
Lazima ameshanunuliwa Huyu maana hata sababu yakuhama haina mashiko,umaskini hauna adabu ni kwa bei yeyote mtu anakwenda
Kama wamenunuliwa wahuni huko BAVICHA, itakuwa huyu wa kijijini kwa Nchemba? Aende salama.
 
Tundu Lisu ni kiboko kwa sasa yupo mkoa wa Ruvuma,akifungua matawi na kuhutubia mikutano.huyo diwani njaa ndo imemsukuma.
 
Singida Bwana!
Wanataka wabunge wanaoleta misaada kama Nyalandu na MO.Uneona wapi ukijiletea maendeleo kwa kujichanigha inakataliwa?Au ni ile michango ya kutijirisha watendaji?Tundu lissu si mfadhili bali ni Muelimisha umma kutambua haki zao kisha kujiletea maendedeleo wenyewe.Kama walisubiri awaletee misaada watangoja sana.Walioelimika ndo hawo wanatimua vumbi wanadai na kutetea haki zao na za wengine.
Singida imekuwa nyuma kimaendeleo kwa muda mrefu kutokana na wanasiasa wengi wanobebewa na serikali ilihali hawana msaada kwa wananchi wao.Usiwadanganye wananchi na misaada midogo huku ukiwaingiza kwenye matatizo makubwa.CDM kuna democrasia awapishe wengine waendeleze sebene la maendeleo,Magamba wanatumia pesa walizozalisha kutokana na utajiri wetu.2015 si mbali,sijui watakimbilia wapi!
mkuu umenena vyema, si unamkumbuka yule mburushi wa singida mjini? Kwa kweli kuna mambo mengine yanasikitisha singida!
 
Singida jiimarisheni, siwezi kumsahau mgombea ubunge wa Chadema aliyejitoa 2010 wakati tayari ccm wakiwa wameanza kukata tamaa, hii ni aibu ni afadhali na inaeleweka kama m2 atajitoa akiwa na sabbu za maana lakini kvnunuliwa ni aibu!
 
Nafikiri CHADEMA hawakatazi wananchi kuchangia maendeleo isipokuwa hawakubali wananchi kulazimishwa kuchangia miradi ambayo ni ya kifisadi, miradi ambayo matumizi ya fedha hayapo wazi. Pia siyo sahihi kulazimisha wananchi kutoa michango iliyo nje ya uwezo wao; mfano kumlazimisha mwananchi asiyemudu chakula cha nyumbani kwake kuchangia shilingi 50,000/=
 
Madiwani wanne wa chadema singida wamevua gwanda na kuvaa uzalendo akiwemo diwani wa iyanja mhe reuben moses
 
Madiwani wanne wa chadema singida wamevua gwanda na kuvaa uzalendo akiwemo diwani wa iyanja mhe reuben moses
Hii habari ilikuwepo tangu jana lakini ilisema ni diwani mmoja ambae ndiyo ummtaja kwa jina je hao wengine hawana majina?
 
Madiwani wanne wa chadema singida wamevua gwanda na kuvaa uzalendo akiwemo diwani wa iyanja mhe reuben moses

tutajie hao wangine watatu,tarifa ya Amos Mughenyi tulishaitoa toka jana.
 
Madiwani wanne wa chadema singida wamevua gwanda na kuvaa uzalendo akiwemo diwani wa iyanja mhe reuben moses

Tutajie hao watatu,habari ya Mh. Amos Mughenyi tulishaitoa toka jana
 
Madiwani wanne wa chadema singida wamevua gwanda na kuvaa uzalendo akiwemo diwani wa iyanja mhe reuben moses

you stupid, wamevaa uzalendo wa akina dewji wa kuiba viwanja vya GAPEX kijifanya wana CCM kumbe wanatumia chama kama kichaka tu cha kuhujumu uchumi, whao madiwani ni wanafiki wakubwa.
 
Mimi nimempenda sana huyo DIWANI kwa maamuzi ya busara,kuamua kuhama ili chama kijue sio mwenzetu tena kuliko wanaotumiwa na CCM,kuhujumu chama na kutoka hawatoki eti wanatetea chama kumbe ni MASALIA.

kwa hiyo ni bora ukipitiwa na mamilioni ya CCM,hama kabisa na chama kuliko kutuhujumu.Hongera sana MH.DIWANI.
 
Mimi nimempenda sana huyo DIWANI kwa maamuzi ya busara,kuamua kuhama ili chama kijue sio mwenzetu tena kuliko wanaotumiwa na CCM,kuhujumu chama na kutoka hawatoki eti wanatetea chama kumbe ni MASALIA.

kwa hiyo ni bora ukipitiwa na mamilioni ya CCM,hama kabisa na chama kuliko kutuhujumu.Hongera sana MH.DIWANI.


SAFI sana nape tafuta wengine tena
 
Aondoke haraka sana tunajua wakati huu Singida ni kama ETHIOPIA njaa kali usipokua makini utauza haki zako zote kwa mkate wa siku moja kama yule jamaa wa kwenye Biblia tena aondoke Chadema isonge mbele
 
chadema nisawa na mtumba hauna bei maalum wasingida bei yake wambea beiyake wamwanza wakaratu ndio raisi zaidi
 
Back
Top Bottom