Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

maendeleo gani yaliyoletwa na lissu zaidi ya migogoro na watoto kufaulu na kushindwa kwenda shule kwa sababu shule hazijakamilika.endelea kubishana hapa jf wakati madiwani wanazidi kukimbia na kukiacha chama
kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo? Mkuu.
 
kwa hiyo mkuu kwa nini unalipa kodi? Naomba nifafanulie!
Kodi ninayolipa napenda itumike katika mipango ambayo ina manufaa ya moja kwa moja kwangu na jumuiya iliyonizunguka. Itumike kuondoa kero zinazogusa jumuiya moja kwa moja. Itumike kufuata mapendekezo na mipango ya jumuiya yangu na sio venginevyo.

Kwa mfano katika jumuiya yangu tatizo kubwa ni bomba la maji (mfereji) . Basi kodi itakayokusanywa itumike kuondoa tatizo hilo kwanza na sio venginevyo. Kwa ufupi serikali ya Mtaa/Kata/Tarafa/ n.k lazima wajali kero hiyo kabla ya kuangalia mipango yao mingine ya maendeleo ambayo sio kero kubwa katika jumuiya yangu.
 
huwa ndo hapo nachokaga na chadema..kuna kijiji kuna mradi wa tasaf ... Wananchi jukumu lao lilikuwa kusaidi kusomba mawe kuweka kwenye lori ..wamekuja chadema wanawambia sio nyukumu lao kufanya hivyo ni serikalii...lakini sera ya tasafa wananchi wanapaswa kuchangia nguvu zao katika sehemu ya mradi lengo kuwafanya waone kuwa ile ni mali yao...wananchi waliposikia hilo ukweli walishanga sana na kuona cdm chama cha ajabu sana, kwanza wamezoea kushiriki katika shughuli za maendeleo ya kijiji..ukweli waliwazomea wale viongozi tena sana...
ukianza kula nyama za watu hutoacha. Ccm imewajengea mfumo mbaya wananchi wa kunyanyaswa na kunyonywa na kuona ni haki yao.
 
Aliyekuwa Mh. Diwani kata ya Iseke Tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi AMOS RUBEN MUGHENYI CHADEMA baada ya kujihudhuru kesho atajiunga na Magamba. Kwa Habari nilizozithibitisha kutoka kwa mmoja wa wabunge wa CCM wa mkoa wa SINGIDA ni kwamba diwani huyo atajiunga na CCM kesho katika mkutano utakaofanyika Kibaha mkoani Pwani. Inaonekana ni mpango maalumu! Chadema inapaswa kuwa makini sana katika kipindi hiki.
kashanunuliwa ka samaki,daa heri umaskini wa kipato,kuliko umasikini wa Akili. Ccm ni Zaidi ya uijuavyo!
 
ww hutambui km nchi hii inaongozwa kwa kodi za wananchi au kodi ya kuchangia maendeleo sio michango?

Kwa hiyo utaratibu na mfumo uliokuwa unatumika hapo kwenye hiyo kata ni rasmi na kwamba uko approved na mamlaka ya kodi na sheria zake? Kama ni utaratibu sahihi mbona haupo nchi nzima?
 
Inafurahisha kusikia kuwa wananchi wa kata ya Ikungi wanalilia kuchangia maendeleo na kwamba ni Mbunge wao tu ndio anawazuia! Hakika hawa wanatakiwa kuwa mfano wa kuigwa kwani wako watanzania wengi wanakwepa hata kulipa kodi wakiwemo wafayabihashara, wanasiasa na hata wananchi wa kawaida. TRA wanapaswa kwenda kujifunza kwa hawa wananchi pengine itasaidia kuboresha mikakati ya kulipa kodi pasipo shuruti.
Elewa somo. Soma uelewe kabla ujachangia kitu. Tatizo lenu magamba ni elimu duni ya shule za kata.
Diwani kama kajiuzulu kwa sababu wananchi wanakubaliana na mbunge wao sasa wewe utasemaje wananchi wanataka kuchangia???
Mimi ni mmoja wa wapenda kuchangia maendeleo lakini iweje nichangie maendeleo kisha watu wengine wale raha kwa kodi yangu wakati mie na wananchi wengine tunataabika?
Huyu diwani atakua kapoteza malengo ya ulaji na hapa sasa amegundua yuko sehemu isiyo salama. Kama wananchi wangekaidi agizo la mbunge kwani angejiuzulu. Hopeless diwani
 
Unajifurahisha. Tumetoka jimboni kwa lissu hata wiki haijaisha. Lissu ni maarufu sasa kuliko wakati wowote huko jimboni kwake. Ccm hawawezi hata kufanya mikutano jimboni kwa lissu.

BTW: huyu diwani hakuwa jimbo la lissu. Alikuwa wa singida magharibi wakati jimbo la lissu ni la mashariki.

we masalia usituvurugie chama
 
unageuza kibao unayetoka povu ni wewe unayengojea mkono undondoke ccm si chama tena ni genge la wafirisi nchi na siku zenu zinahesabika mtwara wameanza kesho kanda ya ziwa baadaye nyanda za juu kusini mpaka mukome na wizi wenu
yani kwa akili zako chadema watachukua nchi 2015??labda 2060 huko...ila si vibaya ukiwaza kupata mtoto wakati huna kizazi ....... Ntatembea uchi kabisa
 
bora amejiuzulu maana chadema sio chama cha kulea wanafki,maana ukileta za kuleta wanakufukuza,mfano ni madiwani wa Arusha
 
ukianza kula nyama za watu hutoacha. Ccm imewajengea mfumo mbaya wananchi wa kunyanyaswa na kunyonywa na kuona ni haki yao.

hayo yako..chama chenyewe hata mwanangu yuko sekondari hakijui ila ukimwambia ccm dah anakijua mbaya et ccm ndo hawa wametujengea maabara ya kisasa shuleni kwetu namwambia ndio .... Anauliza hiyo chadema ndo samaki gani huyo.... Mbona hata kijiji kwetu huyo samaki hajwahi onekana.... Namwambiaga ni wapiga debe fulani hivi wanatafuta ela ya kula kupitia m4c
 
yani kwa akili zako chadema watachukua nchi 2015??labda 2060 huko...ila si vibaya ukiwaza kupata mtoto wakati huna kizazi ....... Ntatembea uchi kabisa
Ni Kweli utatembea uchi manake habari ndio hiyo
 
Nguvu ya Mangula na Kinana kama radi za Tabora, hakuna wa kuzizui. CDM wanagongana kama njugu mawe. Babu na mpenzi wake nao kufyata mkia. Diwani amechoshwa na Viroba.
 
Naomba uelewe Chadema si chama lelemamama hivyo huyo diwani ameona hauwezi ukweli wa chadema manake Chadema wabovu wote hawatakiwi kabisa bora aondoke hana maana yoyote huyo
 
Bado njaa inaharibu sana siasa za Tanzania. Watu wasio na future wanatakiwa wasikubaliwe kabisa nafasi za uongozi. Ni kupoteza muda, gharama na kurudishana nyumba kimaendeleo
 
UNYAKHAE we ni mnyaturu wa wapi usiye na akili? We unafikiri sisiemu itatupeleka wapi? Jaribu bac kutembelea maeneo ya migodi, mbuga za wanyama mabonde mazuri ya kilimo uone mwenyewe wananchi maskini wanavyonyanyaswa na wawekezaji walioletwa na sisiemu sio unakaa tu Singida unakula uwele hujui kinachoendelea
 
Ndg yangu UNYAKHAE nakushangaa sana unamwamini MWIGULU NCHEMBA kiongozi asiyekuwa na adabu hata kidogo na kumbuka huyo MWIGULU mwdnyewe amechakachu cheti nanake hilo jina c lake hovyo tuulize sisi tunamjua
 
NILIKUWA NAFIKIRI WASOMI WENGI WANA UWEZO WA KUFIKIRI JAMBO NA KUELEWA HARAKA MBUMBE WAPUMBAVU NI WENGI INASIKITISHA SANA KUONA BADO WASOMI KAMA NYIE MNASHABIKIA MAGAMBA! Lo nimechoka kabisa
 
Back
Top Bottom