Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

Diwani alichongea namcot kutoka RADIO FREE AFRICA "UONGOZI WA CHAMA HAUTAKI TUSHIRIKIANE NA VIONGOZI WA SERIKALI KATIKA MIPANGO YA MAENDELEO, TULIKUWA TUMEANDAA HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA MADARASA ILI TUKAMILISHE UJENZI WA SHULE ZETU AMBAZO KUNA WANAFUNZI WALISHINDWA KUENDELEA MASOMO KUTOKANA NA UHABA WA VYUMBA MWAKA JANA NA MWAKA HUU TUNATEGEMEA KUPATA WANAFUNZI WAPYA. KATIKA HARAMBEE TULIYOANDAA MGENI RASMI ALIKUWA Mh MAGUFULI. CHA KUSHANGAZA UONGOZI WA CHAMA ULINIKATAZA NA KUNISHAURI NA KUPENDEKEZA IKIWEZEKANA TUMPENDEKEZE ASKOFU YOYOTE AWE MGENI RASMI NA UONGOZI UKAHAHIDI KUTUPA SAPOTI YA HALI NA MALI". My take ndg zangu viongozi wengi walioshika nyadhifa muhmu na wabadhifu wameindeleza kaskazn hasa arusha na kilimanjaro ambao wanajiita wenye chama. Tukiendeleo kuwasikiliza na kutii amri zao ambazo ni sumu kwa maeneo tutokayo tubaki daima nyuma.

nimevutiwa na madai ya chadema kuwa mgeni rasmi awe askofu,ndio mana tunasema hiki chama na kanisa ni pete na kidole
 
Mgeni rasmi awe askofu yeyote badala ya magufuli - chadema
 
Dunia gani hiyo ambapo maendeleo yanakuja kutoka kwa mungu badala ya juhudi ya kazi ya wananchi?
 
Hongera mh mughenyi kwa kufanya maamuzi magumu ya kukataa kutumika kwa maslahi ya watu wachache badala ya wananchi waliokuchagua
 
nimevutiwa na madai ya chadema kuwa mgeni rasmi awe askofu,ndio mana tunasema hiki chama na kanisa ni pete na kidole

tafsiri ya neno unyakhae kwa kabila letu ni hivi

unya - umekunya

khae - nyumbani

that means umekunya nyumbani

maneno huumba, hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo like your Id
 
Huyu nae atakuwa masalia nini manake sio wakaskazini
 
huyo ni fisadi, ameona anapeteza fedha ambazo angajipatia kifisadi kwa kuchangisha watu. CDM hakuna nafasi ya ufisadi.
 
Tundu lissu ana hali mbaya jimboni kwake, umaarufu nje ya jimbo lakini nyumbani kunateketea
Kama hasingekuwa maarufu jimboni kwake angepataje huo ubunge? "Controversial statement"
 
Umejiandikia tu or umetafakari kwanza as a GT ndio ukaandika!

nimemwona katibu mkuu wa chadema mkoa wa singida, kafafanua kuwa yeye diwani aliyejiuzulu katika kampeni zake wakati wa uchaguzi wa 2010, aliaahidi kuwa hakutakuwa na michango isiyokuwa na mashiko kutoka kwa wananchi.Kwahiyo, kujiuzulu ni kula matapishi yake.Na pia kama ni hivyo kwanni asijiuzulu mapema ?inatia shaka hapa ndo kamshiko ka sekretariati ya ccm kununua madiwani,Kwa huyu diwani hakuwa na dhamira ya kuwatumikia watu, sababu michango ndo kuwatumikia watu?si kweli ni utumwa wa fikra.
 
Singida jiimarisheni, siwezi kumsahau mgombea ubunge wa Chadema aliyejitoa 2010 wakati tayari ccm wakiwa wameanza kukata tamaa, hii ni aibu ni afadhali na inaeleweka kama m2 atajitoa akiwa na sabbu za maana lakini kvnunuliwa ni aibu!
Eti kapewa u DC;akili hiyo au matope?Ubunge na U- DC ipi dili??????
 
tafsiri ya neno unyakhae kwa kabila letu ni hivi

unya - umekunya

khae - nyumbani

that means umekunya nyumbani

maneno huumba, hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo like your Id

sisi kwetu hatujafundishwa kujibizana na watu wanaofikiri kwa kutumia viungo mbadala ie kile kiungo cha haja kubwa.aka meya wa jiji la dsm tumia mda wako kujenga hoja sio kutukana
 
tafsiri ya neno unyakhae kwa kabila letu ni hivi

unya - umekunya

khae - nyumbani

that means umekunya nyumbani

maneno huumba, hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo like your Id

usichambue jina la kwenu kwa mtazamo wakutetea upuuzi na kudhalilisha kwenu badala ya kujibu hoja ya msingi. Hapa sgd cdm imekaa vibaya tafuta means ya kuinusuru badala ya kuchambua majina. Be GT
 
tafsiri ya neno unyakhae kwa kabila letu ni hivi

unya - umekunya

khae - nyumbani

that means umekunya nyumbani

maneno huumba, hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo like your Id

unatumia kichwa kufuga nywele tu badala ya kufikiri, ndio mana kule bavicha mnatifuana, sasa akili matope kama ya kwako utashauri nini wanaume zaidi ya kutumwa tumwa vinywaji na karatasi?
 
Back
Top Bottom