huyo ni fisadi, ameona anapeteza fedha ambazo angajipatia kifisadi kwa kuchangisha watu. CDM hakuna nafasi ya ufisadi.
Diwani huyo ni mhuni kama kisandu!!!!
Taarifa ya TBC leo saa mbili usiku katibu wa cdm amekiri nchi inaongozwa kwa kodi mbilimbali. Ukizungumzia michango ndyo kodi kodi zenyewe. Lazma mkubali sera hii inawatafuna,itz not applicable in developing countries like TZ
Tundu lissu ana hali mbaya jimboni kwake, umaarufu nje ya jimbo lakini nyumbani kunateketea
Watu wa aina ya huyu Diwani wanatakiwa kupuuzwa kipindi hiki tunapoelekea kwenye ukombozi wa pili wa Mtanzania,naona malengo yake hayakutimia
Hii sera ya kuzuia wananchi kuchangia maendeleo itakiumiza sana chadema mana ndio inayosababisha migogoro katika halmashauri zote zinazoongozwa na chadema. Wananchi wanataka maendeleo chama kinawakataza kuchangia
watu hawa ndiyo tunawahitaji wanatambua walijikwaa wapi,ukombozi wa pili wakati nchi hii iko huru. Usidanganyike jiulize kwnn watu wanahama chama nasio kufurahia utabaki pekeyako.
CCM huwa hawawahadai wananchi na ahadi hewa,JK katika uchaguzi uliyopita alitoa ahadi zaidi ya 1000,je unalijua hili?Je unajua kati ya hizi ametekeleza ngapi?aliwahadaa wananchi kwa ahadi hewa kedekede
Hii imani kuwa maendeleo yanaletwa na serikali ni imani mufilisi kabisa
Du Kumbe CDM wana sera ya Kutochangia maendeleo?. Ipo kwenye andiko gani tuleteeni humu tuipitie.