Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Si kuna wawakilishi kwenye kamati za bunge na mawaziri vivuli mbona hawahoji suala hili, la uwendweshaji wa baadhi ya mashirika ya umma ambayo yanaendeshwa na hela za kodi ya taifa.
Ni hapo kwenye kamati ndipo wanaweza kuulizana menejiment inamfanyia nani kazi na pengine aitwe huyo director kuhojiwa mbele ya kamati kwa nini matukio fulani ambayo wengine waliona yana umuhimu kutopewa kipaumbele au sio kamati zote zenye wawakilishi wa upinzani.
Kuna vitu vingine inakuwa ilimradi kulalama tu lakini njia sahihi azitumiwi mbona ZZK huwa anaomba mafaili yanayohusiana na shughuli zake kutoka serikalini, sasa ni lini umesikia mhusika wa upinzani akiliuliza hili swala kwenye kamati au kutoa changamoto za mabadiliko, maana ZZK akimaliza kusoma asivyopenda serikalini kwenye uwanja wake huwa anaandika kwenye blog yake na kutoa mapendekezo.
Hapa sio TBC tu hata magazeti yanaoendeshwa na kodi hayastaili kuwa bias kamwe, wengine watakuwa walalamikaji miaka yote wakati njia za mabadiliko wanazijua.
Ni hapo kwenye kamati ndipo wanaweza kuulizana menejiment inamfanyia nani kazi na pengine aitwe huyo director kuhojiwa mbele ya kamati kwa nini matukio fulani ambayo wengine waliona yana umuhimu kutopewa kipaumbele au sio kamati zote zenye wawakilishi wa upinzani.
Kuna vitu vingine inakuwa ilimradi kulalama tu lakini njia sahihi azitumiwi mbona ZZK huwa anaomba mafaili yanayohusiana na shughuli zake kutoka serikalini, sasa ni lini umesikia mhusika wa upinzani akiliuliza hili swala kwenye kamati au kutoa changamoto za mabadiliko, maana ZZK akimaliza kusoma asivyopenda serikalini kwenye uwanja wake huwa anaandika kwenye blog yake na kutoa mapendekezo.
Hapa sio TBC tu hata magazeti yanaoendeshwa na kodi hayastaili kuwa bias kamwe, wengine watakuwa walalamikaji miaka yote wakati njia za mabadiliko wanazijua.