kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
Baada ya kujiuzulu,nini kitafuata?
Ataamia CCM kuwa mpiga debe na uchaguzi utafanyika na CDM kurudisha kata Yao.
Baada ya kujiuzulu,nini kitafuata?
Umejiandikia tu or umetafakari kwanza as a GT ndio ukaandika!
mkuu za kuambiwa changanya na za kwako! Hahaaaaaa.Inafurahisha kusikia kuwa wananchi wa kata ya Ikungi wanalilia kuchangia maendeleo na kwamba ni Mbunge wao tu ndio anawazuia! Hakika hawa wanatakiwa kuwa mfano wa kuigwa kwani wako watanzania wengi wanakwepa hata kulipa kodi wakiwemo wafayabihashara, wanasiasa na hata wananchi wa kawaida. TRA wanapaswa kwenda kujifunza kwa hawa wananchi pengine itasaidia kuboresha mikakati ya kulipa kodi pasipo shuruti.
Amos mughenyi aliekuwa diwani wa kata ya iseke kupitia chadema amejiuzulu kwa madai kuwa amechoshwa na sera mbovu za chama hicho za kuwakataza wananchi kuchangia maendeleo kitendo kilichosababisha kudumaa kwa huduma za kijamii kwenye kata yake iliyopo wilaya ya ikungi jimbo la tundu lissu.
ina maana wananchi wa ikungi hawalipi kodi? Au michango ndo kodi? Naomba nifafanulie mkuu!ww hutambui km nchi hii inaongozwa kwa kodi za wananchi au kodi ya kuchangia maendeleo sio michango?
Tundu lissu ana hali mbaya jimboni kwake, umaarufu nje ya jimbo lakini nyumbani kunateketea
kabla hajajiuzulu angetuambia vijana wa wilaya ya ikungi watapata wapi pesa za kuchangia miradi ya maendeleo wakati kazi hakuna? Huyo diwani kashanunuliwa ''njau''
maarufu kwa lipi hasa????mana hakuna ambacho kafanya utasema anapita mbele kuongea kafanya na wananchi wamkubaliunajifurahisha. Tumetoka jimboni kwa lissu hata wiki haijaisha. Lissu ni maarufu sasa kuliko wakati wowote huko jimboni kwake. Ccm hawawezi hata kufanya mikutano jimboni kwa lissu.
Btw: Huyu diwani hakuwa jimbo la lissu. Alikuwa wa singida magharibi wakati jimbo la lissu ni la mashariki.
Tundu lissu ana hali mbaya jimboni kwake, umaarufu nje ya jimbo lakini nyumbani kunateketea
January inakaribia watoto wanahitaji ada na sare za shule, ni rahisi sana kwa watu dhaifu kuuza utu wao kwasababu ya njaa, ndivyo ilivyo kwa diwani huyu, CCM wana hela za kuhonga CDM wana Mungu.
Well.,cjui unayoyaongea yanahusianaje na uzi ulioletwa. Tundu Augustino Mughwai Lissu ni mbunge wa Singida Mashariki.,Iseke ni kata iliyopo Singida Magharibi, jimbo lnaloongozwa na Missanga(CCM).. Kama unataka tuje na hoja za kuonesha maendeleo ambayo Lissu analeta Jimboni kwake,hebu anzisha uzi mwingine tafadhali...