Sinema tosha mauaji ya bilionea Msuya

Sinema tosha mauaji ya bilionea Msuya

Hahaaaa![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huwa sipigi hovyo hovyo

Kijana wangu nakushauri, kuanzia leo usiwe na mtazamo wa kulipiza kisasi, hasa kuua kwani imeandikwa kisasi ni chake Yeye ahukumuye kwa haki. Pia imeandikwa ahukumuye kwa upanga atahukumiwa kwa upanga. Hayo mapungufu unayoyaona kwa wauaji hawa, kwako yatakuwa dhahiri hata ZAIDI.
 
Ukisoma mtiririko wa ushahidi utagundua kuwa upelelezi ulianzia kwenye mtandao wa simu.

Makosa yalikuwa wapi..... 1. Ni Sharif Mwenyewe kujihusisha na uratibu wa mauaji ilihali yeye Mwenyewe ndiyo alikuwa mwenye takwa la kutimiza mauaji.

2. Mtiririko ilikuwa sharif kumtumia Mussa ambaye ni mfanyakazi wake kusajili line za simu, ambaye Mussa alimtumia Adam na huyu alimtumia mwanamke na huyu mwanamke alimtumia mwanamke mwingine ambaye naye kwa kutokujua alitumbukiza hiyo line kwenye simu yake hivyo IMEI yake ikasoma huko airtel.

Pili uzito wa ushahidi uliotumika mahakamani ni kitu kinachodaiwa hati ya tamko la washitakiwa wanne kukiri kosa (sasa inawezekana walikiri kwa hiyari au kwa kifinyo cha polisi).... Kinyume na hapo wangekuwa smart kidogo na ngangari sidhani km ingekuwa rahisi

umewai fanyiwa touchering na ant robbary wa police ni hatari ya kucheza na mamba kwenye maji
 
Kijana wangu nakushauri, kuanzia leo usiwe na mtazamo wa kulipiza kisasi, hasa kuua kwani imeandikwa kisasi ni chake Yeye ahukumuye kwa haki. Pia imeandikwa ahukumuye kwa upanga atahukumiwa kwa upanga. Hayo mapungufu unayoyaona kwa wauaji hawa, kwako yatakuwa dhahiri hata ZAIDI.
Akiwemo na jiwe sio
 
Kosa lilikua hapo laini ilisajiliwa lakini ilitumika kwny simu ambayo ina namba ingine...
Wauaji siku zote hufanya mistake kwny mpango kwa kujua au kutokujua
Nadhani unachanganya killers na assasins. Hawa ni watu wawili tofauti wanaofanya kazi moja.
Killers wengi ni unprofessional ,always wanaacha pattern flani kwenye matukio.

Assasins, hawa ni professionals. Simply because wanajali kazi yao. Wako trained mara nyingi.. na wengine wanakuwa na background za jeshi.
Hawa wanajua kuua kwa njia ambayo hawataacha alama yoyote nyuma. Na kuwapata huchukua miaka na miaka.
 
Unajua kuna kitu kinanifikilisha.Iweje Sharifu mwenye Pesa atumwe Na chussa asiye Na Pesa za kumfanania??Na aogope Eti angetoka angemuua
Naomba tufafanulie hapo mkuu
Sharif alitumia akili sana. Hiyo ni protective tactic. Nadhan alijua kwa vyovyote vile wangekamatwa, na wakidakwa ishu iishie kwa chusa tu isifike kwakwe maana huenda angeongezewa kufungo. Plan ime backfire yeye yuko safe wengine wameenda na maji.
 
Kumbe Police Wanapiga kazi hivi???


Rip Msuya
Nadhani wahusika wa kesi waliwapa nauli za kwenda kaliua na kigoma pamoja na posho pia, polisi wetu sana nyodo bana utadhani huko chuoni wamelipa hata ada kumbe wanasomeshwa bure kabisa
 
Sharif alitumia akili sana. Hiyo ni protective tactic. Nadhan alijua kwa vyovyote vile wangekamatwa, na wakidakwa ishu iishie kwa chusa tu isifike kwakwe maana huenda angeongezewa kufungo. Plan ime backfire yeye yuko safe wengine wameenda na maji.
Una maana Chusa au Sharifu? Rudia kusoma.
Chussa nasikia hahusiki muulizw Twenty 4seven( Sharifu kamsingizia tu kwa kuangalia mazingira ya aliowatumia wote nyoka wake( Watu wa migodini Ndo tu najua mambo ya nyoka we nyamaza)
Halafu Pesa za kuwahobfaz wauaji Mbona nilikuwa za Sharifu hakuna alipoaema Chussa alimmwagiA akachukue au kwa Mkewe au Bank.
Kumbuka yote yanatokea Chusa yupo Lupango kwa kesi ingine ya Kuua MTU)
Ina Maana A look alabai ( Alibi) kwake haikuwepo
Na hao hawezi kuepuka kifo au maisha jela zile Laini za Simu Tells everything and it was Detailed.
 
Una maana Chusa au Sharifu? Rudia kusoma.
Chussa nasikia hahusiki muulizw Twenty 4seven( Sharifu kamsingizia tu kwa kuangalia mazingira ya aliowatumia wote nyoka wake( Watu wa migodini Ndo tu najua mambo ya nyoka we nyamaza)
Halafu Pesa za kuwahobfaz wauaji Mbona nilikuwa za Sharifu hakuna alipoaema Chussa alimmwagiA akachukue au kwa Mkewe au Bank.
Kumbuka yote yanatokea Chusa yupo Lupango kwa kesi ingine ya Kuua MTU)
Ina Maana A look alabai ( Alibi) kwake haikuwepo
Na hao hawezi kuepuka kifo au maisha jela zile Laini za Simu Tells everything and it was Detailed.
Sorry simu yangu wkt mwingine inakosea maneno Sijui why)
 
Kumekucha!!!! Sasa kafanyeni kazi kwenye ALIBI zenu , mjadala utaendelea saa 7 mchana lunch time!!
Hivi hii neno ALIBI maana yake nn? Sijawahi kusikia likitamkwa hata kwenye kesi zingine za mauaji!!! Kesi hii police wameweka mbwembwe za Hatareeee!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wadau naombeni jibu?
 
Katika huu mkasa mimi naona kosa la kwanza kabisa walilolifanya hawa wauwaji ni kumuacha hai Huyo kijana wa kimasai alikuwa eneo la tukio, nadhani walifanya hivyo ili wasiue watu wengi zaidi Na kulifanya swala kuwa kubwa zaidi lakini katika sura nyingine hili lilikuwa ni tatizo kubwa sana.


Lakini katika upande mwingine muhusika alimaliza mission katika mazingira ambayo watu wengi sana walimuona ( wauwaji wenzie ) hii ilifanya kila mmoja kuwa shahidi , kama unavyo juwa ili jamii tunayoishi ikamilike lazima wazembe wawepo ( hivyo hata katika hiyo mission wazembe wenye mioyo ya ukatilii walikuwepo tu ) . Hivyo kukamatwa kwa mzembe mmoja tu inatosha kabisa kuwakata wote waliosika

Mwisho kabisa sifa zote ziliendee jeshi la polisi kwa kukamilisha mission ngumu na kupelekea haki kutendeka. Hii kwa kiasi Fulani inaweza kurudisha imani na heshima kwa jeshi letu la polisi
 
Back
Top Bottom