Sinema tosha mauaji ya bilionea Msuya

Sinema tosha mauaji ya bilionea Msuya

Mawasiliano ya simu kaka, walitrace mawasiliano ya mwisho ya marehemu, simu hizi tunazipenda na ni nzuri kwa matendo mazuri tu
Hiyo simu ilikua imesajiliwa na kijana wa kimasai alikua anapewa mawe na sharif,mpka akasilimishwa kua muislam ila kibao alichopewa police alitoka kawa kilema na kurudi kwenye dini yake na mpka leo yuko kijijini...hataki kusikia mererani[emoji16][emoji16]
 
Sazingine wapelelezi hufanya kazi yao vzuri sana.
Kwa mfano katika kesi hii, kuna mshitakiwa alinaswa kwa mganga wa kienyeji akioga 'ndagu' za kuzuia kukamatwa.
Kumbe kati ya wale wateja wenziye aliokuwa nao pale walikuwa ni polisi wakimfuatilia.
Tatizo linakuja kwa waandaaji wa mashitaka. Wale wakihongwa hujifanya mambumbumbu na kuacha mianya kibao ya kisheria, inayompa taafifu mtuhumiwa kwenye hukumu.
Hata kesi hii, nina wasiwasi sana matokeo yavrufaa, kama washitakiwa watakata rufaa, tunaweza kusikia mengine.
Waganga wa kienyeji wamepoteza watu wengi sana. Toka enzi za Kinjekitile mpaka leo hii.
 
Back
Top Bottom