Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,703
- 96,613
Aseee si mchezoHii case ilikamata watu wengi tu ila ambazo hawakuhusika wakaachiwa,kuna mmasai nyoka wa sharifu ndio hizo line ziliandikwa jina lake alipewa kibano mpka kuvunjwa mguu,hakua anajua chochote alivyoachiwa magereza hakuwahi kuonekana mererani karudi bush kwao tena alisilimu akiwa na sharifu.
Ila kwasasa amerudi kwenye imani yke hata mererani kapasahau