Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Sometimes 1+1 is not equals to 2
Actually 1+1=11
Been off that kush for a minute now. But I'm finna go back on it.
Sometimes 1+1 is not equals to 2
Hamruhusiwi.....
Hii ni special kwa Senior bachelors na bacheolletes.... (mtanisahihisha)!
Hata sisi tulio kwenye ndoa tunaruhusiwa kuchangia hapa?
nicas hana hata girlfriend ! Labda kama kawekwa ndani na jimama
Usicheke mummy... yan mpaka umri huu tushakutana na vimbwanga acha kabisa! Unakuta mkitafutana ni kwa ajili ya kupichuana au shida fulani. Hakuna kutoka walau mkabadilishana mawili.matatu kikazi, kifamilia au kushauriana kuhusu maisha hata kama hamna future. Hapo nikiiulizwa una mtu weeee lazima nitaruka kimanga aisee!!!
nimekumiss sana msuper baby wangu..uje basi hii holiday nikupeleke mgombani ukanywe mbege na mbuzi!
ahahaaa hizo bush hakuna bwana,halafu mbege yetu haina bacteria bwana..
ila mbona wengine huwa wanasema ukweli kabisa......mi nakumbuka nilipokuwa chuo nikakutana na msichana fulani na katika kutongozana akanitamkia bila kumung'unya maneno ilikuwa ivi (just part of conversation)
mimi: Una mtu?
Msichana :sina mtu
mimi: How come binti mzuri kama wewe unakosa mtu and unaishije kwa kukidhi haja zako .
Msichana : Kutokuwa na mtu haimaanishi sifanyi s.e.x
mimi: Ehhhhe!
Msichana : Yah sina mtu kwa sasa na wala siko kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa sasa but i just f.u.ck somebody
mimi : Somebody!?
Msichana : Yah somebody ...ni mtu ambaye ikitokea mimi nina hamu na yeye anahamu na wote tukawa nanafasi basi tunatoka kwa ajili ya s.e.x ila sio mahusiano
mwanaume kumtongoza mwanamke ni hulka yetu ata kama umeolewa
mbeb endelea kutafuta location mi ngoja nilale kesho naenda kupiga signature ya mwisho job.kuna watu hawataki niondoke wananiletea vimeo kibao nataka nivipangue nitakupm jtano nikiwa free maana kesho nakesha hukosi kheri hata ingekuwa na bacteria. Hiyo ina virusi kabisa. Staki kuharisha bana.
Kama vipi twenzetu kempiski.