witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,093
Hivi kwanini mnachakaza k za watoto wa tu hivoo?Mkuu mi ninatatizo kama lako ukipata jibu nijulishe nijue nifanyaje mi niko nae mwaka wa tatu sasa
Ninachokiona either ulimtamani tu kwa muda, haukumpenda, umefahamiana nae kwa muda gani kabla ya kuingia kwenye process za ndoa? Next time kabla hujafanya maamuzi makubwa ya kujitambulisha kwa binti hakikisha moyo wako uneridhia kuwa na huyo binti katika hali zoteZa jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila hajanikosea kitu.
Naweza nisipende tu alivyo vaa nikachukia siku nzima. Akinisemesha najibu mbovu tu, kuna muda nahisi nimekosea kumchagua japo sioni udhaifu mkubwa wakutisha kwani nimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya ila ni hali tu imekuja ghafla tena mbaya zaidi baada ya kujitambulisha kwao.
NB mahusiano yana almost 2yrs
Usiache kutualika kwenye harusiNipe namba yake nimuoe maana naona umepata mke ila hauko tayari kuoa.NIKO SERIOUS
Jipeni mapumziko ya mda, kila mtu afanye yake.
Kwa mda mtakao pendelea.
Ukiona hata humkumbuki unapokuwa mbali naye....basi unaweza kusitisha zoezi zima la ndoa.
Yawezekana ni kipindi cha mapito....hutokea kwenye mahusiano (kukinai mwenza bila sababu)
Sasa mtu unajiita single father utakuaje na hamu ya ndoa?