Sina hamu ya kuendelea na mchakato wa ndoa tena

Hahaha!! Majibu ya wanajf ni kiboko kuna mmoja hapo juu amekoment (ok poa)

Kamanda muache, bint wa watu kiroho safi ila baadae unaweza jutia uamuzi wako
 
Hili swala linawatokea weng wanapokaribia kuoa. .inaitwa Ndoaphobia

So ni kawaida....nishashuhudia wati wawili wakiwa kwenye hali hyo kaka
 
Za jioni wakuu,

Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila hajanikosea kitu.

Naweza nisipende tu alivyo vaa nikachukia Siku mzima. Akinisemesha najibu mbovu tu, kuna muda nahisi nimekosea kumchagua japo sioni udhaifu mkubwa wakutisha kwani nimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya ila ni hali tu imekuja ghafla tena mbaya zaidi baada ya kujitambulisha kwao.

NB mahusiano yana almost 2yrs
Ni hali inatoke kwa waty Wengi, na hii nikutokana na maandalizi yako ya mwanzo au hali ngumu ya kiuchumi au kiafia inayomkuta mtu akiwa katkati ya jambo fulani, łazima unapoanzisha jambo ujue faida zake na ujue mwisho wake, chukua sababu moja tu ya wewe kutaka Kuwa na mke, na simamia hio sababu endelea na mchakato kwani kwa taarifa fudi uliyotoa huyo anafaa Kuwa mke.
 
Ni kweli hii ishu kabisa bro yani hapa nawaza nitamwambia nini mama,na ndugu wanao subiri kwa ham shughuli yangu
Wakati mimi nawaza nieendele kuishi peke yangu

Mwache huyo binti
Nikuambie tena mwache kwa amani kuliko umuoe na tayari humpendi
Mwache ataumia siku chache na baadae atakushukuru kuliko kuja kumpa maumivu ya maisha

Kamwe usimuoe/usiolewe na mtu sababu ya kumwonea huruma bali sababu huwezi kuishi bila yeye
 
Bila kupoteza Muda ngoja nikupe jibu kuna sababu za kisaikolohia na sababu za ki roho, Naaza na za kisaikolojia. Huenda baada ya kufanya process zote za ndoa na unajuabhuyo ndiye unayekuja kuishi nae umeanza kumlinganisha yeye na vi dada vingine kwenye mitandao huko fb, insta nk, au ukaanza kupimishia wadada wa sehemu unapofanya kazi, majirani zako au sehemu za vituo vya daladala town Trust me huku mjini hasa Dsm kuna sehemu unaeza enda ukaona kila mdada unaekutana nae ni mrembo hadi huyo wako unahisi ilikuaje ukanasa kwake hasa huko Posta, Mwenge na Kkoo.

Ila tu hawa kimsingi sio kweli kwamba ni wazuri kuliko wakwako ila tu ni ile hali ya huwajui ki undani na ndio mara ya kwanza unawaona na unawaona wakiwa wamekwosha jipigilia vitu vyao vya mitoko tofauti na wa kwako kwanza umemzoea afu hata yeye wakati mwingine wakati akitaka kukuona hajiandai saaana maana anachukulia kawaida haji kwaajili ya kukuvuta.

Nikupe mfano mdogo kwa wale watu ambao day 1 wameambiwa na ki binti kinakuja gheto kwao huwa wanachakalika haswa kuandaa mazingira mara kupanga hiki na kile na usafi wa kufa mtu, mpaka kupika utapika au kuandaa chakula ambacho huwa huli mara kwa mara, vipi mkisha kuwa wote kwa mwezi ivi au ukiahakutana nae zaidi ya mara 5 akikwambia anakuja kama umelala unaweza usiamke mpaka anafika na huenda usifungue mlango kama upo wazi yeye mwenyewe akafungua na akapakuta gheto palo hivyo hivyo kama palivyokua muda mnaongea kuwa yupo njiani anakuja.

NAKUSHAURI TU ACHA KABISA KUANZA KUMLINGANISHA MCHUMBA WAKO NA PISI KALI ZA MJI UTAFELI UTAMUONA WAKWAKO KAMA ULIPITIWA IVI.

Sasa nakupa sababu ya ki ufundi zaidi, sababu ya Kiroho kuna baadhi ya watu kutokana na kukandamizwa kwao na mapepo au mambo ya mikosi katika familia au ukoo huwa hawaruhusiwi yaani wameshikiliwa kutoolewa, au haolewi kwa ndoa yani ni kuzalishwa tu afu badqe ndo labda asogezwe.

Wengine walichezewa mkono wao kushoto kwenye vidole husika kidole cha kwanza kidogo ni cha Uzuri na mvuto kwa mtu katika uhusiona walozi wakikuchezea hapo hutaonekana uzuri wako wala mvuto wako, kidole kile cha pili kushoto kile cha ndoa hicho nacho wakikiharibu katika swala la ndoa utapata tabu sana kama ni mdada kuolewa kwako itakua bahati nasibu au na utasakamwa na kuumizwa sana kwenye mahusiano.

Hivyo basi kati ya wewe au mwenzi wako mmoja wenu anaweza kuwa muhanga wa hizo sababu za Kiroho. Au wewe unaweza kuwa muhanga wa zile sababu za kisaikolojia za kuanza kumpambanisha mchumba wako na vi pisi kali vya mji.

KAMA UPO SERIOUS KUSAIDIKA NAKUSHAURI UPATE MSAADA WA KIROHO ISIWE KWA WAGANGA HAO WATAKUHARIBU ZAIDI, TAFUTA SEHEMU SAHIHI KWA MTUMISHI WA KWELI WA MUNGU WASIWE WATUMISHI JANJA JANJA.

Akichukua huu ushauri basi atafanikiwa. Umeeleza vizuri sana.
 
Za jioni wakuu,

Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila hajanikosea kitu.

Naweza nisipende tu alivyo vaa nikachukia siku nzima. Akinisemesha najibu mbovu tu, kuna muda nahisi nimekosea kumchagua japo sioni udhaifu mkubwa wakutisha kwani nimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya ila ni hali tu imekuja ghafla tena mbaya zaidi baada ya kujitambulisha kwao.

NB mahusiano yana almost 2yrs

"Tangu umri wangu usogee kidogo najikuta naamini kuwa sitakiwi ku share hovyo hovyo "USB" yangu na watu tofauti tofauti zaidi ya yule "Shareholder wangu pekee"

Lakini pia nimegundua ku share USB hovyo hovyo kunaleta virus, demage na mikosi ya ajabu ajabu inayopelekea umasikini"
 
Toa number zake ili wenye kiu ya ndoa wajichukulie wife material. wewe endelea kula ujana
 
Hahahaaaa. Hapo sawa Mdogo wangu.

Mana nkapata kujipa kazi ya kusaka hilo neno kwenye kamusi, nikagugo lakini wapi. 😂😂😂😂 (jokes)

Tupo.
Hahaha polee

Wafikishie salamu hizi maana nyie ndio vigogo wa jf,
Option ya kuedeti jina iwepo sio kila baada ya mwezi.
 
Back
Top Bottom