Donpela
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 2,040
- 592
Kufilisi inategemea sana, kama humpendi sana mtu kumfilisi inalipa. Ila kama umeumizwa, hata pole ya kitu chochote huitaki.
Niliwahi kosewa, nikapewa kitu hivi, nilikikataa asilani. Saa hivi ndio huwa najuta kwa nini sikukibeba. Kwa muda ule hakikuwa na thamani kabisa.
hahaha kama sa hivi unajuta kukikataa hiko kitu..basi utakua na damu ya kichagga ndani yako..:biggrin1:
hahaha umenikumbusha mbali, kanyumba kangu kadogo nilikakosea kipindi flani...nilisafiri kikazi arusha na yeye nikamkatia tiketi aje anifwate..hee nafika hotelini wife naye huyo kaja..sijui alihisi nini...aseee nikamchukulia chumba floor nyingine hawara na kumwambia ishu imebausi arudi kesho ake dar, sasa usiku nikaaga naenda kunyoosha miguu, nikampandia chap kumuaga nikamhonga mkufu wangu mmoja wa dhahabu akasusa ..alikua kafwira hasira, nikamwacha nirudi zangu kwenye ndoa yangu, after week kama mbili anaaza kujichekesha ooh ulikua serious unanipa ule mkufu..hahaha nikamwambia bahati haiji mara mbili:biggrin1:...<<angejua nilimaanisha kusalvage thje situation asingesusa>>