Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Kufilisi inategemea sana, kama humpendi sana mtu kumfilisi inalipa. Ila kama umeumizwa, hata pole ya kitu chochote huitaki.


Niliwahi kosewa, nikapewa kitu hivi, nilikikataa asilani. Saa hivi ndio huwa najuta kwa nini sikukibeba. Kwa muda ule hakikuwa na thamani kabisa.

hahaha kama sa hivi unajuta kukikataa hiko kitu..basi utakua na damu ya kichagga ndani yako..:biggrin1:
hahaha umenikumbusha mbali, kanyumba kangu kadogo nilikakosea kipindi flani...nilisafiri kikazi arusha na yeye nikamkatia tiketi aje anifwate..hee nafika hotelini wife naye huyo kaja..sijui alihisi nini...aseee nikamchukulia chumba floor nyingine hawara na kumwambia ishu imebausi arudi kesho ake dar, sasa usiku nikaaga naenda kunyoosha miguu, nikampandia chap kumuaga nikamhonga mkufu wangu mmoja wa dhahabu akasusa ..alikua kafwira hasira, nikamwacha nirudi zangu kwenye ndoa yangu, after week kama mbili anaaza kujichekesha ooh ulikua serious unanipa ule mkufu..hahaha nikamwambia bahati haiji mara mbili:biggrin1:...<<angejua nilimaanisha kusalvage thje situation asingesusa>>
 
dah! we 2lia nae 2 sababu ashazaa na ww tena watoto wawil, kama hakushawishi kukupga meat ingia kitaa utafute wadau wenye d**ck zao utafurahia service 2 ,,maana na yeye anategemea revenge toka kwako so haitamuuma..
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini.

Siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini; me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpaka leo! Mume wangu amemuinamisha secretary wake waki-have sex, kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena sababu ile picha iko ndani ya ubongo wangu; yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex.

Nifanyeje jamani?

Kama ulimaanisha kweli pale kanisani kua utakua tayari kwa shida na raha,basi naamini hutovunja wazo lako kwa mmeo na naamini kama mumeo nae ana mawazo mazuri then anaweza kukutoa sehem ukarefresh mind so naamini mambo yatakua mazuri
 
Mkome na suprise zenu watanzania hatujazoea suprise maana wengi wetu sio waaminifu kabisaa,polee sana msamehee uendelee kumpenda tu maana ni mumeo
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini.

Siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini; me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpaka leo! Mume wangu amemuinamisha secretary wake waki-have sex, kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena sababu ile picha iko ndani ya ubongo wangu; yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex.

Nifanyeje jamani?
Umesahau kuwa mtoto wa kwanza ulizaa nje ya ndoa? Pengine ulimdanganya huyu mumeo na amejua kuwa ulizaa ukiwa shule kabla ya kuolewa na akaamua kukutenda (BOFYA)
 
Fanya ujipe likizo ya ndoa just angalau miezi kadhaa away from your husband. (TATIZO WATOTO) lakini kama ni wakubwa si mbaya.
 
Na kweli hujakomaa ktk ndoa hakuna mwanaume asiyechepuka!wapo ambao mpaka wanaletewa watoto wadogo kuliko wakwako wa kuzaa mwanaume nje wanaambiwa bahati mbaya na maisha yanasonga.Utaondokaje kwako?

Hayo yanawakuta walio desparate na ndoa na wanaoona mwanaume ndo kila kitu katika maisha lakin sio mm
 
Umesahau kuwa mtoto wa kwanza ulizaa nje ya ndoa? Pengine ulimdanganya huyu mumeo na amejua kuwa ulizaa ukiwa shule kabla ya kuolewa na akaamua kukutenda (BOFYA)
Kisha sahau kwa hiyo hii aliyoandika ni tamthilia tuu
 
Ulikosea sana siku ile ulitakiwa uvue nguo na wewe hapo hapo awapige wote mashine huku ukimuonyesha kuwa wewe ni mtamu kuliko huyo Secretary.

aisee...watu mmedata...so ww ungemkuta mkeo ndio kainamishwa anapigwa mashine na ww ungevua ukampiga mashine ili uonyeshe kua na ww ni mtalaam na una SHINE tamu kuliko la jamaa?
 
Umesahau kuwa mtoto wa kwanza ulizaa nje ya ndoa? Pengine ulimdanganya huyu mumeo na amejua kuwa ulizaa ukiwa shule kabla ya kuolewa na akaamua kukutenda (BOFYA)

hahaha duh katunga tena. Story nzuri lakini. Ka ni kweli, asamehe tu hahaha
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini.

Siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini; me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpaka leo! Mume wangu amemuinamisha secretary wake waki-have sex, kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena sababu ile picha iko ndani ya ubongo wangu; yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex.

Nifanyeje jamani?

pole dada mwachie Mungu
 
Back
Top Bottom