Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

Hivi nyinyi mnafikiri mimi nimetoka chekechea jana? Mpaka nimeanzisha uzi mbinu zote zimeshindikana na jamaa bado mshiji kwa sana tu.
Basi huyo anakupenda km rafiki tu, wapo wanaume wa hivyo
 
Mtani jamani, kwani ukitoa lazima utegemee kupokea? Si unatoa tu.
Huyo binti amesha ambiwa kwa vitendo anapendwa bado yeye kuonesha kwa vitendo anampenda jamaa! Teh Teh au jamaa anasubiri aoteshwe?

Akiona jamaa anachelewa amfungukie tuu yaishe....
Basi huyo anakupenda km rafiki tu, wapo wanaume wa hivyo
 
Huyo binti amesha ambiwa kwa vitendo anapendwa bado yeye kuonesha kwa vitendo anampenda jamaa! Teh Teh au jamaa anasubiri aoteshwe?

Akiona jamaa anachelewa amfungukie tuu yaishe....
Mmmmh! Kumfungukia mwanaume! Never.
 
Hivi nyinyi mnafikiri mimi nimetoka chekechea jana? Mpaka nimeanzisha uzi mbinu zote zimeshindikana na jamaa bado mshiji kwa sana tu.
Sa si uache ufate mambo mengine?

Afu hizi akili wakizipata wengine wasiomjua Mungu ndo wanatuloga. Sa mnang'ang'ania nini? Some people are just natural sweet. Let them be
 
Back
Top Bottom