Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

Marafiki zake wote wanaona tunatania ila tumefika mbali zaidi ya hapo, kwakweli anaejuja hali ilivyo ni mimi na yeye tu.
Huyo anahitaji urafiki tu, angekuwa na nia nyingine mbona tayari zamaniii walaa usingeanzisha uzi, au uzi ungekuwa "alipokuwa rafiki yangu alinijali sana,ila sasa baada ya kuwa wapenzi simuelewi"
 
Huyo anahitaji urafiki tu, angekuwa na nia nyingine mbona tayari zamaniii walaa usingeanzisha uzi, au uzi ungekuwa "alipokuwa rafiki yangu alinijali sana,ila sasa baada ya kuwa wapenzi simuelewi"
Hahaha in a way, no hurt feelings.
 
Ninaogopa nikimueleza inaweza kuvunja urafiki wetu, jamaa ni mlokole, pili si elewi kama ndiye yeye niliyeletewa jamani mwaka wa nne huu sijui tunaelekea wapi. Pia hua ananipikia chakula nikiwa nimechoka, analeta kwenye hot pot.
Kwahyo una hamu ya kutongozwa na huyo jamaa?
 
Huyo anahitaji urafiki tu, angekuwa na nia nyingine mbona tayari zamaniii walaa usingeanzisha uzi, au uzi ungekuwa "alipokuwa rafiki yangu alinijali sana,ila sasa baada ya kuwa wapenzi simuelewi"
Ha ha ha baada ya kufanya yake hajali tena
 
sio kweli wanawake ninavyowajua ila zenu,mkitaka kitu lazma mkipate,mimi nimewavulia kofia,
 
Fungukaaaa ndugu mda unakatika watafungukaaa wengne ukamkosaaa jamaa ooho
 
Unaweza kukutavjogoo wake akawa hapandi mtungi..ni mawazo tu
 
Back
Top Bottom