dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,793
- 1,903
Hahaaa komeo likipigwa baridi linakua gumu kama jiwe ila wagumu wanaona poa tu linatafunwa kama skonzi...Unayajua makomeo
Hahaaa komeo likipigwa baridi linakua gumu kama jiwe ila wagumu wanaona poa tu linatafunwa kama skonzi...Unayajua makomeo
mboneka, tipu....
Ku summit ndipo tatizo huwa linakuwepoRongai pazuri sana kupandia kuliko marangu japo kuna vilima kidogo, tatizo la marangu ni atmosphere kuwa nzito hasa wkt wa kupanda...
SAFARI YA MOSHI
Tunaingia Moshi usiku saa 2... Tunapokelewa na wenyeji.. wakarim kishenzi.. wale ma guide sijui walidhani tumetoka nchi gani hatuju kiswahili kumbe ni wabongo tu.. Nimesahau jina la hotel kiwatengu anaweza kunikumbusha.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mlikuwa mnalipwa Tsh. ngapi Mkuu, hiyo kazi siyo ya kitoto.Last time nimepanda as porter ilikua 2015 just imagine pprter ndo mtu wa mwisho kuondoka camp kwa sababu zile tents wanazolalia wageni inabd azianue azipack azibebe then aondoke nazo lakini tena anatakiwa afike next camp wa kwanza ili wageni wakute tents zimesimama tena plus food iwe iko tayari. Huwa nawaza how did i manage???
Sent using Jamii Forums mobile app
Very good story, uimeifanya siku yangu ya mwisho wa mwaka 2018 kuwa yenye matumaini, nitakwenda kuupanda huo mlima na mimi.
By that time ilikua 15 to 20 k per day mkiwa na bahati unaweza pata tip ya 5 au 10 mpaka 30dollars mda mwingine no tip at all.
Umetizama story katika jicho la 3 ha ha ha haUmenishawishi,
Next Xmas nitainjoy hukoo...
Nimekapenda kamwili kako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Rongai sio Njia ngumu.nilipanda kilimanjaro 2008 kupitia njia ya Rongai Rombo. nikashukia njia ya Marangu. Marangu njia laini sana next time naomba upandie Rongai uone rangi zote
Mwezi wa 10 na 11 2018 hali haikuwa njema kwa wagumu, tulipoteza wagumu karibia 10. Kwasababu ya mvuaTulifika sehem (Tulitumia njia ya Machame) wakasema Mlima umepumua, unatoa gesi flani inaumiza vichwa sana, watu wengi wanakua na hali mbaya kuliko maelezo. Kuna mzungu kidogo amalize mitungi yote ya oxygen. Alishushwa kwa machela hadi chini.
Ila wale wagumu hawana mapafu ya kawaida. Kule sio kwa kuishi au kufanya kazi muda mwingi.
Mboneka ndio uko vizuri sanaa. Heri ya mwaka mpyamboneka, tipu....
Sent using Iphone mobile
Mwezi wa 10 na 11 2018 hali haikuwa njema kwa wagumu, tulipoteza wagumu karibia 10. Kwasababu ya mvua
Ni woga tu wa watu kila njia ni nzuri na kuna changamoto zake, route ya machame na lemosho ina vigongo vikali ila ni nzuri sana kwenye kumalizia summit mwishoni ndio maana wageni wengi wanapenda kupita huko kuliko marangu coz mwisho wa siku anajua lengo lake litatimia.Mie mshangao wangu kwanini TTC wasihamasishe kwa wanaotaka kupanda Kilimanjaro wapitie njia rahisi ili kuongeza uwezekano wa kufanikisha safari yao badala ya njia hii ngumu?
Hii route ya Umbwe ni korofi sana na haina wageni wengi kwa sababu ni steep sana
Pole sana, mimi nilipitia Umbwe route ila nilipofika Barranco Camp uzalendo ukanishinda na nilibakiza vituo viwil tu yaani Karanga camp na Barafu Hut....
Ni woga tu wa watu kila njia ni nzuri na kuna changamoto zake, route ya machame na lemosho ina vigongo vikali ila ni nzuri sana kwenye kumalizia summit mwishoni ndio maana wageni wengi wanapenda kupita huko kuliko marangu coz mwisho wa siku anajua lengo lake litatimia.
Marangu njia ni nzuri haina vigongo ila kumalizia kwenda summit ndio shida wengi wanafeli kutokana na atmosphere ya pale ni nzito na upepo mkali...
Huwa wanakufa kutokana na hali ya hewa. Ukifia sehem wanaweka alama ya msalaba kwa mawe then unashushwa chini haijalishi wewe ni dini gani pale utakapofia wanaweka msalaba kwa mawe. Inakua ishara wengine wakipanda au kushuka wanatambua hiyo sehem kuna mwenzao kadanja so utaona watu wanasikitika
Sent using Jamii Forums mobile app