Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

SAFARI YA MOSHI

Tunaingia Moshi usiku saa 2... Tunapokelewa na wenyeji.. wakarim kishenzi.. wale ma guide sijui walidhani tumetoka nchi gani hatuju kiswahili kumbe ni wabongo tu.. Nimesahau jina la hotel kiwatengu anaweza kunikumbusha.

Sent from my iPhone using JamiiForums

Jina La Hotel ni ANNEX- Keys Hotel iko barabara ya Mbokomu.
 
Last time nimepanda as porter ilikua 2015 just imagine pprter ndo mtu wa mwisho kuondoka camp kwa sababu zile tents wanazolalia wageni inabd azianue azipack azibebe then aondoke nazo lakini tena anatakiwa afike next camp wa kwanza ili wageni wakute tents zimesimama tena plus food iwe iko tayari. Huwa nawaza how did i manage???

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlikuwa mnalipwa Tsh. ngapi Mkuu, hiyo kazi siyo ya kitoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulifika sehem (Tulitumia njia ya Machame) wakasema Mlima umepumua, unatoa gesi flani inaumiza vichwa sana, watu wengi wanakua na hali mbaya kuliko maelezo. Kuna mzungu kidogo amalize mitungi yote ya oxygen. Alishushwa kwa machela hadi chini.

Ila wale wagumu hawana mapafu ya kawaida. Kule sio kwa kuishi au kufanya kazi muda mwingi.
Mwezi wa 10 na 11 2018 hali haikuwa njema kwa wagumu, tulipoteza wagumu karibia 10. Kwasababu ya mvua
 
Huwa wanakufa kutokana na hali ya hewa. Ukifia sehem wanaweka alama ya msalaba kwa mawe then unashushwa chini haijalishi wewe ni dini gani pale utakapofia wanaweka msalaba kwa mawe. Inakua ishara wengine wakipanda au kushuka wanatambua hiyo sehem kuna mwenzao kadanja so utaona watu wanasikitika
Ilikuwaje mpaka wakapotea huko

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie mshangao wangu kwanini TTC wasihamasishe kwa wanaotaka kupanda Kilimanjaro wapitie njia rahisi ili kuongeza uwezekano wa kufanikisha safari yao badala ya njia hii ngumu?
Ni woga tu wa watu kila njia ni nzuri na kuna changamoto zake, route ya machame na lemosho ina vigongo vikali ila ni nzuri sana kwenye kumalizia summit mwishoni ndio maana wageni wengi wanapenda kupita huko kuliko marangu coz mwisho wa siku anajua lengo lake litatimia.
Marangu njia ni nzuri haina vigongo ila kumalizia kwenda summit ndio shida wengi wanafeli kutokana na atmosphere ya pale ni nzito na upepo mkali...
 
Machame route ina miiunuko Ila ni fupi marangu route ni tambarare sana mwanzo mwisho
Ni woga tu wa watu kila njia ni nzuri na kuna changamoto zake, route ya machame na lemosho ina vigongo vikali ila ni nzuri sana kwenye kumalizia summit mwishoni ndio maana wageni wengi wanapenda kupita huko kuliko marangu coz mwisho wa siku anajua lengo lake litatimia.
Marangu njia ni nzuri haina vigongo ila kumalizia kwenda summit ndio shida wengi wanafeli kutokana na atmosphere ya pale ni nzito na upepo mkali...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli aisee siku napanda Kuna wenzetu walianza kuishiwa nguvu na kukoroma nikikumbuka wazungu wakishushwa na machela nililia sana though nilirudi salama salimini
Huwa wanakufa kutokana na hali ya hewa. Ukifia sehem wanaweka alama ya msalaba kwa mawe then unashushwa chini haijalishi wewe ni dini gani pale utakapofia wanaweka msalaba kwa mawe. Inakua ishara wengine wakipanda au kushuka wanatambua hiyo sehem kuna mwenzao kadanja so utaona watu wanasikitika

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom