Mradi wa Kiberenge mlima Kilimanjaro kwa faida ya nani

Jun 20, 2023
54
51
Wadau wa sekta ya utalii katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha,wamepaza sauti wakitaka mchakato wa mradi wa ujenzi wa kiberenge ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro usitishwe .

Kwamba mradi huo ambao utahusisha viberenge 40 katika Njia za Machame na remosho umegubikwa na changamoto nyingi na unahatarisha ajira za waongaza wageni(Guides) na wabeba mizigo(portres)wanaokadiriwa kufikia 19,000.

Ikumbukwe kuwa,Februari 16 mwaka jana,kilifanyika kikao cha wataalamu,kilichofanyika katika Jiji la Arusha na kikiongozwa na aliyekwua waziri wa maliasili na Utalii,Damas Ndumbaro na kuhusisha wadau wote wa kekta ya utalii kwa ajili ya kujadili mradi huo .

Kikao cha pili ambacho kilikujwa kifanyika mkoani Kilimanjaro machi nane kwa amelekekezo ya Mheshimiwa Ndumbaro,haukufanyika .

Vyama vya Guides,portes,Tiga,KILI-MERU,MKPS na TPO hawa ni wadau wakubwa sana wa sekta ya utalii katika milima ya Meru na Kilimanjaro ambao wameainisha athari za kiuchumi na kimazingira ednapo mradi huo utatekelezwa.
Moja ya athari hizo ni serikali kupoteza mapato ya mabilioni ya fedha hasa ikizingatiwa kuwa viwango watakavyotozwa watalii watakaotumia kiberenge ni vya chini ikilinganishwa na viwango vinavyotozwa kwa sasa kwa kila mgeni anayepanda mlima kwa maana ya Park Fees.

Kwa sasa mgeni anayepanda mlima kilimanjaro analipa dola za kimarekani 887,hii ni fedha inayolipwa moja kwa moja serikalini,lakini kama mradi huo utatekelezwa,mgeni atalipa dola za kimarekani 140 kwa siku na park fees ya dola 20 tu.
"Kwa hali ya kawaida,hapo serikali inajiandaa kupata hasara na siyo faida hata kama wataweza kupanda watalii 20 kwa siku (ambao watalipa dola 4,000)na wakati kama wakipanda watalii 50 kwa siku kwa njia ya kawaida serikali itakusanya UDS 44,350 kwa siku",anasema mdau mmoja wa utalii.

Katika andiko lake la kurasa tisa,mdau huyu anasema kwa takwimu zilizopo kwa mwaka wastani wa watalii 50 elfu wanapanda mlima kilimanjaro na kuingiza zaidi ya Bilioni tisa wakati watalii watakaotumia kiberenge kama watapanda watalii 250,000 kwa mwaka wataingiza mapato ya Bilioni tano tu.

ATHARI YA JAIRA KWA VIJANA

Kwa kawaida mgeni mmoja anaongozwa na mwongoza wageni mmoja(guide),mpishi mmoja na wabeba mizigo watatu hivyo mtalii mmoja anakuwa na watu watano.

Kwa hebabu hiyo kama watalii 50 elfu watapanda mlima Kilimanjaro basi watazalisha ajira ya vijana 200,000 na mpaka sasa kwa mujibu wa vyama vya porters na Guides,mlima kilimanjaro unao porters 16,640 na Guide 3,000 na kufanya jumla yao kufikia 19,640,hili ni jeshi kubwa sana.

WIZARA WANASEMAJE

Catherine Mbena,kamishana mwandamizi anayehusika na masuala ya habari Shirika la hifadhi za Taifa (Tanapa),amekataa kuzungumzia jambo hilo akisema liko ngazi ya wizara na kushauri watafutwe watu wa wizara ya maliasili na utalii.

Lakini Mkurugenzi wa Utalii wizara ya maliasili na Utalii,Theresa Mugobi naye akasema hawezi kulizungumzia suala hilo kwa kile alichodai kwanza suala la kiberenge halijui na pili yeye siyo msemaji wa wiraza.

"Mimi naripoti wa katibu Mkuu na kwa waziri,kama jambo hilo halijatoka huko mimi nalizungumzia kama nani,kwa ufupi mimi sina mamlaka ya kulizungumzia hilo,naomba sana kaka yangu",amesema kwa njia ya simu.

je unajua athari za kimazingira kama mradi huu utatekelezwa, na je wataalumu wa mazingira wanasemaje

tukutane kesho hapa hapa
 
CHUKUA HII

BADILI CHANGAMOTO KUWA FURSA

acha viberenge vipige kazi kikubwa ni kubuni fursa kutokana na uwepo wa viberenge
 
Serikali haiwezi kupoteza mapato kwa sababu no. ya watakao kua wanapanda mlima itaongezeka.

Ila kiukweli ajira zitapungua kwa wale porters.

Japo huwezi kuzuia mabadiriko kwa sababu ndo maendeleo.
 
Wadau wa sekta ya utalii katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha,wamepaza sauti wakitaka mchakato wa mradi wa ujenzi wa kiberenge ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro usitishwe .

Kwamba mradi huo ambao utahusisha viberenge 40 katika Njia za Machame na remosho umegubikwa na changamoto nyingi na unahatarisha ajira za waongaza wageni(Guides) na wabeba mizigo(portres)wanaokadiriwa kufikia 19,000.

Ikumbukwe kuwa,Februari 16 mwaka jana,kilifanyika kikao cha wataalamu,kilichofanyika katika Jiji la Arusha na kikiongozwa na aliyekwua waziri wa maliasili na Utalii,Damas Ndumbaro na kuhusisha wadau wote wa kekta ya utalii kwa ajili ya kujadili mradi huo .

Kikao cha pili ambacho kilikujwa kifanyika mkoani Kilimanjaro machi nane kwa amelekekezo ya Mheshimiwa Ndumbaro,haukufanyika .

Vyama vya Guides,portes,Tiga,KILI-MERU,MKPS na TPO hawa ni wadau wakubwa sana wa sekta ya utalii katika milima ya Meru na Kilimanjaro ambao wameainisha athari za kiuchumi na kimazingira ednapo mradi huo utatekelezwa.
Moja ya athari hizo ni serikali kupoteza mapato ya mabilioni ya fedha hasa ikizingatiwa kuwa viwango watakavyotozwa watalii watakaotumia kiberenge ni vya chini ikilinganishwa na viwango vinavyotozwa kwa sasa kwa kila mgeni anayepanda mlima kwa maana ya Park Fees.

Kwa sasa mgeni anayepanda mlima kilimanjaro analipa dola za kimarekani 887,hii ni fedha inayolipwa moja kwa moja serikalini,lakini kama mradi huo utatekelezwa,mgeni atalipa dola za kimarekani 140 kwa siku na park fees ya dola 20 tu.
"Kwa hali ya kawaida,hapo serikali inajiandaa kupata hasara na siyo faida hata kama wataweza kupanda watalii 20 kwa siku (ambao watalipa dola 4,000)na wakati kama wakipanda watalii 50 kwa siku kwa njia ya kawaida serikali itakusanya UDS 44,350 kwa siku",anasema mdau mmoja wa utalii.

Katika andiko lake la kurasa tisa,mdau huyu anasema kwa takwimu zilizopo kwa mwaka wastani wa watalii 50 elfu wanapanda mlima kilimanjaro na kuingiza zaidi ya Bilioni tisa wakati watalii watakaotumia kiberenge kama watapanda watalii 250,000 kwa mwaka wataingiza mapato ya Bilioni tano tu.

ATHARI YA JAIRA KWA VIJANA

Kwa kawaida mgeni mmoja anaongozwa na mwongoza wageni mmoja(guide),mpishi mmoja na wabeba mizigo watatu hivyo mtalii mmoja anakuwa na watu watano.

Kwa hebabu hiyo kama watalii 50 elfu watapanda mlima Kilimanjaro basi watazalisha ajira ya vijana 200,000 na mpaka sasa kwa mujibu wa vyama vya porters na Guides,mlima kilimanjaro unao porters 16,640 na Guide 3,000 na kufanya jumla yao kufikia 19,640,hili ni jeshi kubwa sana.

WIZARA WANASEMAJE

Catherine Mbena,kamishana mwandamizi anayehusika na masuala ya habari Shirika la hifadhi za Taifa (Tanapa),amekataa kuzungumzia jambo hilo akisema liko ngazi ya wizara na kushauri watafutwe watu wa wizara ya maliasili na utalii.

Lakini Mkurugenzi wa Utalii wizara ya maliasili na Utalii,Theresa Mugobi naye akasema hawezi kulizungumzia suala hilo kwa kile alichodai kwanza suala la kiberenge halijui na pili yeye siyo msemaji wa wiraza.

"Mimi naripoti wa katibu Mkuu na kwa waziri,kama jambo hilo halijatoka huko mimi nalizungumzia kama nani,kwa ufupi mimi sina mamlaka ya kulizungumzia hilo,naomba sana kaka yangu",amesema kwa njia ya simu.

je unajua athari za kimazingira kama mradi huu utatekelezwa, na je wataalumu wa mazingira wanasemaje

tukutane kesho hapa hapa
Kiberenge/viberenge ndo yani majina mengine bana ya kiswahili.
 
Wadau wa sekta ya utalii katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha,wamepaza sauti wakitaka mchakato wa mradi wa ujenzi wa kiberenge ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro usitishwe .

Kwamba mradi huo ambao utahusisha viberenge 40 katika Njia za Machame na remosho umegubikwa na changamoto nyingi na unahatarisha ajira za waongaza wageni(Guides) na wabeba mizigo(portres)wanaokadiriwa kufikia 19,000.

Ikumbukwe kuwa,Februari 16 mwaka jana,kilifanyika kikao cha wataalamu,kilichofanyika katika Jiji la Arusha na kikiongozwa na aliyekwua waziri wa maliasili na Utalii,Damas Ndumbaro na kuhusisha wadau wote wa kekta ya utalii kwa ajili ya kujadili mradi huo .

Kikao cha pili ambacho kilikujwa kifanyika mkoani Kilimanjaro machi nane kwa amelekekezo ya Mheshimiwa Ndumbaro,haukufanyika .

Vyama vya Guides,portes,Tiga,KILI-MERU,MKPS na TPO hawa ni wadau wakubwa sana wa sekta ya utalii katika milima ya Meru na Kilimanjaro ambao wameainisha athari za kiuchumi na kimazingira ednapo mradi huo utatekelezwa.
Moja ya athari hizo ni serikali kupoteza mapato ya mabilioni ya fedha hasa ikizingatiwa kuwa viwango watakavyotozwa watalii watakaotumia kiberenge ni vya chini ikilinganishwa na viwango vinavyotozwa kwa sasa kwa kila mgeni anayepanda mlima kwa maana ya Park Fees.

Kwa sasa mgeni anayepanda mlima kilimanjaro analipa dola za kimarekani 887,hii ni fedha inayolipwa moja kwa moja serikalini,lakini kama mradi huo utatekelezwa,mgeni atalipa dola za kimarekani 140 kwa siku na park fees ya dola 20 tu.
"Kwa hali ya kawaida,hapo serikali inajiandaa kupata hasara na siyo faida hata kama wataweza kupanda watalii 20 kwa siku (ambao watalipa dola 4,000)na wakati kama wakipanda watalii 50 kwa siku kwa njia ya kawaida serikali itakusanya UDS 44,350 kwa siku",anasema mdau mmoja wa utalii.

Katika andiko lake la kurasa tisa,mdau huyu anasema kwa takwimu zilizopo kwa mwaka wastani wa watalii 50 elfu wanapanda mlima kilimanjaro na kuingiza zaidi ya Bilioni tisa wakati watalii watakaotumia kiberenge kama watapanda watalii 250,000 kwa mwaka wataingiza mapato ya Bilioni tano tu.

ATHARI YA JAIRA KWA VIJANA

Kwa kawaida mgeni mmoja anaongozwa na mwongoza wageni mmoja(guide),mpishi mmoja na wabeba mizigo watatu hivyo mtalii mmoja anakuwa na watu watano.

Kwa hebabu hiyo kama watalii 50 elfu watapanda mlima Kilimanjaro basi watazalisha ajira ya vijana 200,000 na mpaka sasa kwa mujibu wa vyama vya porters na Guides,mlima kilimanjaro unao porters 16,640 na Guide 3,000 na kufanya jumla yao kufikia 19,640,hili ni jeshi kubwa sana.

WIZARA WANASEMAJE

Catherine Mbena,kamishana mwandamizi anayehusika na masuala ya habari Shirika la hifadhi za Taifa (Tanapa),amekataa kuzungumzia jambo hilo akisema liko ngazi ya wizara na kushauri watafutwe watu wa wizara ya maliasili na utalii.

Lakini Mkurugenzi wa Utalii wizara ya maliasili na Utalii,Theresa Mugobi naye akasema hawezi kulizungumzia suala hilo kwa kile alichodai kwanza suala la kiberenge halijui na pili yeye siyo msemaji wa wiraza.

"Mimi naripoti wa katibu Mkuu na kwa waziri,kama jambo hilo halijatoka huko mimi nalizungumzia kama nani,kwa ufupi mimi sina mamlaka ya kulizungumzia hilo,naomba sana kaka yangu",amesema kwa njia ya simu.

je unajua athari za kimazingira kama mradi huu utatekelezwa, na je wataalumu wa mazingira wanasemaje

tukutane kesho hapa hapa
Ina maana wanataka kuweka viberenge vya kupandia mlima mpaka juu kileleni?. Mimi nilidhani watalii hupenda kukabiliana na ile changamoto ya kupanda mlima physically!
 
Kiberenge/viberenge ndo yani majina mengine bana ya kiswahili.
Kiberenge ni jina la vile vi-treni vidogo vidogo vinavyotumika kukagua njia ya reli. Hapa wametumia hilo jina nadhani kwa sababu wamekosa neno la kiswahili la hivyo wanavyotaka kuweka.
 
Kiberenge ni jina la vile vi-treni vidogo vidogo vinavyotumika kukagua njia ya reli. Hapa wametumia hilo jina nadhani kwa sababu wamekosa neno la kiswahili la hivyo wanavyotaka kuweka.
Kwanini wasibadilishe hilo jina kiberenge? Yani linakera kutamka kama tu watutsi wa Congo Banyamulenge.
 
Kwanini wasibadilishe hilo jina kiberenge? Yani linakera kutamka kama tu watutsi wa Congo Banyamulenge.
Kiberenge ni jina ambalo lipo tangu zamani.... sana... tangu enzi za treni ya mkoloni. Lingekuwa linakera watu wangeshalalamika. Mimi nilikuwa namsikia babu yangu akisema rafiki yake alikuwa anaendesha kiberenge.
 
Mimi naona ni jambo zuri tu. Kwa sababu litatoa mwanya kwa watu wote kuupanda huo mlima. Yaani watakao amua kuoanda kwa miguu, na wale wa kupanda kwa hivyo vigari vya umeme.
 
Ajira zitazidi sana sababu watalii wataongezeka, sehemu za malazi na starehe zitaongezeka pia. Kuna watakaokwenda kwa siku (day trip) kuna watakao lala siku mbili au tatu.
Pia safari za wanaopanda kwa miguu Trecking zitakuwepo kwa wanao penda adventures.
Msisikilize sana hizo NGO uchwara za kizungu, wao wameisha jenga kwao lakini huku kwetu tukitaka kuanzisha miradi vipingamizi vya mazingira, haki za binaadamu vinaibuka.
Weka viberenge kazi iendeleeee
 
Ajira zitazidi sana sababu watalii wataongezeka, sehemu za malazi na starehe zitaongezeka pia. Kuna watakaokwenda kwa siku (day trip) kuna watakao lala siku mbili au tatu.
Pia safari za wanaopanda kwa miguu Trecking zitakuwepo kwa wanao penda adventures.
Msisikilize sana hizo NGO uchwara za kizungu, wao wameisha jenga kwao lakini huku kwetu tukitaka kuanzisha miradi vipingamizi vya mazingira, haki za binaadamu vinaibuka.
Weka viberenge kazi iendeleeee
Unadhani watalii wengi watapenda kupanda mlima badala ya kutumia hizi Cable car kwa ajli ya kuona madhari ya mlima kilimanjaro tu na kugeuza chini?

Unadhajua hawa vijana wengi watapoteza ajira kwa sababu wageni wengi hawatapenda kutumia siku sita mpaka saba kupanda mlima wakati kuna Cable Car?.
Ukisoma vizuri nilichoandika utanielewa,usikimbilie kupost bila kusoma kilichopo hapo juu,huu mradi si mradi rafiki kwa mstakabali wa maisja ya hawa porters na Guide hata kama sisi si wanufaika wa hizi biashara .
 
Ajira zitazidi sana sababu watalii wataongezeka, sehemu za malazi na starehe zitaongezeka pia. Kuna watakaokwenda kwa siku (day trip) kuna watakao lala siku mbili au tatu.
Pia safari za wanaopanda kwa miguu Trecking zitakuwepo kwa wanao penda adventures.
Msisikilize sana hizo NGO uchwara za kizungu, wao wameisha jenga kwao lakini huku kwetu tukitaka kuanzisha miradi vipingamizi vya mazingira, haki za binaadamu vinaibuka.
Weka viberenge kazi iendeleeee
Sure tukicheza vizuri na pricing kila mtu ataenda na level zake.

Ikiwezekana kue na Awards/Recognition tofauti kwa watakao panda manual na watakao tumia Viberenge
 
CHUKUA HII

BADILI CHANGAMOTO KUWA FURSA

acha viberenge vipige kazi kikubwa ni kubuni fursa kutokana na uwepo wa viberenge
Hata mimi nashangaa kwa nini wanaogopa badala ya kuangalia fursa zitakazojitokeza. By the way, mountaineering is a sport. Nina uhakika bado mamia ya wapanda milima (mountaineers) wataendelea kupanda kwa miguu. Watakaopanda kwa viberenge ni wale wenzangu na mimi wasio na ubavu wa kupanda mlima kwa miguu.
 
Back
Top Bottom