roservelt
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 1,418
- 1,510
Hahahaaaa...wewe hunifai hata kidogooo maana miye nna mwendo plus kasi balaa...kutembea kwa mguu hakunishindi haswaa nikiwa na stress...naweza toka Posta mpk buguruni kwa mguu!!
Kipindi Niko Dodoma ndo nilikua natoka huku Kisasa mpk meriwa au kule kama unaelekea Udom kwa ngoko!!!
Jifunze kutembea best!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh Teh teh
Beautiful.God BlessNdio mkuu.. kwanini???
Sent from my iPhone using JamiiForums
jana nilikua ...hahahhaa ..nitakuja kukupa ratiba yangu ya siku utanionea huruma..sijaugua malaria zaid ya mwaka sasa...yan mwili ukiushughulisha ht vimagua vinapishana na ww round abt...ila kwenye kutembea tu..mie ht vocha na
unatuma sana yaonekana daah!mazoea yako mabaya aseeh!kipindi Niko primary mmekimbia riadha kidogo na nilikua nashinda sema mdingi alikataa nisijiendeleze huko ustaadhi sanahahahahahaa yaan ww magonjwa ya bp unapishana nayo..yaan mm kwenda dukan huwa shida..yaan nachoka tu miguu mizito..khaa..nakaaga kbs baraban prmbrn nakaa fresh..yaan hapana ndo maana nasoma habari za kupanda mlima naishia kujicheka...safi aisee
Really? Niliwaonea huruma sana wale watuLast time nimepanda as porter ilikua 2015 just imagine pprter ndo mtu wa mwisho kuondoka camp kwa sababu zile tents wanazolalia wageni inabd azianue azipack azibebe then aondoke nazo lakini tena anatakiwa afike next camp wa kwanza ili wageni wakute tents zimesimama tena plus food iwe iko tayari. Huwa nawaza how did i manage???
Sent using Jamii Forums mobile app
Baranco to Karanga camp *****, kale kamlima tunakaita breakfast...Jiwe la kubusu liko njia ya machame.....sitaisahau hiyo sehemu........
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora machame kuliko lemosho kupanda mgongo wa tembo...
Mi nakwambia manengelo anakutoa nishai milimani, huyo kishazoea milima ya uluguruMoney anza mazoezi kabisa mwakani panapo majaaliwa twende wote tukapande mlima tena nihakikishe nakufikisha kileleni ili usije ukaleta lawama hapa kua nimekupandisha mlima lkn sijakufikisha kileleni.
Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Rongai pazuri sana kupandia kuliko marangu japo kuna vilima kidogo, tatizo la marangu ni atmosphere kuwa nzito hasa wkt wa kupanda...nilipanda kilimanjaro 2008 kupitia njia ya Rongai Rombo. nikashukia njia ya Marangu. Marangu njia laini sana next time naomba upandie Rongai uone rangi zote
Thubutu yakeee kama ana pumzi za kutosha mi nnaweza kupandisha kileleni kabisa na kumshusha chini hata mara tano yaani kama hana mazoezi ya kupanda mlima mara kwa mara anaweza shindwa hata kutembea.Mi nakwambia manengelo anakutoa nishai milimani, huyo kishazoea milima ya uluguru
Sent using Jamii Forums mobile app
HOE Jitahidi. Mimi tangu jana sitoki hapa. Natamani kuendelea kujifunza zaidi. Nina Plan ya kuupanda siku zijazo.Naona uvivu kuendelea kuniandika..
Mniombee ndugu zangu in JP voice.
Sent from my iPhone using JamiiForums