SIMULIZI: Nilipanga Nyumba Moja na Majini

SIMULIZI: Nilipanga Nyumba Moja na Majini

Mzizi Mkavu stori umeichukua gazetini tena Ijumaa (imemlizika muda si mrefu)je umewaomba au umeamua kuitoa humu bila kupata haki?otherwise ni nzuri na kiboko ya shetani ni Yesu hata kama ana nguvu vipi kwa imani anashindwa.

Nilihisi tu itakuwa ni kutoka katika magazeti pendwa...
 
Dunia inatisha hii jamani...Tubadilikeni
Walio kwenye ndoa pia mjifunze..Ukiona mwenzio haeleweki usimuhukumu pengine amekamatwa na jini..chukua nhatua..
 
Mzizi Mkavu stori umeichukua gazetini tena Ijumaa (imemlizika muda si mrefu)je umewaomba au umeamua kuitoa humu bila kupata haki?otherwise ni nzuri na kiboko ya shetani ni Yesu hata kama ana nguvu vipi kwa imani anashindwa.
Kwahiyo jamaaa kawa Shigongo watu bila kupenda!.......tehe tehe kumbe wateja wa Shigongo mko wengi eeeh.......jamaa watu wanamkataa kwa midomo ila wanamkubali moyoni..........
 
me naona kama riwaya flani hivi,sema imesha2ingia ni bora a2malizie kwani story ni tamu.kwa sisi 2liozowea kusoma riwaya hapa ame2kuna sanag
 
MziziMkavu, hongera sana kwa kazi nzuri. Naamini utauza copy nyingi sana

Watanzania wengi wanapenda kusoma vitu vya namna hii, niliandika kitabu technical nilijuta kutumia senti zangu.
 
Ebwana kwanza jamaa nampa pole xana,lakin atambue freemasony siku hizi ni kila kona ya dunia xo ni umakini wake tu asije akajuta pale atakapo poteza zali la mentali,admin muulize wawapi huyo?!
 
Dah Pale kwenye kitanda chake alikuta ramani ya ------ makubwa! kwenye shuka akajua hapo kitandani lazima alikuwa amekaa mwanamke! na basi mie nilikuwa nawazia huyo jini alikuwa akimtakam bwana humuli kwa ajili ya mahaba ndio nikaona nifuatillia hadi mwisho nijue kama bwana Humuli atakuja kula mzigo kumbe whapi! naona Story imemaliziwa na ulokole mambo ya Ushuhuda haya!

Ila ni Story ya Kusisimua inafaa kuigiziwa Movie na Wataalam waliobobea kutengeneza filamu za ukweli na sio hawa wa Bongo Movie
 
Back
Top Bottom