SIMULIZI: Nilipanga Nyumba Moja na Majini

SIMULIZI: Nilipanga Nyumba Moja na Majini

Kusema kweli story mara nyingi ni ubunifu lakini uhadithia haji unakuawa kama riwaya make story then tupate knowlege.
 
Mzizimkavu, hii si ilikuwa kwa shigongo, gazeti la ijumaa!
Binafsi niliipenda tu kwani mwisho wa siku mchungaji ndo alimuokoa jamaa kutoka kwa majini na mwisho aliokoka kabisa
 
Last edited by a moderator:
Simulizi kwenye gazeti ilishaisha
Si ndio hapo rafiki. Jamaa anawatesa watu weeee wakati kitu ilishatoka siku miiiiiingi. Hahahaha afu nawe ndio nini unaleta unoko wa kufichua siri za watu hazarani?
 
Ni true story, jamaa aliisimulia kwenye gazeti la ijumaa, sisomagi sana magazeti ya udaku lkini niliifuatilia hii hadi mwisho, ni kweli jamaa aliishi na majini lakini mwisho wa siku walokole walimsaidia na jamaa hadi leo kaokoka japo alikuwa islamic

Hhahahahaha ndio unazidi kumharibia swahiba siyo? Watu wakilitafuta gazeti sredi si itakosa wasomaji nawee:becky::becky:
 
Jamani sikna maana hiyo pengine ni simulizi tofauti ila kwa jinsi tu nilivyiona hapa ni ile ile ya shigong

Heri ya mwaka mpya rafiki, niliku-wish naona hukuona sms yangu

Hhahahahaha ndio unazidi kumharibia swahiba siyo? Watu wakilitafuta gazeti sredi si itakosa wasomaji nawee:becky::becky:
 
Jamani sikna maana hiyo pengine ni simulizi tofauti ila kwa jinsi tu nilivyiona hapa ni ile ile ya shigong

Heri ya mwaka mpya rafiki, niliku-wish naona hukuona sms yangu
Nawe pia rafiki. Ulitumia line ya tigo? Ile ya eatel naona kama sijaisevu so labda sikujua kama ni wewe. Am sorry na ahsante kwa kunikumbuka rafiki mwema.
 
Yah, nilikusms kwa line yangu ya airtel nikakutumia kwenye voda yako

Anyway Mungu ni mwema, nimefurahi kuona bado upo rafiki, jioni njema, muda wa kurudisha majeshi home umefika

Nawe pia rafiki. Ulitumia line ya tigo? Ile ya eatel naona kama sijaisevu so labda sikujua kama ni wewe. Am sorry na ahsante kwa kunikumbuka rafiki mwema.
 
Yah, nilikusms kwa line yangu ya airtel nikakutumia kwenye voda yako

Anyway Mungu ni mwema, nimefurahi kuona bado upo rafiki, jioni njema, muda wa kurudisha majeshi home umefika
Oh ngoja ntaisevu bana, nimeisevu ya tigo tu.

Haya uwe na jioni njema rafiki. Wasalimie wazazi wako na mchumba wako.
 
Mkuu MziziMkavu, nashukuru kwa hadithi hii nzuri :majani7:.
Ubarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom