Simuelewi mke wa mpangaji mwenzangu

Simuelewi mke wa mpangaji mwenzangu

Kwel mkuu naogopa sana mke wa mtu

Mwambie aache kuwasiliana nawe afu kama una mchumba uwe uanze kumleta kwako..pia ublock namba yake ili asipate mawasiliano akikutafuta..heri nusu Shari kuliko Shari kamili
 
Nataka nimtumie nauli mchumba ang aje hata kwa wiki moja nimkate upepo huyu mwanamke
 
Mkuu kumkatalia huyo mwanamke umefanya sahihi, kwa utashi ambao tumepewa binadamu kula mke wa mtu ni sawa na kumdhulumu huyo mme wake. Kuliko nafsi kukusuta kwa kula mke wa mtu ni bora ufanye hata maamuzi ya kuhama hapo kama itawezekana
 
Mkuu 30 kwa usafi tu hapo ulikuwa na lako jambo tuache utani
 
mwamba achana na hawa watu, mke wa mtu, mama mwenye nyumba tena bora huyu ukimkaza unaweza ishi bure ila sio mke wa mtu hata mmewe awe kama dogo janja, sio poa, haipendezi, ni kujitafutia mikosi tuu siku zijazo...acha kabisa
 
Mi ni mpangaji wa chumba kinachofuata,stuka huyo dada na mumewe ndio mchezo wao siku ukijichanganya tu imekula kwako,chumba hicho alikuwa anakaa peter aliondoka bila kuaga,shauri yako jichanganye tu
 
Mwanaume wa Dar unaomba ushauri Kwa jambo rahisi namna hii,Gwele unatutia aibu Wanaume wenzako.
 
sasa si bora wewe anayekusumbua ni kijana mwenzio.......wengine tulikuwa tunasumbuliwa na mijimama ya kiswahili yenye miaka zaid ya 50,dah kupanga uswaz noma sana
 
KIJANA UNATAKIWA UPAMBANA NA SHETAN ANAKUNYEMELEA...NISINGEPENDA UTUREJESHEE MREJESHO WA FUMANIZI PENGINE NA MARINDA YAKAWA REHANI....JIHADHAR NAE MWAMBIE UNA NGWENGWE TENA KUWA KAMA UNAMTAKA USHAURI...ILA RISK NI AKIKUTANGAZA MH
 
bila shaka umepanga dar kama sio ulitoka dar


hivi wewe ni mzima kweli hivi mwanamke anakutxt eti unasema nimechanganyikiwa sijui nifanyaje .....we sijui jinsia gani maana hizi mbili ninazojua hatuko hivo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom