Simuelewi mke wa mpangaji mwenzangu

Simuelewi mke wa mpangaji mwenzangu

Tafuta demu awe anakuja hapo ghetto kwako na yeye akiwepo atakata maxoea tu
 
Ulimtongoza mwenyewe kinachokushtua kitu gani? We unampaje mke wa mpangaji mwenzio elfu 30 kwa ajili ya usafi? Suluhisho hama mtaa vinginevyo aliwe tu maana kwa mpangaji mwenzio kumenoga
 
Ulimtongoza mwenyewe kinachokushtua kitu gani? We unampaje mke wa mpangaji mwenzio elfu 30 kwa ajili ya usafi? Suluhisho hama mtaa vinginevyo aliwe tu maana kwa mpangaji mwenzio kumenoga
Kumbe ile elf 30 ni sawa na kumtongoza mkuu
 
Nikupe siri moja boss. Kwanza pole kwa kujizamisha mwenyewe kwenye matope.

Pili tengeneza urafiki sana na mmewe hii itakupa immunity kiaina kama ukiwa na akili.

Tatu epuka kuwa iddle. Kaa kazini mda mwingi, rudi home na toka kwenda mazoezi. Ukilala nakuhakikishia hata mlio wa simu hutausikia.
 
Kaa nae mbali.

Ukiona anakusumbua sana, mtishie utamsemea kwa MUMEWE
 
Mm waliniomba hela ya mifagio,nikauliza sh ngapi mmoja,wakasema 700 na inahitajika minne,nikawapa 2800....hadi Leo maisha fresh...japo kuna mmoja anaanza shobo za kuniomba chumvi...
 
Mm waliniomba hela ya mifagio,nikauliza sh ngapi mmoja,wakasema 700 na inahitajika minne,nikawapa 2800....hadi Leo maisha fresh...japo kuna mmoja anaanza shobo za kuniomba chumvi...
Kuombwa chumvi tena hapo mengne yanafuata
 
Kwakushtuka kwake baada ya kumpa hiyo elfu 30 ilikuwa ni dalili tosha kwamba "yajayo yanafurahisha".

Fanya ufanyavyo lakini elewa mke wa mtu sumu, kwahiyo kama majaribu yakikushinda, jua tu siku ukikamatwa huna wa kumlaumu zaidi yako mwenyewe. Na wanawake wengine ni wepesi sana kujisahau hasa wakinogewa na penzi la nje. Kwahiyo watch out!
Hatari
 
Kwakushtuka kwake baada ya kumpa hiyo elfu 30 ilikuwa ni dalili tosha kwamba "yajayo yanafurahisha".

Fanya ufanyavyo lakini elewa mke wa mtu sumu, kwahiyo kama majaribu yakikushinda, jua tu siku ukikamatwa huna wa kumlaumu zaidi yako mwenyewe. Na wanawake wengine ni wepesi sana kujisahau hasa wakinogewa na penzi la nje. Kwahiyo watch out!
Mmmmh
 
Mimi nina swali kwanini ulimpa pesa nyingi ya usafi elfu 30 ili iweje we ulimtamani toka mwanzo wewe usituzingue
 
Nikupe siri moja boss. Kwanza pole kwa kujizamisha mwenyewe kwenye matope.

Pili tengeneza urafiki sana na mmewe hii itakupa immunity kiaina kama ukiwa na akili.

Tatu epuka kuwa iddle. Kaa kazini mda mwingi, rudi home na toka kwenda mazoezi. Ukilala nakuhakikishia hata mlio wa simu hutausikia.
ushauri makini sana huu
 
Aisee wew kama sio shoga basi unatatizo... Haiwezekani mzigo unajileta wew unakimbia kuna namna hapo
 
Back
Top Bottom