Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,143
- 2,275
Hata mm nmapiga nao tuKwani ukimpiga dudu mara moja kuna ubaya gani?!
Hata mm nmapiga nao tuKwani ukimpiga dudu mara moja kuna ubaya gani?!
Mwache ale mzigoUnashindwaje kumuelewa?
Wewe ndio haueleweki, hujui unataka nn.Ume-intertain mazoea naye sana.
Kata mawasiliano naye, chai, kuoshewa vyombo n.k.Weka wazi mipaka yako mkuu.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Ha ha haa kuna watu wabaya jmnKwani ukimpiga dudu mara moja kuna ubaya gani?!
Ha ha haa kuna watu wabaya jmn
Yaani ule mke wa mwanaume mwenzio, unataka upigiwe makofi!? wanawake ambao hawajaolewa huwaoni? pambana tu na hali yakoWatu mnajidai watakatifuuuu....
Watu mnajidai watakatifuuu. Mbona mnakosa uthubutuuu? Sasa kama kwenye mambo madogo kama haya uthubutu unakosekana kwenye yale makubwa inakuaje... Haya baba chelewachelewa utakuta mwana si wako..Yaani ule mke wa mwanaume mwenzio, unataka upigiwe makofi!? wanawake ambao hawajaolewa huwaoni? pambana tu na hali yako
Hhhh onja kwanza ila hama!! Nmechekaa mnoonja kdg mkuu ila hama kwanza, tafuta simu mpya line mpya anza kupiga mzgo hutojutia mkuu mke wa mtu ni mtam bhana wee
Mie alijileta nikala af nikahama mtaa....kodi nliuza chumba nikapata ya kuanzia.... Silazi dam japo inauma sana

Hakuna kijana anayeweza hivyo ulivyotaja hapo mkuu labda awe khanisiUnashindwaje kumuelewa?
Wewe ndio haueleweki, hujui unataka nn.Ume-intertain mazoea naye sana.
Kata mawasiliano naye, chai, kuoshewa vyombo n.k.Weka wazi mipaka yako mkuu.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.