Simuelewi huyu mwanaume

Simuelewi huyu mwanaume

Bora ujirudie kwa hao wanaotaka kurudia game huyu wa kunyonyanyana na kushikana shikana na kukuacha katikati hakufai kabisa, au siku nyingine ukiona kitu kimeita usikawie kujipandisha ukafanya yako kabla hali haijabadilika.

Habari zenu wana JF,naombani ushauri wenu,nina boyfriend wangu nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa,we are good in relationship the problem inakuja kwenye sex life yetu,sijui ni anapendelea romance sana kuliko sex ama sielewi,ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote,he is good in romance na tukifanya romance anadinda kabisa na anachafua mpk suruali ila sasa tunaishia kuromance tuu hatuendelei kwenye kugegedana,sielewi tatizo ni nini?kwa mara ya kwanza tulijaribugi kufika mbali ila gari lilishindwa kupanda mlima nikamuuliza nini tatizo akasema haelewi what has happened cos kwenye foreplay kitu kilikuwa tayari kimesimama kabisa,nilivyomuuliza akasema haelewi labda amechoka,inshort nilihisi labda ndio matatizo ya nguvu za kiume maana binafsi najiamini na najiamini cos nilikokwishaga kupita hadi leo wanatakaga warudie game na mie ila sielewi what happened na huyu mutu mpya wangu
 
habari za wakati huu mabibi na mabwana..

kwanza kabisa tumshukuru mungu kwa kutupa pumz mpaka saa hii

tuendelee..

daah! poyeee thana.. bt me kwa upande wangu nina mtazamo tofauti na jamaa... inawezekana kwa 75% atakua na tatizo la kisaikolojia na hii mara nyingi humtokea mtu ambae alikua ni mpiga punyeto kitu kinachosababisha apoteze comfidence na kuloose hamu ya tendo coz hutumia nadharia sana kuliko vitendo(hutumia hisia zaidi ya mwili wake)... mfano kama ulivyosema kuwa anapendelea romance na he is gud on it.. unajua hata kwenye uwanja wa mapambano ukishajiona kuwa wewe ni dhaifu lazima utafute njia itakayokufanya umkabili adui yako..
na ndo kama yeye anavyofanya coz ameshajua tatizo lake na ili ww usigundue thatx y hudeal sana na romance ili hata kama akija kushuka chini ni kitendo cha kugusa mara mbili tatu ushafika kileleni.. ila huwez kumjudge mtu pasipo kujua sababu zake za msingi ila nakushaur ukae nae chini uzungumze nae kuhusu hilo huenda ukapata majibu ya maswali unayojiuliza..

ahsante
 
wanaweza sana mkuu...utaskia uyo ni wa 2...kwakuwa kesha lose bkr.

80% husema wewe ni wa 2 simply bcoz hana bikra......but kimsingi sion umhimu wa kuuliza ilo swali unless unataka kudanganywa!
 
Yaani we dada yangu wewe! Hata kachembe cha woga hauna kushuhudia unatenda dhambi ya uasherati? Na makatazo yote kwa dini zote bado tu neema haijakufikia? Pole sana Mungu akukumbuke akuokoe kabla hujaangamia.
 
duu nnavyopendaga "romancist" hahaaaaa hebu nipe nikae naye tu angalau mwezi tu halafu akija kwako utanambia amebadilika ama laaa!

tafuta weekend moja umkabe hadi kona, hakikisha usimpe nafasi yakuwa peke yake atadumisha chaputa akienda kuoga jifanye mahaba niburute oga naye, akigeuka hivi upo aaahhh jaman sweetyyy cjui honey wenyewe mnajua majina yenu siku 2 haziishi atapiga mzigo tu.
akiweza usitumie style anayoipenda sana kwani atafika 6seconds kama jogooo, hapo ni timing kama unataka kumchinja kobe aisee, akitaka ku...unamtoa chap nje mara 2au 3 vinginevyo atakuwa anakulowesha tu anashida huyo kama unampenda mtrain tu viwanda vya sabuni hivi cjui lini watagoma?
 
Wewe ndio unamponza kaka wa watu. Kama una experience ukiitishwa referees unatoa contacts 20, mwenzio he is mama's boy anaogopa uzoefu wako.

Ushazoea mbio za marathon, hizo mbio za kuku zinakushinda. So sad, it aint fun to have some kind of skills and experience. Hapa ndio huwa nakubaliana na dada FaizaFoxy (najipendekeza unialike futari japo kobe)
 
Last edited by a moderator:
Hahaha pata picha wewe ndio unakutana na mjuzi huyu? Si hukawii kuchemsha na wewe? So sad kwa kweli

Siku hizi wasichana wengi ndio 'mafundi' kitandani
wavulana wanaonewa tu daily
dunia imebadilika..enzi za kukutana na msichana hata kugeuka unamwambia hakuna
siku hizi wana command wao turn over..mguu pale...
 
Hahaha mtajuta. Mguu upandeeee, mwili legezaaaa! Mnatutia aibu tu huko mkichepuka. Yaani mchepuko wa mkeo haukawii kukushauri uchepuke ule raha za dunia. Mweeh.

Sasa waliopiga kazi bado wanadai ajira. Hata mie ningechemsha.

Siku hizi wasichana wengi ndio 'mafundi' kitandani
wavulana wanaonewa tu daily
dunia imebadilika..enzi za kukutana na msichana hata kugeuka unamwambia hakuna
siku hizi wana command wao turn over..mguu pale...
 
Hahaha mtajuta. Mguu upandeeee, mwili legezaaaa! Mnatutia aibu tu huko mkichepuka. Yaani mchepuko wa mkeo haukawii kukushauri uchepuke ule raha za dunia. Mweeh.

Sasa waliopiga kazi bado wanadai ajira. Hata mie ningechemsha.

Welcome to the 21 century
 
Habari zenu wana JF,naombani ushauri wenu,nina boyfriend wangu nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa,we are good in relationship the problem inakuja kwenye sex life yetu,sijui ni anapendelea romance sana kuliko sex ama sielewi,ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote,he is good in romance na tukifanya romance anadinda kabisa na anachafua mpk suruali ila sasa tunaishia kuromance tuu hatuendelei kwenye kugegedana,sielewi tatizo ni nini?kwa mara ya kwanza tulijaribugi kufika mbali ila gari lilishindwa kupanda mlima nikamuuliza nini tatizo akasema haelewi what has happened cos kwenye foreplay kitu kilikuwa tayari kimesimama kabisa,nilivyomuuliza akasema haelewi labda amechoka,inshort nilihisi labda ndio matatizo ya nguvu za kiume maana binafsi najiamini na najiamini cos nilikokwishaga kupita hadi leo wanatakaga warudie game na mie ila sielewi what happened na huyu mutu mpya wangu

Naomba nitangaze nia kwenye hili jimbo huyu mbunge ulie nae hawezi kuleta maendeleo chanya kabisa!
 
Wewe ndio unamponza kaka wa watu. Kama una experience ukiitishwa referees unatoa contacts 20, mwenzio he is mama's boy anaogopa uzoefu wako.

Ushazoea mbio za marathon, hizo mbio za kuku zinakushinda. So sad, it aint fun to have some kind of skills and experience. Hapa ndio huwa nakubaliana na dada FaizaFoxy (najipendekeza unialike futari japo kobe)

Usijali, futari haichaguwi. In sha Allah wote ntawajulisha venue itakuwa wapi hivi karibuni unless watu wapo tayari kupiga trip ya Mkuranga on one of the weekends.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom