Non-Shatter
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 597
- 266
Bora ujirudie kwa hao wanaotaka kurudia game huyu wa kunyonyanyana na kushikana shikana na kukuacha katikati hakufai kabisa, au siku nyingine ukiona kitu kimeita usikawie kujipandisha ukafanya yako kabla hali haijabadilika.
Habari zenu wana JF,naombani ushauri wenu,nina boyfriend wangu nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa,we are good in relationship the problem inakuja kwenye sex life yetu,sijui ni anapendelea romance sana kuliko sex ama sielewi,ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote,he is good in romance na tukifanya romance anadinda kabisa na anachafua mpk suruali ila sasa tunaishia kuromance tuu hatuendelei kwenye kugegedana,sielewi tatizo ni nini?kwa mara ya kwanza tulijaribugi kufika mbali ila gari lilishindwa kupanda mlima nikamuuliza nini tatizo akasema haelewi what has happened cos kwenye foreplay kitu kilikuwa tayari kimesimama kabisa,nilivyomuuliza akasema haelewi labda amechoka,inshort nilihisi labda ndio matatizo ya nguvu za kiume maana binafsi najiamini na najiamini cos nilikokwishaga kupita hadi leo wanatakaga warudie game na mie ila sielewi what happened na huyu mutu mpya wangu