Papupi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,029
- 3,245
Live without sex if it's not there, siyo Mtu anakushikashika anakuacha.
Hiyo wanaweza mahanithi Aisee
Msaidie sasa afanyaje
Live without sex if it's not there, siyo Mtu anakushikashika anakuacha.
Hiyo wanaweza mahanithi Aisee
....There are things in life that are very difficult to explain....however will remain indelibleYou can say that again
nimekuelewa but unataka kuniambia kwenye life schedule huyu jamaa ni wangapi?samahanii itakuwa umevusha mawazo yako,umeenda mbali sana,sijawai na sifanyi na wala sitegemei na pia mie ni binadamu kama wewe,nina maisha yakawaida na kwenye swala la mapenzi pia kuna break ups and make ups thats life schedule
Ha ha ha.. Unajua Nyani Ngabu hapa JF ni kama shule kwangu.. Hii ulioileta nilikuwa siifahamu na ikabidi niende kwa kamusi ili nipate kufahamu maana yake.. Sasa inawezekana sijaelewa..
Waweza kunisaidia darasa kidogo Mkuu..?
Habari zenu wana JF,naombani ushauri wenu,nina boyfriend wangu nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa,we are good in relationship the problem inakuja kwenye sex life yetu,sijui ni anapendelea romance sana kuliko sex ama sielewi,ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote,he is good in romance na tukifanya romance anadinda kabisa na anachafua mpk suruali ila sasa tunaishia kuromance tuu hatuendelei kwenye kugegedana,sielewi tatizo ni nini?kwa mara ya kwanza tulijaribugi kufika mbali ila gari lilishindwa kupanda mlima nikamuuliza nini tatizo akasema haelewi what has happened cos kwenye foreplay kitu kilikuwa tayari kimesimama kabisa,nilivyomuuliza akasema haelewi labda amechoka,inshort nilihisi labda ndio matatizo ya nguvu za kiume maana binafsi najiamini na najiamini cos nilikokwishaga kupita hadi leo wanatakaga warudie game na mie ila sielewi what happened na huyu mutu mpya wangu
Habari zenu wana JF,naombani ushauri wenu,nina boyfriend wangu nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa,we are good in relationship the problem inakuja kwenye sex life yetu,sijui ni anapendelea romance sana kuliko sex ama sielewi,ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote,he is good in romance na tukifanya romance anadinda kabisa na anachafua mpk suruali ila sasa tunaishia kuromance tuu hatuendelei kwenye kugegedana,sielewi tatizo ni nini?kwa mara ya kwanza tulijaribugi kufika mbali ila gari lilishindwa kupanda mlima nikamuuliza nini tatizo akasema haelewi what has happened cos kwenye foreplay kitu kilikuwa tayari kimesimama kabisa,nilivyomuuliza akasema haelewi labda amechoka,inshort nilihisi labda ndio matatizo ya nguvu za kiume maana binafsi najiamini na najiamini cos nilikokwishaga kupita hadi leo wanatakaga warudie game na mie ila sielewi what happened na huyu mutu mpya wangu
Hivi ni mimi tu nilie note huo mstari wa 'kila ulipopita wanataka kurudia'?
Sawa, hamna shida.
Ila tuanze na hili kwanza: kwako neno 'Romance' lina maana gani?
Romance ni hadithi za mahaba, au fasihi ya mahaba, au hali ya kuvutiwa na hadithi za mahaba.. au mambo/uzushi uliozidishwa chumvi na yafananio hayo.. Huo ndo uliokuwa ufahamu wangu kwa neno hili la romance..
Ila sasa kwa kuwa sikuwa na mbadala wa hilo nikajikuta na mie ninatambaa kwenye nyasi zile zile matumizi sio kwa neno hilo.. Ni kama alivyochangia member mmoja kwamba kituo cha mafuta cha BP mtu anaita shell ya BP..
nitonye, nimejikuta nacheka sana...mkuu, nguvu zimekuwa shida kiasi hicho...hahaha hadi umepiga dua kwa mwenyezi Mungu..?
Habari zenu wana JF,naombani ushauri wenu,nina boyfriend wangu nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa,we are good in relationship the problem inakuja kwenye sex life yetu,sijui ni anapendelea romance sana kuliko sex ama sielewi,ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote,he is good in romance na tukifanya romance anadinda kabisa na anachafua mpk suruali ila sasa tunaishia kuromance tuu hatuendelei kwenye kugegedana,sielewi tatizo ni nini?kwa mara ya kwanza tulijaribugi kufika mbali ila gari lilishindwa kupanda mlima nikamuuliza nini tatizo akasema haelewi what has happened cos kwenye foreplay kitu kilikuwa tayari kimesimama kabisa,nilivyomuuliza akasema haelewi labda amechoka,inshort nilihisi labda ndio matatizo ya nguvu za kiume maana binafsi najiamini na najiamini cos nilikokwishaga kupita hadi leo wanatakaga warudie game na mie ila sielewi what happened na huyu mutu mpya wangu
Hahahaaa basi wala sina tena haja ya kukuelewesha chochote maana naona somo ushalielewa vilivyo.
Bravo bravismo.
Haha uyo mpaka apigwe starter kwisha habari yake. Mkiwa mnafanya uzinzi ukiona gari linasua sua yani kama futa linataka mlimani mpige ndolele au mshike matako atawaka tena mzigo kama kawa. Ndo vijana wetu wa ckuhz Viroba/Nyeto ni janga la taifa.
teeh unatafuta wa kukugegeda ni PM