Simuelewi huyu mwanaume

Simuelewi huyu mwanaume

Unataka umtibu akati wagegedaji hodari tena wakujitolea tupo
 
Habari zenu wana JF,

Naombani ushauri wenu,

Nina rafiki yangu wa kiume nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa, tunaendelea vizuri kwenye mahusino tatio linakuja kwenye sex life yetu, sijui ni anapendelea romance sana kuliko sex ama sielewi. Ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote he is good in romance na tukifanya romance anadinda kabisa na anachafua mpaka suruali ila sasa tunaishia kuromance tuu hatuendelei kwenye kugegedana, sielewi tatizo ni nini?

Kwa mara ya kwanza tulijaribugi kufika mbali ila gari lilishindwa kupanda mlima nikamuuliza nini tatizo akasema haelewi kipi kinatokea sababu kwenye foreplay kitu kilikuwa tayari kimesimama kabisa. Nilivyomuuliza akasema haelewi labda amechoka,i nshort nilihisi labda ndio matatizo ya nguvu za kiume maana binafsi najiamini na najiamini sababu nilikokwisha kupita hadi leo wanatakaga warudie mchezo na mie ila sielewi kipi kitatokea na huyu mtu mpya wangu.

jaribu kwengne hyo so rizik,
 
Belinda Belinda john mpenzi Wang ndo umemua kunianika huku!hujantendea khaki naogopa ukimwi ndo maana had tukapme,ungeniuliza kabla hujaja hku mamaa,
 
Amezaliwa Mwezi gani tarehe ngapi!Kama unampenda kweli jaribu kuongea in such a way ambayo itamfanya ajisikie yuko comfortable sana ili akueleze kinaga ubaga kama anattz lile ugonjwa wa taifa Nguvu za Kiume mfike kwa wataalamu ili jambo linatibika hata nyumbani tu sio lazima kwenda hospital ila inahitaji utayari ni hayo
amezaliwa mwezi huu tarehe sitataja kwa usalama zaidi,inshort ni cancer man kama wewe,ila asante kwa ushauri wako nitajitahidi kufanya ivyo...,
 
habari za wakati huu mabibi na mabwana..

kwanza kabisa tumshukuru mungu kwa kutupa pumz mpaka saa hii

tuendelee..

daah! poyeee thana.. bt me kwa upande wangu nina mtazamo tofauti na jamaa... inawezekana kwa 75% atakua na tatizo la kisaikolojia na hii mara nyingi humtokea mtu ambae alikua ni mpiga punyeto kitu kinachosababisha apoteze comfidence na kuloose hamu ya tendo coz hutumia nadharia sana kuliko vitendo(hutumia hisia zaidi ya mwili wake)... mfano kama ulivyosema kuwa anapendelea romance na he is gud on it.. unajua hata kwenye uwanja wa mapambano ukishajiona kuwa wewe ni dhaifu lazima utafute njia itakayokufanya umkabili adui yako..
na ndo kama yeye anavyofanya coz ameshajua tatizo lake na ili ww usigundue thatx y hudeal sana na romance ili hata kama akija kushuka chini ni kitendo cha kugusa mara mbili tatu ushafika kileleni.. ila huwez kumjudge mtu pasipo kujua sababu zake za msingi ila nakushaur ukae nae chini uzungumze nae kuhusu hilo huenda ukapata majibu ya maswali unayojiuliza..

ahsante
ahsante sana kwa ushauri wako mzuri,na nitajaribu kufanya ivyo...ubarikiwe sana
 
Inaonekana jamaa yako ana upungufu wa nguvu za kiume, mwambie atumie asali kila siku, ale pweza, tende, matikiti maji, maziwa, karanga mbichi na mboga za majani!!!!
nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri,asante sana nitamwambia atumie ivyo vitu mara kwa mara pasipo yeye kujua why nimemwambia ivyo maana sitapenda nimfanye ajisikie vibaya kuhusu tatizo lake,asante sana MZEE RAZA.
 
kama kahaba flani vile...!
Nosspass tuheshimiane,bora mie sio mnafiki kudanganya walimwengu,nasema kitu ambacho kipo real i dont fake,sio wewe unajidai mtakatifu kumbe mzinzi wa kufa mtu tena na muuaji,sijui jambazi au matakataka yote ya uzinzi.kama ulikuwa hauna la kushauri ungepita pembeni hakuna aliyekulazimisha kucomment.,:hand: ishia hukohuko.:A S angry::mad2:
 
Nosspass tuheshimiane,bora mie sio mnafiki kudanganya walimwengu,nasema kitu ambacho kipo real i dont fake,sio wewe unajidai mtakatifu kumbe mzinzi wa kufa mtu tena na muuaji,sijui jambazi au matakataka yote ya uzinzi.kama ulikuwa hauna la kushauri ungepita pembeni hakuna aliyekulazimisha kucomment.,:hand: ishia hukohuko.:A S angry::mad2:

kumbe nimekulenga.....pole belinda...
 
kama mnapendana na mna mipango ya kuwa pamoja baadae, basi hamjachelewa, mshauri mwenzako muende hospitali kwa wataalam wajue shida ni nini na suluhu ipatikane. ILA, kama hamna mipango yeyote na unaona hakieleweki, basi mvumilie kwa muda huo au achana nae.
 
duuh?,,saikolojia yake mayb haijaandaliwa vzr,,na mayb anawaza vifaa vya ujenzi nondo misumari mabati au hana kazi aumsongo wa mawazo
 
amezaliwa mwezi huu tarehe sitataja kwa usalama zaidi,inshort ni cancer man kama wewe,ila asante kwa ushauri wako nitajitahidi kufanya ivyo...,

Hahaha kama nilihisi kitu kama hicho,usikubali kumpoteza.Kama utaogopa kwenda hospital niko na formular naweza kukupa itamsaidia sana kushutua Libido na kupandisha homones for free lakin sichaji hata shilingi moja mana kila kitu unanunua wew mim nakupa formula ya jinsi ya kutengeneza.Mpe salamu zake
 
Make-out/ necking.

Make-out/ necking.

Make-out/ necking.



Make-out/ necking.

Sorry for being a grammar snob but I just had to correct you. I couldn't help it.

I'm in my grammar-police mode today.

So watch out.

Hivi we jamaa ni kwamba hujui kiswahili au ni ulimbukeni tu? tafuta majukwaa ya kiingereza mkuu ukajionyeshe kuwa unajua kiingereza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom