20032004?
Mimi nilianza na Siemens dole gumba, nkanunua Samsung R220, nkaja na Nokia tochi.Kwa button nimeanza na PHILIPS mkuu.
Smart TECNO ndo kanitoa ushamba kwa toleo lake pendwa la M3 Hakika nitaikumbuka sana
hayaa tulia mama nakuletea maparachich au unataka boha?Kuomba kuletewa zawadi na kurudi nyumbani vinahusiana nn jamani
hayaa tulia mama nakuletea maparachich au unataka boha?




MotorolaDuuh aina gani hii
hahaaaa nautengeee iweeeWoyooooo ulivyotaja boha nimejikuta nipo usambaani kwetu tena uniletee litre 5 maparachichi huwa siyapendi
Hahahahahahahaha kitaaaaambo sanaSiemens C25View attachment 900190
Daaah nimekumbuka mbaliiiNadhani umenielewaView attachment 900207
Blackberry wanayo hii huduma.Mimi nilianzia hiyo ya kwanza (NOKIA).
Dunia yaenda kasi kiteknolojia miaka kadhaa ijayo huenda zikawepo simu za audio tu yaani unaongea inatype yenyewe meseji(NI IDEA TU).