Simu yako ya kwanza ilikuwa ipi?

Simu yako ya kwanza ilikuwa ipi?

Mada yako imekosa head line ya kueleweka,,,
Simu yako ya kwanza kutumia ,,,
Alafu watoto wa juzi kaeni kando,,

Ungesema wahenga wenzangu weka hapa sim yako ya kwanza kutumia na ilikuwa mwaka gani?
Wahenga tungefunguka
Tumeanza na Erickson analog mwaka 1993 mobitel kabla ya ujio wa vodacom na celtel

Wanaosema wameanza na siemens c 25,; c 35,, A 36 motorola TID
Ni watoto wa juzi
Baada ya ujio wa vodacom na celtel..
Kama hukutumia tritel nawe utakuwa wa jana tu.
 
SIMU YAKO YA KWANZA KUTUMIA ILIKUWA AINA GANI?

> Hapo mwanzo kulikuwa na simu kubwa, zenye antena kama redio na umbo kama sabuni ya kipande maarufu kama 'mshindi'

> Tujuzane kidogo, wewe simu yako ya kwanza kutumia ilikuwa ya aina gani? Umewahi kutumia mshindi?
GBWA-20190313072714.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilianzia na phillips mwaka 2004! Baadae nikaenda kwenye siemens mayai, halafu nikapanda ngazi hadi kwenye nokia. Enzi zile ukimiliki simu unaonekana exceptional!

Kuna kajamaa fulani kalitokea familia nzuri wakati ule nasoma mbeya (2002/3 a level), kalikuwa kana miliki siemens mayai! dah wadada wazuri walikuwa wanakashobokea kishenzi huku sisi watoto wa geto tukiishia tu kukaonea tamaa.
 
twanga pepeta niliingia nkuruma lecture sikuelewa kitu nlikuwa naichezea tu
 
Back
Top Bottom