nasnay
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 599
- 911
Kuna aap inafanya hio kazi kwenye android. Tatizo lake haijui Kibondei chetu, inaweza ikaandika tusi wakati wewe umetakia siku njema mtu!Mimi nilianzia hiyo ya kwanza (NOKIA).
Dunia yaenda kasi kiteknolojia miaka kadhaa ijayo huenda zikawepo simu za audio tu yaani unaongea inatype yenyewe meseji(NI IDEA TU).