miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
hahahahaha sis unauwa!!!!!.
Yani uje utoe taarifa hapa kabla ya kuchukua hatua
hahahahaha sis unauwa!!!!!.
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".
Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI
NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?
asante! watoto 2 wananitosha acha nibadili tabia niwe mgongaji tu na kusomesha my 2/childsWatu tukiamua kuacha kuoa na tukawa mabazazi watu wanatulaumu.
Matukio kama haya na mengine mengi nayoyajua yanazidi kuipa nguvu hoja yangu ya kutokuoa.
Huyo mwanamke muache,haina maana kuishi na mwanamke mjinga namna hiyo.
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".
Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI
NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?
Angalia sana usitumie mijino yako kumng'ata mtoto wa watu mana id tu crocodiletooth
Watu tukiamua kuacha kuoa na tukawa mabazazi watu wanatulaumu.
Matukio kama haya na mengine mengi nayoyajua yanazidi kuipa nguvu hoja yangu ya kutokuoa.
Huyo mwanamke muache,haina maana kuishi na mwanamke mjinga namna hiyo.
Tulia hilo jina sio la mwizi, ni joker. Mie mwenyewe kuna wadada nimewasave honey lakini ni washikaji tu. Namba za wezi siku hizi zinakaa kichwani hazisaviwi kwenye simu wewe. Sana sana huyo ni mlinzi wako indirectly.
Usichelewe kupeleka ng'ombe machungani kwani upende usipende utawatoa tu waende malishoni ili watu wanywe maziwa hivyo usijiulize sana kikubwa vuta jiko tuWatu tukiamua kuacha kuoa na tukawa mabazazi watu wanatulaumu.
Matukio kama haya na mengine mengi nayoyajua yanazidi kuipa nguvu hoja yangu ya kutokuoa.
Huyo mwanamke muache,haina maana kuishi na mwanamke mjinga namna hiyo.
asante! watoto 2 wananitosha acha nibadili tabia niwe mgongaji tu na kusomesha my 2/childs
asante! watoto 2 wananitosha acha nibadili tabia niwe mgongaji tu na kusomesha my 2/childs
Kama nimezoe kupigwa miti nasikilizia kooni nakuja kutana na kitu konagusa juu juu unategemea what next?
Wana jf leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika,leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni,kilicho nisitua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu"hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?
mkewe anamfichia siri kubwa labda ana kibamia
Usichelewe kupeleka ng'ombe machungani kwani upende usipende utawatoa tu waende malishoni ili watu wanywe maziwa hivyo usijiulize sana kikubwa vuta jiko tu