KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,768
- 39,529
Achana na huyo bw.eg.e njoo nikuoe miye......
Mimi ningemsamehe kwa kweli, nasema ukweli kabisaaaaa. Kwasababu inawezekana na mimi pia si mwaminifu. Nitasamehe japo najua itakua ngumu kusahau.Na mimi nilitaka nimuulize hivyo hivyo, ingekuwa ni yeye ndo amegundua mkewe kafanya hayo angesamehe? kwa kweli tunatofautiana mioyo
Kha! You mean Zimwi likujualo......!!jaribu kujichunguza wewe na usiwe bias ... yawezekana na wewe huna shida.... men are selfish and are like beberu my dear ukimwacha huyo ujue utakutana na shwatwin mkubwa zaidi...
Mimi ningemsamehe kwa kweli, nasema ukweli kabisaaaaa. Kwasababu inawezekana na mimi pia si mwaminifu. Nitasamehe japo najua itakua ngumu kusahau.
CC: Nyani Ngabu na BAK
ndiyo maanakeKha! You mean Zimwi likujualo......!!
ni kweli unapopata habari kama hiyo lazima ikuume!!!
kuna hii formula huwa naifataga sana na nahisi inanisaidia kama upo tayari na wewe ifate tangu nimeanza kutumia sijagombana na mpenzi wangu ng'ooo!!!!
1.nikikatiwa simu nasema labda yupo sehemu mbaya nitamcheki baadae!!!
2.kama asipopokea simu nasema labda yupo mbali na simu ngoja nimcheki tena baadae!!!
3.akichelewa kurudi nasema labda kazi zilikuwa nyingi leo + foleni za daladala!!!
4.akipanic nasema labda hayupo sawa ngoja nimwache kidogo!!
5.nikiletewa taarifa ana mchepuko nasema wao wabaya nia yao nini hasa ngoja nipotezeee!!!
Really BAK?
Yaani unataka amsamehe halafu aendelee kuishi na huyo mume mzinzi?
Wewe ukigundua mkeo anamegwa na mtu mwingine utamsamehe tu na kuendelea na maisha yeu?
Kama ni hivyo kweli watu mna moyo!
Mimi ningemsamehe kwa kweli, nasema ukweli kabisaaaaa. Kwasababu inawezekana na mimi pia si mwaminifu. Nitasamehe japo najua itakua ngumu kusahau.
CC: Nyani Ngabu na BAK
Hilo jimama lingekuwa linaweza shughuli lingeachwa ndani ya miezi mitatu...tena bila kufumaniwa?????? Nyie ndio mmekremu 'mwanamke mjinga uvunja ndoa yake mwenyewe' na kila mume akichiti mnamlaumu mkewe...!
Mambo ya ndoa haya....hatari sana!!!
Ila swali kwa waliooa na kuolewa, je unadhani mtu uliyenaye ndiye mtu sahihi uliyeandikiwa na Maulana?
Haya maswali mengine magumu jamani...daah. Hata invigilator akija kukusanya karatasi baada ya saa moja anaweza akakuta hijaandikwa kitu...
jaribu kujichunguza wewe na usiwe bias ... yawezekana na wewe huna shida.... men are selfish and are like beberu my dear ukimwacha huyo ujue utakutana na shwatwin mkubwa zaidi...
I am not a saint, but ninaamini a sinner also learns not to repeat the same mistake twice. Fahamu kwamba huyu huyu amenifanya nitumie depression drugs kwa muda wa mwaka mmoja. Ameambiwa ataje mapungufu yangu ameshindwa...
I am not a saint, but ninaamini a sinner also learns not to repeat the same mistake twice. Fahamu kwamba huyu huyu amenifanya nitumie depression drugs kwa muda wa mwaka mmoja. Ameambiwa ataje mapungufu yangu ameshindwa...
I am not a saint, but ninaamini a sinner also learns not to repeat the same mistake twice. Fahamu kwamba huyu huyu amenifanya nitumie depression drugs kwa muda wa mwaka mmoja. Ameambiwa ataje mapungufu yangu ameshindwa...
I am not a saint, but ninaamini a sinner also learns not to repeat the same mistake twice. Fahamu kwamba huyu huyu amenifanya nitumie depression drugs kwa muda wa mwaka mmoja. Ameambiwa ataje mapungufu yangu ameshindwa...