Simu iliyobadilisha maisha yangu

Simu iliyobadilisha maisha yangu

Ntaku PM ushauri wangu...maana sipendi kuongelea past experiences tena hasa humu JF MMU,,, maana sijui nani na nani wanasoma; na tatizo langu siwezi sema uongo ...nisije reveal too much info...

Lakini kuujua ukweli ni vizuri...kuliko hao wanao sema ni heri kuishi kwa assumptions (matumaini)...

At least umejua miezi mitatu...imagine ungejua baada ya miaka 4????? Una chance ya kuamua ku fight au ku give up...it's not too late (yet)
 
ungekuwa unakomaa kutetea ndoa yako ningekuona wa maana sana.. uamuzi wa kuvunja ndoa sio wa busara kabisa.. kumbuka uliapa kuwa utakuwa nae kwenye shida na raha.. shida zenyewe ndo hizo.. TIMIZA AHADI YAKO.

Huu ni mtazamo wako tu, na hata yy mwenyewe angechangia mada hii - ukweli anaufahamu- judge not. Na je yy kwenye kutimiza ahadi ya kuwa mwaminifu? Kwa kweli nimefupisha story but kiukweli mwingine angekuwa ashapelekwa milembe. 3 days I have been down and under treatment.
 
Mara nyingi nimeona mwanamke akitaka kumtega mwanaume afanye nae mapenz mwanaume hana hujanja kabsa,inawezekana huyo mama alitengeneza mazngira yote ya kumpata mumeo,usimuhukumu mumeo kwa hii kesi peke yake,chamsingi angalia nyie hapo home ndani mnaishije upendo kati yenu upo anajali familia.cause as for men anaweza kusex ata na kichaa Mara nyingi men sex kwao sio ishara ya upendo
 
Nina uhakika maana kanionesha picha ya mume wangu, Rafiki wa mume wangu alikiri na yeye mwenyewe nilimuuliza kama anamfahamu (majina yake niliyapata kupitia namba yake ya simu), na akajibu ni changudoa - baadae akakubali na kusema ni shetani. Huyo mama alitaka nijue alivyoniumiza na alitaka nimuache. Alimpigia hata mama mkwe simu na vitisho...Yaani sijapata drama aina hii maishani, na anajua very deep personal things about me.

Good sasa umekuwa
Yawezekana alimtongoza au walipendana vyovyote vile, anajuwa kila kitu chako haina shida amewasiliana na yoyote yule.
1.Je mmeo anasemaje juu ya hili anajutia ya kilichopo
2. Wewe unampenda mmeo
3. Mnawatoto
4. Niaina gani ya familia ungependa iwe
5. Je haujawahi kukosa maishani mwako kwa jambo lolote

Ukiwa na majibu mazuri juu ya haya utafanya maamuzi sahii
Kumbuka mume hasuswi
 
Hii nikwayeyote yule aliyekwenyendoa
Unyanyasaji waaina yoyote ile
dharau
kashifa
vipigo
kutokujali
Hapo ndoa haipo hata kama unalazimisha
Yaliyobaki yote yanavumilika
 
Njia ya mapema kabsa ya kuanza kutibu tatizo nikujaribu kuepuka kuliwaza.kwasabu moyo wako umeumia huwez kuwaza positive.BUT THIS TRIAL IT CAME TO PASS,IT IS FOR MOMENT,GOD WILL MAKE PERFECT ANYTHING CONCERNING U.I can assure ukivukaa hapa mumeo hatakuheshimu na kukutetemekea sikumoja
 
Calm down

Huyo mams anataka utoke akae

Tulia kwanza

Then dili na mumeo

Kweli mijanaume isiyo na akili hubomoa nyumba zao wenyewe
 
Kwa nini uishi na JITU ZINZI ndani ya nyumba? Pole sana dada...Hata maandika yanasema hutamwacha mwenza wako kwa sababu yoyote ile ispokuwa UZINZI TU....Nitashangaa sana kama kuna mtu anatetea dhambi hii ya aibu kubwa. Hivi wanaume mbona hatuna shukrani...? Wake tunawachagua wenyewe kwa hiari yetu...Wanatutimizia yote tunayoyahitaji lakini bado LIJANAUME macho juu juu kama MAMBA...! Dada mwache aende kwa SHUGA MAMMY wake...Huwezi jua pengine mwenzio ni bingwa wa mashuga mammy toka akiwa darasa la pili.
 
usimpe shetani nguvu..mtumainie aliye juu(mungu)ndo muweza wa yote.
 
Nadhani kila mwanadamu lazima apitie majaribu ili kua mkamilifu unaweza usielewe ukiambiwa usamehe ila naamini kwenye ndoa kuna magumu ya kupitia ni wakati wa kukaa na mwenza wako ili ujue tatizo hasa ni nini na upate mtazamo wake.
Naamini ukiwauliza hata wazee wetu ambao wanafanya jubilei ya miaka 50 ya ndoa watakuambia haikua rahisi.
 
Ungekuwa mstaarabu na mjanja ww ungekaa na huyo mama umuulize yy anamfanyia nn mmeo mpaka wanaendelea ili naww umfanyie astoke ndan,kuwa almas huwi mbinifu n sawa na kuwa mawe ya kuchezea bao uswaz huko
 
Hilo jimama lingekuwa linaweza shughuli lingeachwa ndani ya miezi mitatu...tena bila kufumaniwa?????? Nyie ndio mmekremu 'mwanamke mjinga uvunja ndoa yake mwenyewe' na kila mume akichiti mnamlaumu mkewe...!


Ungekuwa mstaarabu na mjanja ww ungekaa na huyo mama umuulize yy anamfanyia nn mmeo mpaka wanaendelea ili naww umfanyie astoke ndan,kuwa almas huwi mbinifu n sawa na kuwa mawe ya kuchezea bao uswaz huko
 
Pole sana ndugu kuna kitu ambacho both sides(men & women) hatujui, wanaume wengi hawajui kuwa mwanamke ni kama andazi ukilidondosha kwenye mchanga kulila inakuwa shida sana hata kama utalifuta still litakuwa na chenga za mchanga.Pili wanawake wengi hawajui kuwa mwanaume ni kama mtoto yani anapolilia wembe unaweza ukampokonya kwa kumbembeleza na kumpa toy akaendelea kuchezea kama kawaida bila kulia.
THINK TWICE, Wawindaji ni wengi
 
Hawa the so called marafiki wa mume wengi wao ni bad news, usishagae hata kidogo siku ukigundua huyu rafiki ndio alikuwa cheer leader wa cheering squad kumsogeza mumeo to the other woman. Having an affair sio kitu cha kujivunia why tell your friends if they are not in on it from the begining.

Pole lakini, you know your husband better than any of us, in the end maamuzi ni yako either way haitakuwa rahisi.


Nina uhakika maana kanionesha picha ya mume wangu, Rafiki wa mume wangu alikiri na yeye mwenyewe nilimuuliza kama anamfahamu (majina yake niliyapata kupitia namba yake ya simu), na akajibu ni changudoa - baadae akakubali na kusema ni shetani. Huyo mama alitaka nijue alivyoniumiza na alitaka nimuache. Alimpigia hata mama mkwe simu na vitisho...Yaani sijapata drama aina hii maishani, na anajua very deep personal things about me.
 
Swali - Why would a man take the risk of losing a diamond to pick stones?[/QUOTE]

jibu la.kizushi but as far as we men are concerned....probably thats a killer weapon to the last battle before emerging VICTORIOUS...a selection of appropriate weapon for the job ahead of you is a game changer.

ila pole nakuomba msamehe baba watoto huwezi jua aliamua kufuata nini kwa mama yenu huyo as you said age diff is about 20 yrs na mmeo yawezakuwa 15 years....pia nahisi alifuata dawa ya ndoa as they says utu uzima dawa na yule mama ana vast experience ya 28yrs in marriage.

pole shemeji just.collect all your broken pieces of your heart n soul......my brother wil fix it. akishindwa kabisa kufix then its beyond repair throw it away.

ila wee naye...tunda lako limeliwa 3yrs ndio unalisusa...wewe kweli ungeweza kule wanakoolewa wanne? acha roho mbaya kitu kizuri kula na nduguyoooo....kibaya atupiwe mbwa wa jirani hasidi.
 
Upande wa pili unasemaje? Huyo mama haja kuhurumia but analipa kisasi kwa ndoa take iliyovunjika. Yeye ni expert wa kuvunja ndoa za watu.
 
Hilo ni jaribu la kwanza gumu kwenye ndoa yake na bila shaka ni ndoa chache hazipitii hilo!

Pengine ni wengi huwa hawafikirii kupatwa na hili swala lakini kulikosa kwenye miaka yote ya ndoa 50%

Unatakiwa kutumia akili sana na busara kwenye hilo lasivyo ndoa yako itavunjika!
Msamehe ameona wewe ni wa muhimu ndio maana aliamua kumuacha huyo Mama!

ushauri wa busara sana huu.na ndio hali halisi.ndoa ambazo hazijapitia usaliti ni chache mnomno!inauma sana mdogo wangu ila ukweli ni kwamba ukiachana na huyo ukadhani yupo asiyechepuka wapp wa kinadharia tu ila kihalisia mmmh! wengi wao hupunguza au kuacha kuchepuka baada ya kugundulika kama ulivypmjua wako kachepuka!
 
Kama ndio basi rejea kwake na kumuomba aokoe jahazi kila mara linapoonekana lakaribia kuzama...

Kama sio basi u na wakati mgumu maana mwanadamu aweza jambo gani kama Maulana hayupo upande wake?
watu8 :thumbup::thumbup::thumbup:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom