Simu iliyobadilisha maisha yangu

Simu iliyobadilisha maisha yangu

Hii thread yako kitambo sasa napita nasoma na nashindwa cha kuandika. Ila hapa sasa nimepata pa kuanzia.
Tunaongelea usalama wako mwenyewe na wa watu waliokuzunguka. Hata kama una mapungufu, kuishi na mtu anaekupa clinical depression, na mwisho ndo kwanza anakucheat; inanipa wasiwasi. unaweza kwenda kwa washauri nasaha? Do something!

Vipi venereal diseases? Hiyo siyo concern?

Au mpaka mtu aanze kutoa usaha kwenye papuchi ndo ajue kwamba 'ahaaa'......kumbe nipo hatarini?
 
Vumilia tu dear..
Kama kawaida ya wanawake
Hili nalo litapita

Ila kwani kazi ya kujenga ndoa ni ya mwanamke tu?

Why wanaume wawe excused makosa yao kwa sababu tu ni wanaume?

Wanawake hawana mioyo?
 
Pole Theodora

Mungu akupiganie na kukuonyesha njia sahihi

Jamani michepuko sio dili
 
sala zAko ndo mkombozi wako
mi mwenzio (natoa ushuhuda )niliona mme wangu hana uhuru na simu yake ikipgwa silence tena saa 6 usiku sikuuliza nikasubir kalala nikachuku a simu nkakuta 7misd call,3dialled calls,4 ricvd calls za mtu mmoja
nikachukua namba asubuh kaondoka nkapiga mdada kapokea nkauliza unamjua fulani akasema simju nkamwambia sasa
..............
AM SORY STORY NDEFU ila nataka nkwambie km ni kweli huyo mmama anatoka nae
hao ndo wanaume na ktk dunia hii UKITAKA MKAMILIFU MUUMBE MWENYEWE
Hongera Dadangu Story nzuri na ina mafunzo
muwe mnazimaliza km ile ya shoga yako aliyeenda Chuoni ,yuko likizo katumiwa sms na kidume ungemshauri mumewe amezee na amjibu vivyo vivyo
hapa naona mleta thread atajifunza
Theodora
 
aise pole sana kweli men sometimes are undefined
 
Huo ndo upuuzi wa watu dhaifu!

Eti akimuacha huyo ataacha wangapi? *** it!

Kwani lazima kuwa na mtu? Mimi hata wawe trilioni moja nitawaacha tu.

I second you...sijui watu wanapata wapi huo moyo na mie nikanunue......no one is perfect but for 3 month hayo si makusudi
 
pambana bidada pambana kumbuka huyo ni mumeo usikubali kumwacha aende kiurahis...
..
 
Weweweweeeeeeeeee, kumbe wewe ni bidhaa adimu sana.

Nimependa sana hitimisho lako(umeniacha hoi hapo)
 
Hongera Dadangu Story nzuri na ina mafunzo
muwe mnazimaliza km ile ya shoga yako aliyeenda Chuoni ,yuko likizo katumiwa sms na kidume ungemshauri mumewe amezee na amjibu vivyo vivyo
hapa naona mleta thread atajifunza
Theodora

yule muha mkorofi balaa nshawahi kumpigia simu mdad mmoja alikua anawasilianA mdogo wangu nkapata kutoka kwa wifi yangu
nilinnua kesi nilimnyamba yule dada hana hamu na mimi na mdogo wangu sijapat tena mashtaka
mimi nimejifunza kwa mama angu mlezi km aliweza kumvumilA baba angu mpaka leo
nAamini kwa anitiaye nguvu ntaweza
 
mtu haoni thamani ya kitu mpaka hiko kituu kipotee ndo ataona thamani yake.... pole sana
 
I am not a saint, but ninaamini a sinner also learns not to repeat the same mistake twice. Fahamu kwamba huyu huyu amenifanya nitumie depression drugs kwa muda wa mwaka mmoja. Ameambiwa ataje mapungufu yangu ameshindwa...
Hivi Theodora kinachokupa maumivu ya kuona km unapoteza kitu cha thamani kumuacha mwanaume mzinzi ni nini!?? Me nataka nikutie moyo,ondoka ktk hiyo ndoa haikufai hata sekunde moja. Kuna watu wanakuambia ukiondoka eti hujui utakutana na wa aina gani! Dah,hoja ya kipuuzi kabisaa. Kwani lazima uwe na mtu!? Lkn hata ukiwa nae bado hakuna dhambi kumuacha na yeye km tabia ni ileile. Kwani km unadhani unampenda sana mumeo huyo mzinzi,akifa na wewe utakufa!? Naamini hutakufa na maisha yataendelea km kawaida. Km ndivyo,unashindwa nini kuamua!?? Mungu anakupenda sana ndo maana kakuonyesha kuwa sehemu ulipo si salama!
 
Last edited by a moderator:
Pole Sana Theo. Please, usichukue maamuzi yeyote wakati huu. Take time, talk to God and ask him what to do next. All in all usimuamini huyu mama! Huyu yupo desperate kaachwa sasa anatafta njia ya kujiridhisha akiamini baada ya wewe kujua hili uta Punic na kumuacha mumeo! Q
 
Mkuu NANDERA nimekuelewa lakini ushauri wangu kwa huyu dada siwezi kumwambia amuache mumewe labda kama kungekuwa na ulingano wa madai kati yake na mumewe hapa jukwaani ningepima madai yao na kutoa ushauri. Unajuaje kama huyu dada hamnyimi/kumtoshereza mumewe kwenye tendo la ndoa? vingine basi kuna kitu ambacho huyo kahaba anampa mumewe ambacho hawezi kukipata kwake, je hapo unasemaje?
Unajuaje kama huyo mumewe alipumbazwa kishirikina na huyo kahaba ili amlie pesa, je mwanaume atajinasuaje? haya yapo.

unajua kuna vitu vingine inabidi kukubaliana kutokubaliana. kama dada anamnyima au kutokusheleza mumewe hakumpi mume haki ya kwenda kujitosheleza kwa "mama". Na kama kwa mama aliridhika kwa nini alimuacha baada ya miezi mitatu? Kama haridhiki kwa mkewe akomae humo humo mpaka kieleweke. Sasa yeye kaenda kujifanya mjanja kwa mama aliyeamkia alikolala? Kwamba kahaba anampa kitu ambacho hawezi kukipata kwa mkewe, well, amuache mkewe, aende kwa kahaba na si kuleta habari ya kutema bigijii uonje karanga wakati unajua bigijii ikishaingia mchanga ni ngumu kuisafisha. Na alijuaje kama kahaba ana hicho kitu? Kuhusu kupumbazwa kishirikina, kama kweli hii habari ipo, bado ni kiherehere chake. Lazima alipita anga za huyu mama ndo akatunguliwa. Angejituliza kwenye kiota chake yangemkutaje?
 
pambana bidada pambana kumbuka huyo ni mumeo usikubali kumwacha aende kiurahis...
..

mm! shosti hata kama mahaba yanataka kukuua unga'na'anie tu? mwenzio keshalazwa na kula dozi za kupunguza msongo. Asipoangalia yeye ndo ataenda kirahisi. Habari ya michepuko weka mbali kabisa na ndoa waaminifu, inaweza kuua! Wanandoa kibao wameondoka kirahisi kwa sononi na maradhi ambatano. Mwambie apambane kuokoa maisha yake kwanza. Hayo ya ugumu na urahisi wa mume baadae.
 
yule muha mkorofi balaa nshawahi kumpigia simu mdad mmoja alikua anawasilianA mdogo wangu nkapata kutoka kwa wifi yangu
nilinnua kesi nilimnyamba yule dada hana hamu na mimi na mdogo wangu sijapat tena mashtaka
mimi nimejifunza kwa mama angu mlezi km aliweza kumvumilA baba angu mpaka leo
nAamini kwa anitiaye nguvu ntaweza


sasa nimeeeeelewaaaa. Nakumbuka tuliwahi kujadili mada namna mahusiano/tabia za wazazi zinavyoweza kuathiri choices za watoto. Hivi hivi from nowhere kuvumilia mwenza mchepukaji mpaka kupambana na michepuko yake ni muujiza aisee.
 


sasa nimeeeeelewaaaa. Nakumbuka tuliwahi kujadili mada namna mahusiano/tabia za wazazi zinavyoweza kuathiri choices za watoto. Hivi hivi from nowhere kuvumilia mwenza mchepukaji mpaka kupambana na michepuko yake ni muujiza aisee.

hahaaaaaa!
 
Pole sana mkuu duh najaribu kuimagine ukubwa wa hicho kiatu ulichokivaa kwa wakati huu sipati picha. Sijui kwanini mtu anaamua kuiumiza nafsi ya mtu mwaminifu yaani kucheat ni sawa na kuua . Ni kwanini kama unaona umechoka kuishi na mwenzako usimwambie tuu, hivi ktk ndoa mtu akisha cheat anakua kabakisha nini tena eti watu ni dhaifu are we serious? Yaani mtu ajirushe tu na wengine kisa ni dhaifu haki ya nani huwa nikifiria hivi basi nguvu zote zinaisha.

Kwa mara nyingine nakupa pole mno najua maisha hayawezi kuwa kama mwanzo hata kama ukimsamehe/kutomsamehe life tayari imeturn upside down watu hawajuagi tu. Kabla ya kucheat jiulize ni kitu gani cha thamani unaweza kumtunzia mke/mume . Uaminifu ni mali adimu pindi ukiipoteza kuirudisha inabaki kuwa ndoto. Halafu huu utetezi wa udhaifu jamani tuuache tujaribu kuwa serious ni kwanini udhaifu unakubalika upande mmoja tu na si pande zote. Mkuu Muombe Mungu akutie nguvu na pengine akuponye hilo jeraha kubwa lililomo moyoni mwako kwa wakati huu.
 
Pole Sana Theo. Please, usichukue maamuzi yeyote wakati huu. Take time, talk to God and ask him what to do next. All in all usimuamini huyu mama! Huyu yupo desperate kaachwa sasa anatafta njia ya kujiridhisha akiamini baada ya wewe kujua hili uta Punic na kumuacha mumeo! Q
Kumuuliza Mungu juu ya hili sijui kama rahisi nahisi kama majibu yalishakuegepo ie mtu asimuache mkewe/mumewe isipokua kwa dhambi ya uzinzi. Sasa hapo naona kama yeye mwenyewe aamue either kuendelea nae au kusepa wanasema tabia haina dawa lkn bado muamuzi ni yeye mwenyewe manakeuamuzi wowote atakaoufanya ni kwa ajili yake mwenyewe.
Anachoweza weza kufanya ni kutafuta uthibitisho kama kweli mumewe alikua na huyo ndugu then ajipange kuanza maisha mapya , nasema maisha mapya kwa sababu life will never be the same ikiwa atakaa au ataondoka.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mzima Ablessed? Nimefurahi kukuona maana busara na hekima zako tulizikosa hapa jamvini. Natumai kila kitu kiko bomba.

Kumuuliza Mungu juu ya hili sijui kama rahisi nahisi kama majibu yalishakuegepo ie mtu asimuache mkewe/mumewe isipokua kwa dhambi ya uzinzi. Sasa hapo naona kama yeye mwenyewe aamue either kuendelea nae au kusepa wanasema tabia haina dawa lkn bado muamuzi ni yeye mwenyewe manakeuamuzi wowote atakaoufanya ni kwa ajili yake mwenyewe.
Anachoweza weza kufanya ni kutafuta uthibitisho kama kweli mumewe alikua na huyo ndugu then ajipange kuanza maisha mapya , nasema maisha mapya kwa sababu life will never be the same ikiwa atakaa au ataondoka.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom