The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Ndio maana nasema kipimo cha mwanaume si kuvaa suruali. Binafsi nikikushauri umuache mumeo utakuwa umempa nafasi huyo kahaba ya kujaza nafasi uliyoacha, pia nikijaribu ushauri wa kuondoka basi utakuwa umevunja viapo vya ndoa ambavyo moja ya hivyo vinahimiza uvumilivu.
Basi jambo la kukushauri mweleze muumba wako matatizo yako yeye atakujibu, pengine hiyo ikawa ni dalili ya kutokuwepo mahali sahihi kutokana na maamuzi yako uliyoyaamua kipindi cha nyuma kabla ya ndoa.
Basi jambo la kukushauri mweleze muumba wako matatizo yako yeye atakujibu, pengine hiyo ikawa ni dalili ya kutokuwepo mahali sahihi kutokana na maamuzi yako uliyoyaamua kipindi cha nyuma kabla ya ndoa.