Simtetei mwanamke

Simtetei mwanamke

Wew mtoa mada naon hujielewi unazunguzia hawa wanawake Wa kisasa mweshimu uone moto wake me nawaheshimu tu wazazi na wama wenye miaka kuanzia 50 na kuendelea ila huku chini ya 50 siwezi hats kwa bunduki maana wengin tunacheza nap severe kama kawa ,kwanza acha ujinga Wa kuwaheshimu hawa wadada waliyo zaliwa miak ya 80 mpka sasa no ujinga
 
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"

Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"

Wazungu wakasema "Ladies first"

Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"

Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"

Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.

Women emancipation is the movement against nature.

Biblia inatutaka wanaume "tuwapende" wake zetu, na wao "watuheshimu" sisi. Sasa sijui unatumia Biblia gani mwenzetu
 
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"

Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"

Wazungu wakasema "Ladies first"

Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"

Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"

Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.
Siwezi kuacha asilani kupita bila kuchangia uzi wowote unaomtetea mwanamke
 
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"

Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"

Wazungu wakasema "Ladies first"

Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"

Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"

Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.
dini nyingi mbadala zinamuona mwanamke kama njia ya kwendaa mbinguni, kwa haraka nawe upo katika mkumbo huo labda bila hata ya kufahamu.
 
Haijamkandamiza ... Kuna kitu kinaitwa submission, kipo pia hata katika "GOD HEAD." Cha msingi kila mmoja anapaswa kusimama katika nafasi yake, wote mwanamme + mwanamke.

Je! Unajua kwa nini shetani alienda moja moja kumjaribu mwanamke & alimkwepa mwanamme kule Edeni? Mmeumbwa kumtegemea mwanamme kwa kiasi kikubwa ... Alone you are prone to attacks.

"Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye, ila mpumbavu ni mzigo kwa mamaye"

Those words!! Aiseeee.
 
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"

Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"

Wazungu wakasema "Ladies first"

Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"

Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"

Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.

Usemacho ni sawa lakini ni mtu na mtu,kumbuka mpaka hapa tulipo kuna wanawake wanatesa waume zao kuliko unavyofikili,dunia imebadilika,ni kweli ukimpata mwanamke mwema ni mwema kweli,lakini wako ambao ni sawa na nyoka rafiki,thubutu kukutwa
 
Mwanaume bila mwanamke hawezi ishi na wala siku haiwezi pita hasa humu ndani
 
Wew mtoa mada naon hujielewi unazunguzia hawa wanawake Wa kisasa mweshimu uone moto wake me nawaheshimu tu wazazi na wama wenye miaka kuanzia 50 na kuendelea ila huku chini ya 50 siwezi hats kwa bunduki maana wengin tunacheza nap severe kama kawa ,kwanza acha ujinga Wa kuwaheshimu hawa wadada waliyo zaliwa miak ya 80 mpka sasa no ujinga

Mkuu umenena yaliyo makuu
 
kwahiyo wanawake ndio wameshikilia uhai wa wanaume ama mimi ndio sijaelewa? Fafanua kidogo

Alieshikilia uhai wa binadamu yeyote ni Mungu.

Mwanzo18:1 Bwana Mungu akasema,si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

Mungu aliona hawezi
 
Mkuu umenena yaliyo makuu
Achen kusuppotiana ujinga...kwan kumuheshimu mtu kuna maanisha nn, au unapungukiwa na nn ukimuheshimu mtu..yan mnaweka hasira kwa vtu visivyo na maana...msihukumu mana naona mnafanya mjumuisho wa wanawake wa age flan hawatakiw kuheshmiwa bila kujali si kila mwanamke wa age hyo yupo hvyo mnavyofikili nyinyi...
 
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"

Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"

Wazungu wakasema "Ladies first"

Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"

Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"

Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.


Only when that woman knows herself then that much I will lay low and bow

Otherwise un-instructible woman is a poison to man's life!

I respect my woman for what she is since she knows thyself..

Love her to the moon and back...she knows better!
 
Back
Top Bottom