Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,919
- 33,503
Msimamo sahihi ni upi hebu usemeNdo maana unakujaga na thread mara mwanamke mara mwanaume...
Kwahiyo watu wanakufa na madaktari hata kushindwa kutoa tahadhari Kwa uwazi ndo msimamo sahihi?
Hata watu kuambiana kuna Corona wanaogopa ..ndo msimamo Sahihi?