Simpendi na sikumchagua Magufuli lakini naunga mkono 100% msimamo wake kuhusu Korona

Nchi hii ina watu wanaodeka kupita maelezo, yaani Rais atangaze korona ipo ndio uchukue hatua? Kila nikisoma comments za watu huwa napata ukakasi sana.
Ugonjwa huu utaendelea kuwepo hata lockdown ya mwaka ikiwepo!! Hakuna mqisha bila kukutana kati ya binadamu na binadamu... Hizo za lockdown sijui carfew ni upumbavu mtupu...

Shida ipo kwa waafrika kufikiria walichosema Wazungu

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Mkuu muafrika ni kuchapa viboko ndio anaenda.
 
Hahaaaa kweli mafua yamekuwepo karne nzima.

Sasa kama yamekuwapo karne nzima kwanini dunia sasa hivi itingishwe na Corona? hujiulizi kwanini huyo unaemuunga mkono yuko Chato hata Dodoma aliposema makao makuu yahamishiwe hapataki?

Hayo mafua gani ya kuua watu kwa maelfu?!

Next time learn to think critically before you act.
Tanzania kuna maelfu wamekufa?

Hebu twambie basi unataka Magufuli akwambiaje kuhusu corona?
 
Korona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpk leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpk leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!

Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata ktk mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.

Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nn?


Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?

Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.

Na ndiyo maana South Africa hali ilikuwa tete, na pale Kenya ulifanyika usanii tu wa kuzuia watu kutoka usiku, halafu mchana kutwa wako majiani. Usanii mtupu. Uganda wamejikanyaga wakashindwa. Usiitolee mfano Rwanda. Kale kanchi ni kadogo sawa na kisiwa cha Unguja ndiyo maana wanagawana gunia kumi za unga kwa siku na zinawatosha.

Halafu hii kunawa nawa, nayo pia Ni ujinga tu. Unanawa halafu unaingia kwenye daladala kubanana? Mnashea kikombe cha maji ya kunywa nyumba nzima? Mnashea kete za bao, kopo la mbege, komoni na wanzuki? Acheni zenu bhana! BTW, kirusi kinauawa kwa kunawa? Sanitizer inauwa kirusi? Unazijua tabia za kirusi?

Virus is immortal. Why? This is because Virus is the RNA/DNA particle. Na ndiyo maana mpk leo ukitaka DNA/RNA ya dinosaurs walioishi miaka milioni150 iliyopita utapata.

Mnataka atangaze watanzania wavae barakoa? Hawa hawa wanaokosa hata leso ya kufutia kamasi? Hawa hawa wanao omba mia tano ya kununua kipande cha muhogo?? Hapa tutasababisha mlipuko wa magonjwa mengine. Maana watu wanaweza kuvaa kitambaa mwezi mzima bila kukifua.

Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa rais kwa kuwa ushindi wake ktk uchaguzi wa 2020 mpk siku nakufa sitaukubali), lkn kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.

Tuweke pembeni chuki na tofauti zetu zote za kila aina tuangalie uhalisia. Msimamo wa JPM ktk suala la korona unaendana na uhalisia na ndiyo njia bora ya kuifuata. Hayo mataifa yanayojitia kuwafungia na kupiga sanitizer watu wake wamefanikiwa kiasi gani kujikinga na korona?

Halafu hivyo vifo Cha mmoja mmoja vinavyotokea mbona ni kidogo sana kuliko vile vya magonjwa kama malaria, TB, ajali, ukimwi, n.k?? Kwann hivi havihesabiwi??

Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).

Nimemaliza.

Mkuu inaonekana unachanganya kati ya serikali kutangaza kuwa kuna huo ugonjwa, na hatua za kuchukua. Jitahidi utenganishe kati ya kukiri uwepo wa ugonjwa, na hatua za kuchukua. Vinginevyo utabeba dhana zako kisha uishie kuwa mpotoshaji, hasa hapo unaposema tuache chuki, kanisa nalo limetoa waraka, je na wao wana hiyo chuki usemayo?
 
Korona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpk leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpk leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!

Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata ktk mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.

Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nn?


Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?

Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.

Na ndiyo maana South Africa hali ilikuwa tete, na pale Kenya ulifanyika usanii tu wa kuzuia watu kutoka usiku, halafu mchana kutwa wako majiani. Usanii mtupu. Uganda wamejikanyaga wakashindwa. Usiitolee mfano Rwanda. Kale kanchi ni kadogo sawa na kisiwa cha Unguja ndiyo maana wanagawana gunia kumi za unga kwa siku na zinawatosha.

Halafu hii kunawa nawa, nayo pia Ni ujinga tu. Unanawa halafu unaingia kwenye daladala kubanana? Mnashea kikombe cha maji ya kunywa nyumba nzima? Mnashea kete za bao, kopo la mbege, komoni na wanzuki? Acheni zenu bhana! BTW, kirusi kinauawa kwa kunawa? Sanitizer inauwa kirusi? Unazijua tabia za kirusi?

Virus is immortal. Why? This is because Virus is the RNA/DNA particle. Na ndiyo maana mpk leo ukitaka DNA/RNA ya dinosaurs walioishi miaka milioni150 iliyopita utapata.

Mnataka atangaze watanzania wavae barakoa? Hawa hawa wanaokosa hata leso ya kufutia kamasi? Hawa hawa wanao omba mia tano ya kununua kipande cha muhogo?? Hapa tutasababisha mlipuko wa magonjwa mengine. Maana watu wanaweza kuvaa kitambaa mwezi mzima bila kukifua.

Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa rais kwa kuwa ushindi wake ktk uchaguzi wa 2020 mpk siku nakufa sitaukubali), lkn kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.

Tuweke pembeni chuki na tofauti zetu zote za kila aina tuangalie uhalisia. Msimamo wa JPM ktk suala la korona unaendana na uhalisia na ndiyo njia bora ya kuifuata. Hayo mataifa yanayojitia kuwafungia na kupiga sanitizer watu wake wamefanikiwa kiasi gani kujikinga na korona?

Halafu hivyo vifo Cha mmoja mmoja vinavyotokea mbona ni kidogo sana kuliko vile vya magonjwa kama malaria, TB, ajali, ukimwi, n.k?? Kwann hivi havihesabiwi??

Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).

Nimemaliza.

Kiukweli zaidi ya kuchukua tahadhari hatuna uwezo wa kuudhibiti huu ugonjwa kwa kuwaambia watu wakae ndani.

Wengi watakufa na hofu, njaa, msongo wa mawazo.

Unaitwa Novel Corona Virus for a reason. Ni ugonjwa mpya, unaobadilika. Kuna South Africa, Brazil, London na Original Chinese version.

Hata chanjo kwanza ni expensive pili hazisaidii kwa 100%. Mfano wanasema Pfizer ni 95%, inabidi zikae below minus 70% to be effective, AstraZeneca efficacy, effectiveness ni 70%. Russian is 50%.

Uwezo wa kuzalisha hizi chanjo bado ni mdogo sana duniani kukidhi mahitaji.

Bado hazijiwahi kuwa-tested kwenye sample ya kutosha to come up with, ethical, medical, serious conclusion.

Itachukua kama miaka miwili kufika Nchi maskini. Lockdown kwa miaka miwili?

Maisha lazima yaendelee.
 
Mkuu inaonekana unachanganya kati ya serikali kutangaza kuwa kuna huo ugonjwa, na hatua za kuchukua. Jitahidi utenganishe kati ya kukiri uwepo wa ugonjwa, na hatua za kuchukua. Vinginevyo utabeba dhana zako kisha uishie kuwa mpotoshaji, hasa hapo unaposema tuache chuki, kanisa nalo limetoa waraka, je na wao wana hiyo chuki usemayo?
Kanisa wametoa waraka wa kumalumu Magufuli kwamba kawaacha watu wafe?
 
Hahaaaa kweli mafua yamekuwepo karne nzima.

Sasa kama yamekuwapo karne nzima kwanini dunia sasa hivi itingishwe na Corona? hujiulizi kwanini huyo unaemuunga mkono yuko Chato hata Dodoma aliposema makao makuu yahamishiwe hapataki?

Hayo mafua gani ya kuua watu kwa maelfu?!

Next time learn to think critically before you act.
Toa ushauri nini kifanyike ili kuondoa korona
Acha kumlalamikia mtu mmoja kwa sababu ya chuki zako binafsi
Toa njia sahihi, yeye kaona hii ndiyo nzuri watu waendelee kufanya kazi hakuna lockdown wewe unatoa ipi??
 
Tanzania kuna maelfu wamekufa?

Hebu twambia basi unataka Magufuli akwambiaje kuhusu corona?

Tatizo linakuja pale wanaosema kuna corona kukutana na vitisho vya dola. Inawezekana yeye hataki kukiri kwa sababu anazozijua, lakini serikali inapoendelea kusema hakuna corona na anayekiri hadharani kuwa ipo anakutana na vitisho, inaleta walakini. Ifahamike huo ugonjwa sio tatizo ama kosa la serikali, bali ni tatizo la dunia nzima, iweje iwe nongwa ama dhambi watu kukiri hadharani?

Wengi hatuungi mkono kuwekwa lockdown, lakini bado serikali inaweza kutangaza kurejea kwa awamu ya pili ya hivyo virus, na hatua za awali zikachukuliwa hasa fungu kutengwa ili kupambana na athari za huo ugonjwa huko mahospitalini, ama zile hela za ugonjwa toka kwa wazungu zimeliwa?
 
lakini bado serikali inaweza kutangaza kurejea kwa awamu ya pili ya hivyo virus, na hatua za awali zikachukuliwa hasa fungu kutengwa ili kupambana na athari za huo ugonjwa
Hatua za awali zipi mkuu ambazo zina tija?

Na unapogusia fungu kutengwa, hili fungu litafanya kazi ipi yenye kufifisha ama kuondoa korona?

Kwa mawazo yangu itakuwa ni kupoteza muda na fedha.
 
Jiulize kwanza kwanini yeye kakimbilia Chato
Hii ni sawa na baba aliyeketi barazani jioni na familia yake kisha wote wakamuona nyoka akiingia ndani lakini kwa mshangao baba kwakuwaondolea hofu familia yake, kawaambia yule nyoka kazunguka nyumba na kutokomea zake. Watoto na mama yao wameingia ndani kwa hofu kubwa. Kwa hali isiyo ya kawaida baba yule kawaaga na kuwaambia anakwenda kutembelea mifugo yake hivyo hatakuwepo pale usiku ule. Kijijini hakuna umeme na baba kaondoka na tochi.

Hapo familia itaacha kumlaumu baba??
Je ni sahihi baba kuidanganya familia yake??
 
Hii ni sawa na baba aliyeketi barazani jioni na familia yake kisha wote wakamuona nyoka akiingia ndani lkn kwa mshangao baba kwakuwaondolea hofu familia yake, kawaambia yule nyoka kazunguka nyumba na kutokomea zake. Watoto na mama yao wameingia ndani kwa hofu kubwa. Kwa hali isiyo ya kawaida baba yule kawaaga na kuwaambia anakwenda kutembelea mifogo yake hivyo hatakuwepo pale usiku ule. Kijijini hakuna umeme na baba kaondoka na tochi.

Hapo familia itaacha kumlaumu baba??
Je ni sahihi baba kuidanganya familia yake??
Wewe unataka Magufuli akufanyie nini kuhusu corona?
 
Hatua za awali zipi mkuu ambazo zina tija?

Na unapogusia fungu kutengwa, hili fungu litafanya kazi ipi yenye kufifisha ama kuondoa korona?

Kwa mawazo yangu itakuwa ni kupoteza muda na fedha.

Kila mahali kuwe na vitakasa mikono, kutokuwa na mikusanyiko isiyokuwa ya lazima nk.

Fungu lililotolewa na wazungu kwa ajili ya kupambana na Corona lingenunua vifaa tiba huko mahospitalini. Ama unataka mgonjwa akipelekwa hospitalini aachwe kisa ugonjwa huu hauna tiba?
 
Back
Top Bottom