denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Kukiri Corona ipo ndio njia ya kwanza kukabiliana nayo, siku zote huwezi pigana na adui usiemjua.
Rais lazima atoe kauli ili kila mmoja wetu ajue Corona ipo na achukue hatua za kujilinda kwa umakini.
Kauli ya Rais sio sawa na kauli yangu au yako, hiyo itachujuliwa kwa uzito unaostahili na wengi wataanza kuwa serious na huu ugonjwa.
Lakini Rais kuendelea kukaa kimya au kusema Tanzania hakuna Corona ndio kunapelekea watu kudharau kuchukua hatua za kujilinda.
Huko vijijini wengi hawana access ya internet kujua hali halisi tofauti na sisi tuliopo mijini, wao wakisikia Magifuli kasema hakuna Corona wanaamini hivyo, wanaendelea kuchapa kazi.
Hili halihusiani na lockdown au vyovyote, muhimu watu wajue Corona ipo seriously na wajilinde badala ya kuamini haipo wakati wengine wanaugua na hata kufa.
Rais lazima atoe kauli ili kila mmoja wetu ajue Corona ipo na achukue hatua za kujilinda kwa umakini.
Kauli ya Rais sio sawa na kauli yangu au yako, hiyo itachujuliwa kwa uzito unaostahili na wengi wataanza kuwa serious na huu ugonjwa.
Lakini Rais kuendelea kukaa kimya au kusema Tanzania hakuna Corona ndio kunapelekea watu kudharau kuchukua hatua za kujilinda.
Huko vijijini wengi hawana access ya internet kujua hali halisi tofauti na sisi tuliopo mijini, wao wakisikia Magifuli kasema hakuna Corona wanaamini hivyo, wanaendelea kuchapa kazi.
Hili halihusiani na lockdown au vyovyote, muhimu watu wajue Corona ipo seriously na wajilinde badala ya kuamini haipo wakati wengine wanaugua na hata kufa.