Aweza kuwa usajili mpya wa covid19For my first time leo nimeona Sexless umeongea kitu chenye mashiko na si siasa. Wanasiasa wa Tanzania wangefikiri kama ulivyofikiri leo basi tungekuwa mbali lakini kinyume chake chake ni kuwa wao wanafikiri kwa ajili ya interest zao. Sio kila kitu kinachofanywa na serikali ni cha kupinga na si kila ushauri wa upinzani ni wa kupinga. Baya lisemwe na zuri lipongezwe. Kwenye ishu ya covid Magu yuko sahihi. Tujiulize jizo nchi walizojifungia wamefikia wapi na sisi tuliomwachia Mungu tumefikia wapi