Simpendi na sikumchagua Magufuli lakini naunga mkono 100% msimamo wake kuhusu Korona

For my first time leo nimeona Sexless umeongea kitu chenye mashiko na si siasa. Wanasiasa wa Tanzania wangefikiri kama ulivyofikiri leo basi tungekuwa mbali lakini kinyume chake chake ni kuwa wao wanafikiri kwa ajili ya interest zao. Sio kila kitu kinachofanywa na serikali ni cha kupinga na si kila ushauri wa upinzani ni wa kupinga. Baya lisemwe na zuri lipongezwe. Kwenye ishu ya covid Magu yuko sahihi. Tujiulize jizo nchi walizojifungia wamefikia wapi na sisi tuliomwachia Mungu tumefikia wapi
Aweza kuwa usajili mpya wa covid19
 
Korona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpaka leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpaka leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!

Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata katika mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.

Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nini?

Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?

Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.

Na ndiyo maana South Africa hali ilikuwa tete, na pale Kenya ulifanyika usanii tu wa kuzuia watu kutoka usiku, halafu mchana kutwa wako majiani. Usanii mtupu. Uganda wamejikanyaga wakashindwa. Usiitolee mfano Rwanda. Kale kanchi ni kadogo sawa na kisiwa cha Unguja ndiyo maana wanagawana gunia kumi za unga kwa siku na zinawatosha.

Halafu hii kunawa nawa, nayo pia ni ujinga tu. Unanawa halafu unaingia kwenye daladala kubanana? Mnashea kikombe cha maji ya kunywa nyumba nzima? Mnashea kete za bao, kopo la mbege, komoni na wanzuki? Acheni zenu bhana! BTW, kirusi kinauawa kwa kunawa? Sanitizer inauwa kirusi? Unazijua tabia za kirusi?

Virus is immortal. Why? This is because Virus is the RNA/DNA particle. Na ndiyo maana mpaka leo ukitaka DNA/RNA ya dinosaurs walioishi miaka milioni150 iliyopita utapata.

Mnataka atangaze watanzania wavae barakoa? Hawa hawa wanaokosa hata leso ya kufutia kamasi? Hawa hawa wanao omba mia tano ya kununua kipande cha muhogo?? Hapa tutasababisha mlipuko wa magonjwa mengine. Maana watu wanaweza kuvaa kitambaa mwezi mzima bila kukifua.

Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa Rais kwa kuwa ushindi wake katika uchaguzi wa 2020 mpaka siku nakufa sitaukubali), lakini kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.

Tuweke pembeni chuki na tofauti zetu zote za kila aina tuangalie uhalisia. Msimamo wa JPM katika suala la korona unaendana na uhalisia na ndiyo njia bora ya kuifuata. Hayo mataifa yanayojitia kuwafungia na kupiga sanitizer watu wake wamefanikiwa kiasi gani kujikinga na korona?

Halafu hivyo vifo Cha mmoja mmoja vinavyotokea mbona ni kidogo sana kuliko vile vya magonjwa kama malaria, TB, ajali, ukimwi, n.k?? Kwann hivi havihesabiwi??

Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).

Nimemaliza.
Corona aina miujz
 
Korona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpaka leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpaka leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!

Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata katika mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.

Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nini?

Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?

Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.

Na ndiyo maana South Africa hali ilikuwa tete, na pale Kenya ulifanyika usanii tu wa kuzuia watu kutoka usiku, halafu mchana kutwa wako majiani. Usanii mtupu. Uganda wamejikanyaga wakashindwa. Usiitolee mfano Rwanda. Kale kanchi ni kadogo sawa na kisiwa cha Unguja ndiyo maana wanagawana gunia kumi za unga kwa siku na zinawatosha.

Halafu hii kunawa nawa, nayo pia ni ujinga tu. Unanawa halafu unaingia kwenye daladala kubanana? Mnashea kikombe cha maji ya kunywa nyumba nzima? Mnashea kete za bao, kopo la mbege, komoni na wanzuki? Acheni zenu bhana! BTW, kirusi kinauawa kwa kunawa? Sanitizer inauwa kirusi? Unazijua tabia za kirusi?

Virus is immortal. Why? This is because Virus is the RNA/DNA particle. Na ndiyo maana mpaka leo ukitaka DNA/RNA ya dinosaurs walioishi miaka milioni150 iliyopita utapata.

Mnataka atangaze watanzania wavae barakoa? Hawa hawa wanaokosa hata leso ya kufutia kamasi? Hawa hawa wanao omba mia tano ya kununua kipande cha muhogo?? Hapa tutasababisha mlipuko wa magonjwa mengine. Maana watu wanaweza kuvaa kitambaa mwezi mzima bila kukifua.

Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa Rais kwa kuwa ushindi wake katika uchaguzi wa 2020 mpaka siku nakufa sitaukubali), lakini kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.

Tuweke pembeni chuki na tofauti zetu zote za kila aina tuangalie uhalisia. Msimamo wa JPM katika suala la korona unaendana na uhalisia na ndiyo njia bora ya kuifuata. Hayo mataifa yanayojitia kuwafungia na kupiga sanitizer watu wake wamefanikiwa kiasi gani kujikinga na korona?

Halafu hivyo vifo Cha mmoja mmoja vinavyotokea mbona ni kidogo sana kuliko vile vya magonjwa kama malaria, TB, ajali, ukimwi, n.k?? Kwann hivi havihesabiwi??

Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).

Nimemaliza.
Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).

Thank you Sexless
 
Kuwa mpole; aliyefanya uzembe ni wewe uliyetuletea habari za kijiweni. Ungekuwa umefanya utafiti usingetoa mfano wa Norway ambayo imepoteza roho karibu 600!
wacha wee, 560 wengi kweli, hasa kwa nchi iliyopo bara la ulaya ambako kuna baridi sana na hata mafua yanaua watu. Haijalishi kwamba wenye maambukizi walikua karibu elfu sabini (70000) na waliopona ni karibuni elfu sitini (60000). Ukiachia kwamba wazee 23 waliopewa chanjo ya mmarekani na wakaongeza idadi kufikia hiyo 564. Mkakati wa Norway ni failure kabisa, unavuta bangi?
 
wacha wee, 560 wengi kweli, hasa kwa nchi iliyopo bara la ulaya ambako kuna baridi sana na hata mafua yanaua watu. Haijalishi kwamba wenye maambukizi walikua karibu elfu sabini (70000) na waliopona ni karibuni elfu sitini (60000). Ukiachia kwamba wazee 23 waliopewa chanjo ya mmarekani na wakaongeza idadi kufikia hiyo 564. Mkakati wa Norway ni failure kabisa, unavuta bangi?

Inaonekana ulidandia train kwa mbele!
 
Lazima sasa tubadili mfumo wa maisha
Mambo ya kukaa kwenye makundi etc tuache
Mpaka gonjwa lenyewe litokomee lenyewe

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kukaa kwenye makundi ni muhimu Mkuu. Kinga ya mwili inakuwa developed kupitia kukutana na si kujificha. Mwenye kunielewa anajua namaanisha nini.
 
wenye tiketi hua hawadandii, wewe si ndo ulieanza kunijbu? shule za kata bado hazisaidii aisee

Unasema do-nothing strategy ya Magufuli inatucost roho halafu unaambiwa utoe mfano wa mikakati ambayo haicost roho unasema Norway, hapo unakuwa umeelewa swali au mradi umetoa jibu? Hiki ndicho ulichojifunza kwenye prestigious schools zako? Mbaya zaidi Norway yenyewe imepoteza mamia ya roho!
 
Kuwa mpole; aliyefanya uzembe ni wewe uliyetuletea habari za kijiweni. Ungekuwa umefanya utafiti usingetoa mfano wa Norway ambayo imepoteza roho karibu 600!
Mkuu wewe ni great thinker ila nikisoma huu Uzi I'm seriously doubting that, kwamba Tanzania haikuwahi poteza maisha kisa COVID 19?

Hao tuliowakejeli mbona Leo hii wanadunda tu no mask anymore na maambukizi yameisha. Tuliyemsifia weee ndio corona imemsomba pamoja na Nkuruzinza wake!!

Medics isichanganywe na siasa and conspiracy theories.
 
Mkuu wewe ni great thinker ila nikisoma huu Uzi I'm seriously doubting that, kwamba Tanzania haikuwahi poteza maisha kisa COVID 19?

Hao tuliowakejeli mbona Leo hii wanadunda tu no mask anymore na maambukizi yameisha. Tuliyemsifia weee ndio corona imemsomba pamoja na Nkuruzinza wake!!

Medics isichanganywe na siasa and conspiracy theories.
Wewe umevaa mask?
 
Wewe umevaa mask?
Huyo jamaa kasema Tz hakuna aliyekufa kwa corona ila Norway walikufa 600 plus. Ndio najiuliza Tz hakuna mtu aliyekufa kwa covid 19? Like serious?

Hii nchi JPM aliharibu sana. Yaani Dunia nzima wafe ila Tanzania tu? Kwamba we are special? Mbona Ukimwi na Malaria vipo au Mungu anachagua ugonjwa wa kuponya siku hizi?
 
Huyo jamaa kasema Tz hakuna aliyekufa kwa corona ila Norway walikufa 600 plus. Ndio najiuliza Tz hakuna mtu aliyekufa kwa covid 19? Like serious?

Hii nchi JPM aliharibu sana. Yaani Dunia nzima wafe ila Tanzania tu? Kwamba we are special? Mbona Ukimwi na Malaria vipo au Mungu anachagua ugonjwa wa kuponya siku hizi?
Uko sahihi Mkuu, nimekuelewa vema kwenye hoja hii,

Lakini, njia alizotumia huyu usiyempenda zilikuwa sawia kabisa kulingana na mazingira pia maisha ya wengi walala hoi
 
Back
Top Bottom