Inawezekana alikua anawapeleka vidimbwini kwao mitaa ya twiga kule kufugaHalafu shabiki wa yanga pumbavu zake
Wao wankomaa tu na form ajira. Na yenyewewasitoe.. Na haiwezekan kuajir watu woteHizi nchi zetu za kiafrika kutoka kimaisha ngumu sana kwasababu tumekariri sana. Badala ya serikali kuwapa fursa watu wake kutumia rasilimali zinazotuzunguka yenyewe iko busy kuwakomoa. Kuna watu waliokuwa wanatajirika na vipepeo tu lakini alitokea mshamba mmoja kaua biashara hiyo. Kiukweli sisi kobe hatuna kazu nao yoyote kama wengine kwao dili waruhusiwe wafuge na kisha wauze. Maendeleo ni kubadilisha rasilimali uliyonayo upate rasilimali usiyonayo. Watu waruhusiwe wafuge/walime kobe kama wanavyofuga ngombe mbuzi kuku nk
Embu tufikiri nje ya box.Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali.
Kamanda Polisi mkoani Simiyu, ACP Richard Abwao, amesema mtuhumiwa amekutwa akiwa na mabegi matatu yakiwa na kobe 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1, bila yakuwa na kibali.
View attachment 1739542
Inawezekana wakawa ndio dawa ya coronaKWAHYO KOBE MMOJA NI Tsh. 162,328.7/=, Daa kumbe mitaji ipo nje nje
Mkuu,Kobe ni Mnyama pori kwa hiyo ni Nyara, ukikamatwa nao unahesabika wewe jangili.Hivi kobe ni nyara za serikali toka lini?
😃 😃 😃 😃dah,,,Halafu shabiki wa yanga pumbavu zake
Embu tufikiri nje ya box.
Hivi kobe ni nyara za serikali toka lini?
Kosa la huyo mtu ni nini?
Kuwa na kobe? Kuwa na kobe wengi? Kuuza kobe?
Kama mtu ameamua kuzalisha kobe ili kuuza, au kuwasaka maporini ili kuuzia watu mijini, shida iko wapi?
Hesabu ulikua chenga wewekwa hiyo ukiuza kobe mmoja unapata ng'ombe hata wawili..duh
Kavaa jezi za ccm/ yanga.. Kichwani zeroPolisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali.
Kamanda Polisi mkoani Simiyu, ACP Richard Abwao, amesema mtuhumiwa amekutwa akiwa na mabegi matatu yakiwa na kobe 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1, bila yakuwa na kibali.
View attachment 1739542