Simiyu: Akamatwa na Kobe zaidi ya 400 wakiwa kwenye mabegi 3

Gamba la juu la Kobe Ni RAW material Muhim Sana ktk utengenezaji wa BULLET PROOF materials Kama ARMORED VEHICLES, ARMORED WALLS, BULLET PROOF VEST.

Wateja wengi wa magamba ya Kobe Ni wenye viwanda vya silaha.

Pia,
Kule bara la asia, magamba ya Kobe hutumika kwenye ushirikina sana ukiachilia mbali shughuri nyinginezo za kitabibu.
 
Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali.

Kamanda Polisi mkoani Simiyu, ACP Richard Abwao, amesema mtuhumiwa amekutwa akiwa na mabegi matatu yakiwa na kobe 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1, bila yakuwa na kibali.

View attachment 1739542

Akikutwa na hatia awezi kosa kifungo cha miaka sio chini ya 30 na nikimuangalia akosi miaka arobaini hivyo kwa haraka anaweza maliza kifungo akiwa na miaka si chini ya sabini
 
Embu tufikiri nje ya box.
Hivi kobe ni nyara za serikali toka lini?
Kosa la huyo mtu ni nini?
Kuwa na kobe? Kuwa na kobe wengi? Kuuza kobe?

Kama mtu ameamua kuzalisha kobe ili kuuza, au kuwasaka maporini ili kuuzia watu mijini, shida iko wapi?

Kuna viumbe au wanyama au ndege wana marufuku ya kusafirishwa kama la kukutwa na nyara ...muwe mnasoma
 
Kuisoma 71M ni nyingi ila na hao kobe 400 wengi mno bwana unarisk kushtukiwa kama hauna Godfather.

Kobe wanne napata sh ngapi?
 
Wenyewe wanatuambia tutafute namna kujiajiri haohao tukitafuta hizo namna wanatukamata hivi tuwaeleweje lakini?mnataka roho zetu au?
 
Hizi nchi zetu za kiafrika kutoka kimaisha ngumu sana kwasababu tumekariri sana. Badala ya serikali kuwapa fursa watu wake kutumia rasilimali zinazotuzunguka yenyewe iko busy kuwakomoa. Kuna watu waliokuwa wanatajirika na vipepeo tu lakini alitokea mshamba mmoja kaua biashara hiyo. Kiukweli sisi kobe hatuna kazu nao yoyote kama wengine kwao dili waruhusiwe wafuge na kisha wauze. Maendeleo ni kubadilisha rasilimali uliyonayo upate rasilimali usiyonayo. Watu waruhusiwe wafuge/walime kobe kama wanavyofuga ngombe mbuzi kuku nk
Kuna taratibu za kufata ili ufuge kobe au ufa years biashara hiyooo mzee

Ova
 
Embu tufikiri nje ya box.
Hivi kobe ni nyara za serikali toka lini?
Kosa la huyo mtu ni nini?
Kuwa na kobe? Kuwa na kobe wengi? Kuuza kobe?

Kama mtu ameamua kuzalisha kobe ili kuuza, au kuwasaka maporini ili kuuzia watu mijini, shida iko wapi?
Kuna taratibu za kufata kabla hujamiliki wadudu hao

Ova
 
Bongo ni bora mtu afe ahumukumiwe maisha kisa kobe wake Hana vibali rahisisha toa vibali watu wafuge kobe wauze kwa wanaowahitaji mtu anapewa kifungo kidogo harafu anapewa Elimu ya kupata vibali maana soko analo kabisa..tubadilike bhana vipo vitu vya kufunga watu sio kobe au vipepeo sijui kumbikumbi...
Hiyo sheria haijaanza jana walk juzi
Ni ya kitambo sana

Ova
 
Back
Top Bottom