Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ya kitambo itakuwa imepitwa na wakati,sheria sio msahafu, hizi sheria nyingine zinatakiwe zifanyiwe marekebisho na ziboreshwe,kwa Tanzania kobe sio viumbe vilivyo kwenye hatari ya kutoweka yapasa milango ifunguliwe watu wafanye biashara na huko ndio kumuinua mnyonge,kutokana na urasimu ndio maana wengine huamua kufanya kinyume na taratibu zilizowekwa.Hiyo sheria haijaanza jana walk juzi
Ni ya kitambo sana
Ova
Binadamu ahukumiwe maisha jela kwa sababu ya kipepeo sheria za mjerumani hizo...Hiyo sheria haijaanza jana walk juzi
Ni ya kitambo sana
Ova
Mikoa inayozunguka ziwa victoria ina kobe wengi, hii ni ishara kuwa kuna uchafuzi hafifu wa mazingiraMitaa niliopo wapo kibao,hata sikujua kuwa wana hela hivi.
siku zote kobe wanathamani kubwa, nchi za mashariki ya mbali ni chakula pendwa tena cha heshmaHuu mwaka nafikiri kobe wametotolewa kwa wingi huku mashambani Morogoro wapo wapo tu wadogo wadogo wengi...
Wamuhoji live on TV atupe mchongo wa wateja wake, tuanze kuwaokota na sisi 😂
Everyday is Saturday................................
🤣🤣🤣🤣Unao tufanye biashara wanauzwa wapi niachie mm.
Wewe unaona ni kirahisi...kirahisi tu anaenda chezea nondo 30
Kuns vitu vinafurahisha sanaPolisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali.
Kamanda Polisi mkoani Simiyu, ACP Richard Abwao, amesema mtuhumiwa amekutwa akiwa na mabegi matatu yakiwa na kobe 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1, bila yakuwa na kibali.
View attachment 1739542