johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
- Thread starter
- #21
Itabidi arudi shule!Ya uhandisi.
Ya uhandisi
Itabidi arudi shule!Ya uhandisi.
Ya uhandisi
Daktari JPM, habari bila picha hainogiUKO SAHIHI
Waziri haelewi anachoongea nafikiri alikuwa aongee opposite kuwa waumini wa dini ndio wawe na digrii za dini sio viongozi wa dini.Kwa sababu kama ni uelewa labda waumini ndio hawana
Sababu mtu kama mfano TB JOSHUA au Mzee mwasapile wa kikombe cha babu elimu hawana lakini maprofesa na ma doctor walienda kukinywa NA kWA TB JOSHUA NIGERIA HUFURIKA KIBAO.Imani ni kitu complicated
Yeye asisitize tu usalama maeneo ya ibada kuwa viongozi wa dini wahahakikishe kuna usalama kwenye maeneo yao ya ibada.Hayo mengine ya wanaabudu nini awaachie wenyewe kama watakanyaga mafuta au mavi ya kiongozi wa dini shauri yao
Kuna Makanisa Hawatoi Nafasi Kuendesha Huduma Mpaka Uende Shule Na Kupata Diploma Ya Theology, DegreeDegree ya Theology iwe lazima,full stop.
dodge
Waziri wa mambo ya ndani Mh Simbachawene amesema kufuatia vifo vya watu 20 kwenye Huduma ya Mwamposya huko Moshi, serikali itaangalia upya utaratibu wa kusajili hizi Huduma.
Simbachawene amesema Wachungaji wanaoanzisha Huduma za kiimani watapaswa kuwa na shahada ili kupunguza " Vibanda Imani" vilivyozagaa kila kona.
Rwanda wamefanikiwa kudhibiti Vibanda Imani kwa kutumia utaratibu huu, amesisitiza Simbachawene.
Source Clouds tv!
[/QUOTE
Tena Shahada zitoke Seminary au Vyuo vya Theology vinabyojulikana. Sio Vyuo vinavyofundishwa na Nabii Tito na Mfalme Zumaridi.
kabisa naunga mkono hojaWaziri wa mambo ya ndani Mh Simbachawene amesema kufuatia vifo vya watu 20 kwenye Huduma ya Mwamposya huko Moshi, serikali itaangalia upya utaratibu wa kusajili hizi Huduma.
Simbachawene amesema Wachungaji wanaoanzisha Huduma za kiimani watapaswa kuwa na shahada ili kupunguza " Vibanda Imani" vilivyozagaa kila kona.
Rwanda wamefanikiwa kudhibiti Vibanda Imani kwa kutumia utaratibu huu, amesisitiza Simbachawene.
Source Clouds tv!
Si kila kitu cha kuiga kutoka Rwanda , mmeiga utekaji inatosha mengine jiongezeni , wekeni tu utaratibu mzuri wa kudhibiti umati basi , Yesu Kristo alikuwa na digrii ngapi ?Waziri wa mambo ya ndani Mh Simbachawene amesema kufuatia vifo vya watu 20 kwenye Huduma ya Mwamposya huko Moshi, serikali itaangalia upya utaratibu wa kusajili hizi Huduma.
Simbachawene amesema Wachungaji wanaoanzisha Huduma za kiimani watapaswa kuwa na shahada ili kupunguza " Vibanda Imani" vilivyozagaa kila kona.
Rwanda wamefanikiwa kudhibiti Vibanda Imani kwa kutumia utaratibu huu, amesisitiza Simbachawene.
Source Clouds tv!
Ni kweli au utani tu?Lusekelo ana shahada ya Udsm
nini kifanyike?Dini ni biashara inayolipa sana!
Ukitaka kumchota akili mnyama,mchote kwa kumpa chakula;ukitaka kumchota akili binadamu,mchote kiimani.
Imani sometimes huzaa ujinga, na ujinga kwenye imani huzaa upofu!
Hiyo habari ya kuwa na shahada wala haitasaidia.
UKO SAHIHI
Waziri haelewi anachoongea nafikiri alikuwa aongee opposite kuwa waumini wa dini ndio wawe na digrii za dini sio viongozi wa dini.Kwa sababu kama ni uelewa labda waumini ndio hawana
Sababu mtu kama mfano TB JOSHUA au Mzee mwasapile wa kikombe cha babu elimu hawana lakini maprofesa na ma doctor walienda kukinywa NA kWA TB JOSHUA NIGERIA HUFURIKA KIBAO.Imani ni kitu complicated
Yeye asisitize tu usalama maeneo ya ibada kuwa viongozi wa dini wahahakikishe kuna usalama kwenye maeneo yao ya ibada.Hayo mengine ya wanaabudu nini awaachie wenyewe kama watakanyaga mafuta au mavi ya kiongozi wa dini shauri yao