permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,046
- 11,242
Simba hii ya akina Sawadogo na Kibu au ipi?Simba sio kwamba inataka yenyewe, bali inatakiwa na CAF. Kuna watu walienda kujialika kwenye mkutano wa CAF kule Arusha kwenda kumuona Rais wa CAF, lakini amewapotezea. Ni suala la kitaalamu, sio lobbying
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app